Leo nitaeleza kwa nini uvivu ndio chanzo cha ongezeko tabia za hovyo kwa vijana wa kiume

huna point
 
Unamuonyesha mafanikio nani na ili iweje,mafanikio ni kuhakikisha account yako ina mzigo wa kutosha basii,zingine zoote ni ujinga,nawasifu sana wazungu,hawana ujinga huu
Mafanikio yapo kwenye nyanja nyingi, unaweza kuwa na mzigo kwenye account kwa kufanyiwa Matendo ya kudhalilishwa. Hivyo tutafute mafanikio yaliyo na balance kwenye nyanja tofauti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waambie hao Sharobaro wanakaa kijiweni chini ya mti kutwa nzima hawataki hata kazi ya saidia fundi kubeba tofali lakini jioni ukirudi utasikia nitoe na buku brooo. Bata wahed!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafikiri ulikua una hoja tena yenye mashiko, ila ulipoingiza Ushoga ndo ukaharibu kila kitu.

Kwa kifupi hauko sahihi.
 
Nafikiri ulikua una hoja tena yenye mashiko, ila ulipoingiza Ushoga ndo ukaharibu kila kitu.

Kwa kifupi hauko sahihi.
Sasa toka lini mgonjwa anakubali dawa? Tangu lini dawa ikawa tamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…