Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I was born with a natural embracement of masculinity. Its there to stay!siku ukiolewa nijulishe ntakuambia kitu.
Wanangaliaga na kabila la mume ; kama mume ni mkurya subutuuuuTena wengine wakati anatamka hivyo, ANAKUTINGISHIA MANYONYO... UKUTE MWANAMKE MFUPI KIDOGO SASA...!!
Mbona wacheka tena!? Wakati anayatingisha na mdogo unabinuliwa kidogo...
Udhaifu wa mwanaume unadhani unapimwa kwa namna uliyoisema...!? Kuna wanawake majeuri ndugu... Naturally wanaume hatujaumbwa kusemasema, wanawake wao somehow wapo hivyo. Sasa ukute anachokisema kila kuchwapo ni kile kinachokera tu.. We have limits kuvumilia hayo... na wakati mwingine ushamkalisha na kumueleza vya kutosha, ameshasemwa na kila unayedhani atasaidia, vya kutosha... LAKINI WAPII Utamchapa tu ndugu....
Kumpiga mwanamke ni kiashiria tosha kuwa mwanaume ni dhaifu.
Mwanaume dhaifu haamini kama uwezo wake wa kumuadabisha mwanamke ni mkubwa kuliko viganja vya mikono yake.
Udhaifu huu unazaliwa na namna mwanaume alivyolelewa na baba yake mzazi.
Nakusisitiza siku ukiolewa nijulishe kuna jambo nataka nikwambieI was born with a natural embracement of masculinity. Its there to stay!
I was raised by a strong father figure. Cant be attracted to your homosexual fantasies.
Ciaos.
[emoji23][emoji23][emoji13]Sawa mie dume aya wewe jike kaagize ntakulipia mimi [emoji57][emoji57][emoji57]
Inabidi ubadilishe mentality yako.
Mwanamke hatakiwi kupigwa.
Badilika hayo ni mambo ya kizamani.
Kama hakutaki usilazimishe
🤣 🤣 🤣 👆 ya LITE baridi nitalipa mimi. Anywe tuAgiza supu. Nalipa kwa Mpesa.
I feel sorry for those who refers to you as a father.NAKUSISITIZA SIKU UKIOLEWA NIJULISHE KUNA JAMBO NATAKA NIKWAMBIE
Samahani mkuu, hivi lugha ya Kiingereza ni rahisi kuliko Kiswahili!?I was born with a natural embracement of masculinity. Its there to stay!
I was raised by a strong father figure. Cant be attracted to your homosexual fantasies.
Ciaos.
Endelea kujidanganya.Kumpiga mwanamke ni kiashiria tosha kuwa mwanaume ni dhaifu.
Mwanaume dhaifu haamini kama uwezo wake wa kumuadabisha mwanamke ni mkubwa kuliko viganja vya mikono yake.
Udhaifu huu unazaliwa na namna mwanaume alivyolelewa na baba yake mzazi.
A mans inability to persue multiple sexual patners is the reason why many men resort into violence, thinking that they can negotiate desire through traditional way.Punda bila mijeledi haendi
Why forcing yourself to remain exclusive to a particular mate..?Endelea kujidanganya.
kumbe Kiswahili unakijua ?Ulitaka niweke picha ya mboo kwenye Avatar ili ujue kuwa mimi ni mwanaume?
NAKUSISITIZA SIKU UKIOLEWA NIJULISHE KUNA JAMBO NATAKA NIKWAMBIEI feel sorry for those who refers to you as a father.
I feel for their future too.
You seem to be a new comer on the platform ehh?kumbe Kiswahili unakijua ?
Huwezi kulazimisha mapenzi ya dhati kutoka kwa mwanamke kwa kumpiga.Samahani mkuu, hivi lugha ya Kiingereza ni rahisi kuliko Kiswahili!?