Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Mimi nilishampiga kwa Vichwa kama kondoo...,hajawahi rudia tena hizo kauli za nipige...,anakimbiaga/anakaa kimya akiona kuna dalili za kupigwa
Like me,hiyo ndio dawa,ila usingechukua hatua angekuoanda kichwani
 
Furaha yangu ni kwamba nimebadirisha mtazamo wa mtu mmoja kuhusu intergender dynamics.

Hongera brother...you on the righ path.
Sio mmoja, there are others behind me.

I was in pain brother. Nilikuwa nateseka vibaya mno na kujiuliza what can I do?

Oneitis iliniendesha haswa. I applied game on her na heshima imerudi. I now set the frame.

Now I'm not surprised by women's mystique and the prerogative to change their minds. I understand the message in their actions. I act accordingly.

I understand and have accepted hypergamy. Women don't surprise me anymore as I know what they are capable of given the right circumstances.
 
Kumpiga mwanamke ni kiashiria tosha kuwa mwanaume ni dhaifu.

Mwanaume dhaifu haamini kama uwezo wake wa kumuadabisha mwanamke ni mkubwa kuliko viganja vya mikono yake.

Udhaifu huu unazaliwa na namna mwanaume alivyolelewa na baba yake mzazi.
Mkuu km umeoa jipe mda tu sisi tulio kwenye ndoa tunakimbia miaka 20 lakini changamoto za hawa watu ni majanga.Mwanamke hua kuna kipindi anatingisha km ww ni mwanume kweli sasa ww kaa na kua unamweleza tu utavunja ndoa hutadumu hawa siku akizingua na umeshamkalisha sana kumuelekeza na haelewi ni kipigo ndo jawabau sahihi.
 
Huwezi kulazimisha mapenzi ya dhati kutoka kwa mwanamke kwa kumpiga.

Mapenzi ya dhati ya mwanamke kwa mwanaume yanathibitika kwa utii na unyenyekecu wake kwako.

Kama hafanyi hayo inamaa kuna pengine anako yafanya.

Unachotakiwa kufanya ni kutafuta mwanamke mwingine regardless umeoa au la.
Utaoa mara ngapi kama tatizo kidogo tu unabadili kiota?

Halafu hii dhana ya kuwa 'ukiona mwanamke hakuheshimu ujue kuna mwingine anapewa heshima eti ujiongeze' ni upotofu mwingine.
Kuna baadhi (si wake tu) wameumbwa vichwa vyao vibovu,... hakuna sehemu wanaheshimu wala kutafuta kuheshimiwa.
 
Utaoa mara ngapi kama tatizo kidogo tu unabadili kiota?

Halafu hii dhana ya kuwa 'ukiona mwanamke hakuheshimu ujue kuna mwingine anapewa heshima eti ujiongeze' ni upotofu mwingine.
Kuna baadhi (si wake tu) wameumbwa vichwa vyao vibovu,... hakuna sehemu wanaheshimu wala kutafuta kuheshimiwa.

vetting thoroughly is your only weapon kuwaepuka vichwa vibovu.

Kama umeshindwa kupata utiifu na heshima na unyenyekevu kutoka kwa mwanamke uliye oa au uliyenaye kwenye mahusiano basi you have failed as a man.

A woman is always on the radar to look for a man waku submitt. Kama sio wewe basi ni jirani yako au rafiki yako au somebody else.
 
vetting thoroughly is your only weapon kuwaepuka vichwa vibovu.

Kama umeshindwa kupata utiifu na heshima na unyenyekevu kutoka kwa mwanamke uliye oa au uliyenaye kwenye mahusiano basi you have failed as a man.

A woman is always on the radar to look for a man waku submitt. Kama sio wewe basi ni jirani yako au rafiki yako au somebody else.
Shida kizungu sasa
 
Kwenye ndoa kuna changamoto nyingi mojawapo ambayo naomba sana dada zangu mzingatie, msilazimishe kupigwa. Please please nawaomba ile tabia ya "nipige kama wewe mwanaume kweli" si kauli nzuri. Ila pia muwe mnaelewa kiurahisi, asilimia kubwa ya wanawake ni wagumu sana kuelewa, wazito mpaka unajiuliza shida nini? Una date graduate ila unamweleza jambo taratibu kesho na keshokutwa anakuja rudia vile vile mpaka unashangaa au unakuta makosa ni yale yale siku zote.

Mwishowe unatamani angaa umwashe kibao kidogo kichwa chake kikae sawa. Unafanya hivyo, anakuja kulalamika kuwa umemnyanyasa. Hakumbuki jinsi naye alivyokunyanyasa kwa matendo na maneno yake ya kifedhuli au jeuri. Sisi wengine hatupendi sana kubishana, unaleta ubishi na kubetua midomo na kuangalia kwa dharau mtu anakulia tu timing ana kubandika ndoo moja unaenda chini ukiamka unakimbilia Police na madawati ya jinsia. kumbe mnatutia katika vishawishi ninyi wenyewe.

Mimi namfaham jamaa yangu ambaye alikuwa wakati mwingine ananyanyaswa mbele ya washkaji. aliamua kuniita na mimi tumwonye mkewe kwa upendo mkewe alikuwa mjeuri sana, anaongea sijapata ona. mjeuri mpaka mwisho. siku napigiwa simu jamaa yupo polisi amemgonga vichwa mkewe niende mwekea dhamana. Jamaa akiwa polisi alikiri kuwa ni kweli amempiga mkewe. ila polisi nao walifikia hatua wakasema kwa yule mwanamke alivyokuwa anaongea na kumwongelea mumewe hata wao wangeweza fanya kitendo hicho. Jamaa ni mkimya sana, alikuwa amenyamaza tu. mkewe anawasha gari kwenda polisi ku report naye akaongozana naye akaenda kujikabidhi akiwa so cool yaani.

Polisi wakamhoji sana .akasema ni kweli kampiga mkewe sheria tu ifuate mkondo wake hawezi jitetea kwa lolote. Polisi walishangaa sana sababu jamaa alisema. "siwezi kuwa proud au kujisifu kwa kumpiga mke wangu, nimefanya jambo la kipuuzi.ila sijutii nastahili kuadhibiwa" ile kesi tuliimaliza na jamaa akaomba asafiri kwanza akapumzishe akili" jamaa ndipo alipoanzia kutafuta mchepuko hapo" toka siku hiyo anasema alikuwa akirudi home anaacha pesa ya matumizi anatoa kila kitu anahudumia. then analala tu asubuhi anaenda job n.k
Duuh
 
Back
Top Bottom