Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Walikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.Hongera legend, 15 yrs si haba. Kipindi unajiunga ni members gani walikuwa machachari jukwaani na je unailinganishaje jf ya kipindi hicho na sasa?
Barikiwa DadaHongera sana Kaka
Marahaba Kaka. Barikiwa.Shikamoo Broo.
Kongole sana
SubutuuHaijaanza
Mpk saa 9
😃😃😃
HahahhahahahahahaNina miaka 17 kasoro JF
Kwenye ile ID nyingine
Marahaba Kaka. Barikiwa.
old is gold. those days won't come backWalikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.
Topics zilikua very hot, 🔥 hakukua na utoto sana ukilinganisha na sasa. Miaka ile JF ilionekana ya watu Fulani ambao upstairs walikua "vizuri". JF ilikua kama think tank ya TAIFA.
Machache kwa sasa
Acha kabisa Kakaold is gold. those days won't come back
NshaijuaNina miaka 17 kasoro JF
Kwenye ile ID nyingine
Shukrani saaanaHongera mkuu
Itaje…Nshaijua
Kwa miaka ile hakukua hata na PMVipi kuna pisi za jf umewahi kupita nazo?
Hakika Hakika ndugu