Leo sayari zile 7 zitaonekana angani kwa mara ya mwisho na hutaziona tena hadi mwaka 2040

Kwanini sayari ya Jupiter ina kitu kama ringi/pete kuizunguka tofauti na sayari zingine?

Ina maana hiyo pete haviachani na sayari tangu kuumbwa kwake?
 
Acha ufala kwani yeye ni Mungu badala umshukuru Mungu kwa uhai na anga unamshukuru mwanadamu u siuchawa sasa ni ujinga
Daaaa! Mkuu, mbona hivyo? Haujaelewa maana ya huu ujumbe wake? Jamaa "anawakejeri" wale waimba MAPAMBIO, ambao kila kitu, ni 'MAMA, MAMA, NANI KAMA MAMA'!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Angani usiku kuna vitu vitu vinachanganya sana kwa mionekano yake ya kuwakawaka na kutoa mwanga na miale. Kuna nyota, sayari, vimondo, satelaiti na ndege ongeza na wadudu na vibwengo. Vile ambavyo vimetulia havisogei kwa haraka ndio huchanganya haijulikani zipi ni nyota na zipi ni sayari zote zinafanana. Ndege zisizo na kitaa chekundu kinachowakawaka nazo huwa ni ngumu kuzitofautisha na satelaiti. Kuna wale wadudu wawakao usiku nao ni vigumu kuwatofautisha na vibwengo. Vimondo vyenyewe vina kasi kasi kubwa na hupotea haraka angani. Ishu ni kutofautisha nyota na sayari wakati wa usiku zote hufanana
 
Kuna dalili ya kuwa na mawingu siku ya Leo!!!
Hali ya hewa ya dar huwa haitabiriki mkuu, kwa mtu aliyeamka kuanzia mida ya saa mbili asubuhi angeweza kukuona muongo, kwa jua linalowaka muda huu utadhani hakukuwa na mawingu mazito wala dalili ya mvua masaa machache yaliyopita
 
Tutatambuaje kama hizi ndizo sayari maana ni ngumu kuzitofautisha na nyota zingine kwa kuwa ukubwa wa nyota na sayari ni kama unalingana tu na hizo heavenly bodies ni kama nyingi sana so inakuwia vigumu kutambua kipi ni kipi
Just try to spot anything in a straight line mkuu, umeshaambiwa zitakuwa kwenye mstari mmoja mnyoofu, hizo nyota and other heavenly bodies mara nyingi huwa ziko scattered au hutengeneza random shapes
 
Kwanini sayari ya Jupiter ina kitu kama ringi/pete kuizunguka tofauti na sayari zingine?

Ina maana hiyo pete haviachani na sayari tangu kuumbwa kwake?
Mkuu mbona siyo jupiter pekee yenye rings, hata saturn, uranus, na neptune nazo zina rings, tena saturn ndio maarufu kwa kuwa na rings maana zake ni kubwa, na huonekana zaidi kuliko rings za hizo sayari nyingine, ambazo ni ndogo na huonekana kwa tabu
 
Mwezi huu niliona Kama nyota 21 zimepangana zikifuatana angani.Nilishangaa sikujua ni kitu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…