Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Mkuu jiwe angavu nikweli usemacho lkn hawa wenzetu RC wanatia shaka sana kwa Imani Yao hata abudu Yao ni tofauti kabisa na wengineWewe na mimi hatuna uhakika katika hili..ila kilichoa badili na kutilia shaka hili ni kitendo cha rc kuchanganya ukristo na tamaduni za kiroma.
#MaendeleoHayanaChama
Sikio halijawahi kuzidi kichwa.Mkuu jiwe angavu nikweli usemacho lkn hawa wenzetu RC wanatia shaka sana kwa Imani Yao hata abudu Yao ni tofauti kabisa na wengine
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao
Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa
Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Kuna watu wa mazingira, ila nadhani wanaogopa kwenye dini, ila kelele ni aina ya uchafuzi inapaswa izingatiwe, nilisikia Rwanda hamna habari hizo, na wameenda mbali zaidi kuwa kiongozi wa dini lazima uwe na shahada inayoyambulika hivyo unapata viongozi wa dini wasomi, rahisi kuongea nao na kukuelewa!Anayesinzia night club ni mlevi tu, hakuna mtu sober anaweza kusinzia kwenye kelele.
Leo nimekupa 'Like' kwa mala ya kwanza.Adhana ndio muhimu na haichukui dakika nyingi ,hayo mambo mengine kuwasha spika msikitini kuendeleza harakati nyingine mpaka mida ya watu kupumzika bila sababu za msingi wakati ingewezekana kufanya hata kimya kimya haikubaliki.
Chuki yako ni dhahiri japo kelele hazihitajikiNaandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao
Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa
Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Unawaza upande mmoja.Hapo kanuni ya kipi kimetangulia itafuata.
Huwezi muondoa mtu aliyemfuata.
Wakati una jenga au unapanga si ulimkuta.
Ulipaona na ukaafikiana na hali halisi.
Kelele zao (makanisa na misikiti) ziishie ndani ya mipaka ya eneo lao kutoka nje tayari ni uchafuzi wa mazingira.Hapo kanuni ya kipi kimetangulia itafuata.
Huwezi muondoa mtu aliyemfuata.
Wakati una jenga au unapanga si ulimkuta.
Ulipaona na ukaafikiana na hali halisi.
Misri wamepiga marufuku vipaza sauti kwenye misikiti. Hata huku tukifikia level za uelewa kama Misri hizo spika za misikitini na kwenye makanisa ya kilokole wataziondoa wenyeweNaandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao,usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa,zamani jilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Kengele inapigwa kwa muda gani?Bila shaka inawezekana. Hata wakristo bila kengele inawezekana pia.
WALOKOLE WANAONGOZA KWENYE HILI.Kuna walokole pia wansokesha wakisali na kuimba kwa kelele nyingi.. Yani sasa hivi ukipata pa kuishi ambapo sio karibu na hizi nyumba za ibada uta enjoy sana...
Hawajali kuhusu privacy za wengine
Hawajali kuhusu mapumziko ya wengine
Allah akuafikishe kakaMimi ni muislamu kindaki ndaki
Lakini
Napinga Sana matumizi yasiyo sahihi ya vipasa sauti,tena nakereka Sana, vipasa sauti viwe Kwa AJILI ya adhana Tu kuita watu misikini lakini baada ya hapo zitumike spika za ndani ya msikiti,sioni mantiki ya kuwa bughuzi wengine.
Mtume amesisitiza Sana juu ya kuwapenda majirani zetu,sasa kama waislamu Wana wakera majirani Kwa vipasa sauti vyao je hatuoni hapo tunafanya makosa?
Kuna baadhi ya misikiti mpaka raha utasikia adhana Tu baada ya hapo kimya.
Nilisha weka Nia ya kuja na Uzi juu hili panapo majaliwa inshallah
Amiin ukhtyAllah akuafikishe kaka
Ndoige ni Kwa kila mtu uhuru wa ibadaNaandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao
Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa
Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Punguza kusoma taarifa za mipasho.Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!
Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis