Wewe unaonaje? Dunia ni sayari? na je ina sifa sawa na hizo objects nyingine zilizopewa jina la sayari?
Uthibitisho kwamba Dunia ina sifa sawa na hizo objects nyingine upo wapi?
Je, kuna objects inayo support maisha, ukiachana na Dunia?, kama hakuna, kwanini tunaiweka Dunia kwenye kundi moja na vitu ambavyo havina sifa za kufanana?