Leo nimetambulishwa kwa mashemeji zangu, ghafla wakaanza kuimba "Mtoto kautaka", maana yake nini?

Leo nimetambulishwa kwa mashemeji zangu, ghafla wakaanza kuimba "Mtoto kautaka", maana yake nini?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Biharusi mtarajiwa: Money Penny njoo

Money penny: nimefika mama nini mbaya

Biharusi mtarajiwa: nimetambulishwa leo kwa mashemeji zangu wa kiume kwa mara ya kwanza

Money penny: enhe

Biharusi mtarajiwa: baada ya utambulisho wakaanza kupiga makofi, wakaanza kuimba

"Uyo mtotooooooo, uyo mtotoooooo"

Shemeji no 1: mtoto kautaaa
Mtoto kautaaa

Shemeji no 2: mtoto kautaka mtoto kautaka

Sasa sijaelewa huu wimbo una maana gani maana me sisiskilizagi bongo movie.

Wimbo una maana gani? Nimemwuliza mchumba wangu anacheka

Haya jamani, mtoto wa 2004 anauliza mtoto kautaaaa, manake nini?
 
Biharusi mtarajiwa: Money Penny njoo

Money penny: nimefika mama nini mbaya

Biharusi mtarajiwa: nimetambulishwa leo kwa mashemeji zangu wa kiume kwa mara ya kwanza

Money penny: enhe

Biharusi mtarajiwa: baada ya utambulisho wakaanza kupiga makofi, wakaanza kuimba

"Uyo mtotooooooo, uyo mtotoooooo"

Shemeji no 1: mtoto kautaaa
Mtoto kautaaa

Shemeji no 2: mtoto kautaka mtoto kautaka

Sasa sijaelewa huu wimbo una maana gani maana me sisiskilizagi bongo movie,

Wimbo una maana gani? Nimemwuliza mchumbaangu anacheka

Haya jamani, mtoto wa 2004l2 anauliza mtoto kautaaaa, manake nini?
Omba msamaha kwa afande.....wakati binti Yombo anabakwa na kulawitiwa....wimbo huo ulikuwa hewani chumbani........kwa hiyo huyo dada kautaka anatakiwa apelekewe moto.....wimbo
....trending tu
 
Biharusi mtarajiwa: Money Penny njoo

Money penny: nimefika mama nini mbaya

Biharusi mtarajiwa: nimetambulishwa leo kwa mashemeji zangu wa kiume kwa mara ya kwanza

Money penny: enhe

Biharusi mtarajiwa: baada ya utambulisho wakaanza kupiga makofi, wakaanza kuimba

"Uyo mtotooooooo, uyo mtotoooooo"

Shemeji no 1: mtoto kautaaa
Mtoto kautaaa

Shemeji no 2: mtoto kautaka mtoto kautaka

Sasa sijaelewa huu wimbo una maana gani maana me sisiskilizagi bongo movie,

Wimbo una maana gani? Nimemwuliza mchumbaangu anacheka

Haya jamani, mtoto wa 2004l2 anauliza mtoto kautaaaa, manake nini?
Kwani anaolewa kwa sababu ya nini
 
downloadfile.jpg
 
Biharusi mtarajiwa: Money Penny njoo

Money penny: nimefika mama nini mbaya

Biharusi mtarajiwa: nimetambulishwa leo kwa mashemeji zangu wa kiume kwa mara ya kwanza

Money penny: enhe

Biharusi mtarajiwa: baada ya utambulisho wakaanza kupiga makofi, wakaanza kuimba

"Uyo mtotooooooo, uyo mtotoooooo"

Shemeji no 1: mtoto kautaaa
Mtoto kautaaa

Shemeji no 2: mtoto kautaka mtoto kautaka

Sasa sijaelewa huu wimbo una maana gani maana me sisiskilizagi bongo movie,

Wimbo una maana gani? Nimemwuliza mchumbaangu anacheka

Haya jamani, mtoto wa 2004l2 anauliza mtoto kautaaaa, manake nini?
Hahahaaaaa... haya mambo hata mimi sielewi. Ni mageni kabisa
 
Back
Top Bottom