Shindwa shetani...
Ngoja nikachekee chooni [emoji23]Shindwa shetani...
Mimi ni alwatani kwenye Jukwaa la Dini...
Kongole mkuu, mimi nimefikisha robo tatu yakoNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Si habaKongole mkuu, mimi nimefikisha robo tatu yako
Na unavyopenda harufu ya mavi ya jinsia KE, mbinguni utaenda kudeki vyooNgoja nikachekee chooni [emoji23]
[emoji3064][emoji3064][emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1550][emoji1550]Na unavyopenda harufu ya mavi ya jinsia KE, mbinguni utaenda kudeki vyoo
Radhi yako muhimu sana babu. 😆 😂Nitake radhi we jamaa