Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Kisa cha kumrudisha kwao ni nini?Nifundishe bas....kwan nyumban ulipomtolea mahari ninwap😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisa cha kumrudisha kwao ni nini?Nifundishe bas....kwan nyumban ulipomtolea mahari ninwap😏
Vip swala la 50-50,una maoni gani wewe kama wewe? Unakubaliana nalo?Ndoa ni taasisi wanayo itumia baadhi ya wanawake kujihakikishia uhakika wa kila kitu anachotakiwa kukipata kutoka kwenye ndoa.
Huwa haina faida sana kwa mwanaume.
Nimeoa mwanamke, from the first day nimemwambia kuwa hizi ringi za vidoleni sio sababu ya mimi kuendelea kuishi naye pale atakapo shindwa kuishi katika matarajio yangu.
Na anajua hilo kuwa siku moja akizingua anasepa.
Hivyo hana jeuri hiyo unayo isema wewe.
Unategemea umemuaminishaje tangu hapo awali.
Amemisbehave..au ulitaka umpeleke kwenu akawe beki 3 wenuKisa cha kumrudisha kwao ni nini?
Ndoa ni taasisi wanayo itumia baadhi ya wanawake kujihakikishia uhakika wa kila kitu anachotakiwa kukipata kutoka kwenye ndoa.
Huwa haina faida sana kwa mwanaume.
Nimeoa mwanamke, from the first day nimemwambia kuwa hizi ringi za vidoleni sio sababu ya mimi kuendelea kuishi naye pale atakapo shindwa kuishi katika matarajio yangu.
Na anajua hilo kuwa siku moja akizingua anasepa.
Hivyo hana jeuri hiyo unayo isema wewe.
Unategemea umemuaminishaje tangu hapo awali.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kule wanauaHiyo kauli ''nipige kama wewe mwanaume '' kanda maalum haitumiki kamwe
Unajua kinachofanya ndoa kuvunjika? Kama kashindwa kukusikiliza haikupi haki ya kumrudisha kwao,labda kama mlikua mnaishi kishkaji sawa,ila kama mmekula kiapo ujue huo mzigo wako na utakufa nao.Amemisbehave..au ulitaka umpeleke kwenu akawe beki 3 wenu
jiwe mwenyewe anamlamba vibao mke wake piga kabisa na stuli mpaka mkewe akalazwa jiwe bwana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anajionaga mastaKumpiga mwanamke ni kiashiria tosha kuwa mwanaume ni dhaifu.
Mwanaume dhaifu haamini kama uwezo wake wa kumuadabisha mwanamke ni mkubwa kuliko viganja vya mikono yake.
Udhaifu huu unazaliwa na namna mwanaume alivyolelewa na baba yake mzazi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilivyokua mdogo nilikua nasema hivyo kua kumpiga Mwanamke ni udhaifu,,,Ila nmekua nimeyaona mwenyewe....
Kama mm mwanaumenmapeleka kwao napeleka kesi kwao...wamuonye.kama ataonyekq atarudi km.kichwa ngumu mpe talaka kiroho safi huyo hakua chaguo lakoUnajua kinachofanya ndoa kuvunjika? Kama kashindwa kukusikiliza haikupi haki ya kumrudisha kwao,labda kama mlikua mnaishi kishkaji sawa,ila kama mmekula kiapo ujue huo mzigo wako na utakufa nao.
Ukiwa na wazo hilo akili amezingua hamsikizani utamfanyaje?
baada ya ngumi vipi alirudia kusema nipige tena kama wewe mwanaume?Mimi mmojawapo alafu sijui ni kwanini
wanawake wote wana hiyo tabia anakwambia huku anakufuata....."nipige kama ww ni mwanaume kweli"hapo tayari tumezaa watoto watatu!!!!
basi mie nilimtandika wife ngumi kali ya uso japo badae nilijutia .....
nikasema sitarudia tena kumpiga mke wangu...
akinikorofisha.Moto ukiwaka huwa nasepa manake ana kidomo domo....
Mimi siyo dhaifu kiasi hicho...kwanza atakudharau sanaKama mm mwanaumenmapeleka kwao napeleka kesi kwao...wamuonye.kama ataonyekq atarudi km.kichwa ngumu mpe talaka kiroho safi huyo hakua chaguo lako
Hajarudia tena.....baada ya ngumi vipi alirudia kusema nipige tena kama wewe mwanaume?
Kwahiyo dawa kupiga?? Yaan mm nitakuharibia future had akipita mwanamke umchukie...yaan nitakuvuruga ww...hehehee....hata kazi utaacha kwanzaMimi siyo dhaifu kiasi hicho...kwanza atakudharau sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] tupe madini tupe maujanja[emoji3][emoji3][emoji3].so mwanamke anahitaji kupendwa to the maximum,kujaliwa, kusifiwa,kuhidumiwa,kununuliwa zawadi enheee ongezea na kingine,[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Naongezea mwanamke mjali to the max...utaona kama atakufanyia ujinga...yaan utamremote uwezavyo ww sio ummwagie mijihela hiyo mnayosemaga..hata pipi tu atakuthamini......
You have never been a man!! ndio maana unaandika kirahisi namna hiiKama mm mwanaumenmapeleka kwao napeleka kesi kwao...wamuonye.kama ataonyekq atarudi km.kichwa ngumu mpe talaka kiroho safi huyo hakua chaguo lako
Huyo lazima atakua demu wa kitanga, ndiyo wenye michambo ya style hizo za kubiduwa midomo na kutingisha manyonyo!!Mbona wacheka tena!? Wakati anayatingisha na mdogo unabinuliwa kidogo...
Huwezi kulazimisha mapenzi ya dhati kutoka kwa mwanamke kwa kumpiga.
Mapenzi ya dhati ya mwanamke kwa mwanaume yanathibitika kwa utii na unyenyekecu wake kwako.
Kama hafanyi hayo inamaa kuna pengine anako yafanya.
Unachotakiwa kufanya ni kutafuta mwanamke mwingine regardless umeoa au la.
Hilo neno ngeu babangu atanifata mapema mno...ww peleka kesi nitachambwa mbel yako..sio kutishana maisha aise .kwa kipi haswaWangari Maathai Mwanamke ndio anatakiwa akupeleke yeye kwa wazazi. Ww utapeleka taarifa tu "mtoto wenu hanisikilizi mwonyeni au mwiteni kabla hajaja na ngeu
Kwa NdoaHilo neno ngeu babangu atanifata mapema mno...ww peleka kesi nitachambwa mbel yako..sio kutishana maisha aise .kwa kipi haswa