Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Mungu aendelee kukulinda dhidi ya wachawi wa upande wa pili
 
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
20230317_081806.jpg
 
Back
Top Bottom