Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Nimetoka kusoma.ile.post ambayo umemuunganisha mdada kwenye interview fulani.

Mwisho wa siku ukapata wivu kwakuwa HR anamla yule demu.

-USHAURI-

Fanya mazoezi ya kutongoza mara kwa mara, utajipata ukiwa mwepesi kuAproach beibeiz. Inaonekana dhahiri umejaa na uwoga mbele ya wanawake.

sasa wanawake wenyewe kama wewe hapo wacha niogope aiseee..... hata hayo mazoezi siyataki.
 
sasa wanawake wenyewe kama wewe hapo wacha niogope aiseee..... hata hayo mazoezi siyataki.
Naelewa hali unayopitia. Ni kipindi kigumu sana. Wanaume wengi tuliowahi kuumizwa kimapenzi na wanawake tuliwa kuwa katika hali kama yako.
Chukua hatua stahiki.

Never remain exclusive to a single partner.

Go out meet new people.

Speak your heart out to any woman bila kujali atakuonaje.

Inaonekana ulikosa malezi stahiki ya father-figure. Fanya hayo na utakuwa mpya.
 
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Naongezea mwanamke mjali to the max...utaona kama atakufanyia ujinga...yaan utamremote uwezavyo ww sio ummwagie mijihela hiyo mnayosemaga..hata pipi tu atakuthamini......
Care is not an assurance of Loyalty, obodience and submissiveness from a woman.

A man must embrace his masculinity and everything will fall into place.
 
Kumpiga mwanamke ni kiashiria tosha kuwa mwanaume ni dhaifu.

Mwanaume dhaifu haamini kama uwezo wake wa kumuadabisha mwanamke ni mkubwa kuliko viganja vya mikono yake.

Udhaifu huu unazaliwa na namna mwanaume alivyolelewa na baba yake mzazi.
Hujawahi kuadabishwa na baba yako?

Nakumbuka miaka mitatu iliyopita nilienda home baada ya wiki tu sister yangu mdogo nikasikia amepigwa na mumewe.

Sister akamripot kituoni wakati anarudi njiani akakutana na mimi akaniuliza unaenda wapi nikasema naenda kumtoa mume wako, akaninunia.

Home ikawa ndio ajenda mpya wakawa wananijadili mimi nikategea ambapo tupo wote ndio niseme. Nikasema wazee huyu sister yangu hata kabla hajaolewa mnakumbuka kuna siku alikuja usiku saa 4 nilipomuuliza umetoka wapi alinijibu "wewe kama nani"?

Kama mbele yenu wazazi ambaye mmemzaa aliweza kusema yale maneno ya nyodo unafikiri nini kinamzuia kusema yale maneno kwa mumewe?

Nikawauliza mbona mimi nilivyompiga vibao siku ile hamkuniripoti polisi? Ni kwasababu na nyie mlishuhudia sio?

Kwa maana hiyo nyinyi mnamtengenezea ujasiri binti yenu awe huru kufanya uovu sehemu nyingine as long as nyinyi hamuoni au kushuhudia basi itakua sio sawa akiadhibiwa?

Wazazi wakifikiria wanaona kweli huyu mtoto alikuwa tatizo kwao nikamwambia haya timka nenda kwa mumeo kamuombe msamaha haraka na hapa usije kurudi tena kwa visababu vyako vya kipuuzi
 
Naelewa hali unayopitia. Ni kipindi kigumu sana. Wanaume wengi tuliowahi kuumizwa kimapenzi na wanawake tuliwa kuwa katika hali kama yako.
Chukua hatua stahiki.

Never remain exclusive to a single partner.

Go out meet new people.

Speak your heart out to any woman bila kujali atakuonaje.

Inaonekana ulikosa malezi stahiki ya father-figure. Fanya hayo na utakuwa mpya.
you really wish to be a man? ha ha ha... to be like a man you should act like one. siyo kuwa na mambo ya kike halafu ukadanganya you are a amani. jitahidi.
 
Hujawahi kuadabishwa na baba yako?

Nakumbuka miaka mitatu iliyopita nilienda home baada ya wiki tu sister yangu mdogo nikasikia amepigwa na mumewe.

Sister akamripot kituoni wakati anarudi njiani akakutana na mimi akaniuliza unaenda wapi nikasema naenda kumtoa mume wako, akaninunia.

Home ikawa ndio ajenda mpya wakawa wananijadili mimi nikategea ambapo tupo wote ndio niseme. Nikasema wazee huyu sister yangu hata kabla hajaolewa mnakumbuka kuna siku alikuja usiku saa 4 nilipomuuliza umetoka wapi alinijibu "wewe kama nani"?

Kama mbele yenu wazazi ambaye mmemzaa aliweza kusema yale maneno ya nyodo unafikiri nini kinamzuia kusema yale maneno kwa mumewe?

Nikawauliza mbona mimi nilivyompiga vibao siku ile hamkuniripoti polisi? Ni kwasababu na nyie mlishuhudia sio?

Kwa maana hiyo nyinyi mnamtengenezea ujasiri binti yenu awe huru kufanya uovu sehemu nyingine as long as nyinyi hamuoni au kushuhudia basi itakua sio sawa akiadhibiwa?

Wazazi wakifikiria wanaona kweli huyu mtoto alikuwa tatizo kwao nikamwambia haya timka nenda kwa mumeo kamuombe msamaha haraka na hapa usije kurudi tena kwa visababu vyako vya kipuuzi


Yaani mambulura kama nyie mie na udugu uishe tu..hata kama sisy ana shida sio tiketi ya mwanaume wake kumpiga...nasema sio.. mie nasemaga adhabu kubwa kabisa ya mwanamke mkorofi mrudishe hom kwao walau miez...ukalalamike huko...akija muua je? Na ww kaka mtu hata kama shemej yako anakutumiaga za vocha acha ujinga huo..je qkija chomwa moto?maana nyie ndo mnampa kichwa huyo baba...au ndo anawalisha kwenu wote lazima msande!
Mie binti yangu ataolewa na tajiri makapuku sitak mnahemkwaga sana ..na wanangu wakiume had nazeeka lazima wawe financially stable wasisumbuliwe na wakezao
 
Miaka 20 ijayo vijana wawakati huo wakisoma kwamba wanaume walikua wanaona kuwapiga wanawake ni sehemu ya Haki Yao watahisi hao watu walikua kichwani hawana ubongo.

Kumpiga Mtu mzima mwenzio tena mnalala chumba kimoja watupu kwasababu kakosea naona nimatumizi mabaya ya nguvu na uwezo wa kufikiri lazima uwe chini Sana.

Kama unaona mwanamke anakukera Sana maana yake wewe ulichagua mke asie sahihi kwako kabisa. Na tatizo ni huo uchaguzi wako, ulikua unachagua mke ukiangalia ukubwa wa makalio bila kuangalia hata kama anaakili sawasawa.
 
🤣🤣🤣🤣hata mimi nilisemaga kabla sijaoa,ila nimeoa kumbe ni tofauti. Kwanza mwanamke akiolewa anajua tayari huwez muacha kiraisi kwa hiyo jeuri lazma itakuepo,kama ukiwa dhaifu utakuwa chini yake mida si mrefu.

Diplomasia ina mwisho wake ndani asikwambie mtu,labda kwa michepuko ndio kufukuzana kawaida
Nilivyokua mdogo nilikua nasema hivyo kua kumpiga Mwanamke ni udhaifu,,,Ila nmekua nimeyaona mwenyewe....
 
you really wish to be a man? ha ha ha... to be like a man you should act like one. siyo kuwa na mambo ya kike halafu ukadanganya you are a amani. jitahidi.
Apart from my gender which you will never know untill i overtly do so.

It is shocking to see a man fail to have options of sexual patners out of wedlock until he decides to use force to negotiate genuine desire from one woman.

What a pathetic & lazy mentality.

I wonder if you dont see a problem in yourself..
 
Miaka 20 ijayo vijana wawakati huo wakisoma kwamba wanaume walikua wanaona kuwapiga wanawake ni sehemu ya Haki Yao watahisi hao watu walikua kichwani hawana ubongo.

Kumpiga Mtu mzima mwenzio tena mnalala chumba kimoja watupu kwasababu kakosea naona nimatumizi mabaya ya nguvu na uwezo wa kufikiri lazima uwe chini Sana.

Kama unaona mwanamke anakukera Sana maana yake wewe ulichagua mke asie sahihi kwako kabisa. Na tatizo ni huo uchaguzi wako, ulikua unachagua mke ukiangalia ukubwa wa makalio bila kuangalia hata kama anaakili sawasawa.
Perfect analysis.
 
Miaka 20 ijayo vijana wawakati huo wakisoma kwamba wanaume walikua wanaona kuwapiga wanawake ni sehemu ya Haki Yao watahisi hao watu walikua kichwani hawana ubongo.

Kumpiga Mtu mzima mwenzio tena mnalala chumba kimoja watupu kwasababu kakosea naona nimatumizi mabaya ya nguvu na uwezo wa kufikiri lazima uwe chini Sana.

Kama unaona mwanamke anakukera Sana maana yake wewe ulichagua mke asie sahihi kwako kabisa. Na tatizo ni huo uchaguzi wako, ulikua unachagua mke ukiangalia ukubwa wa makalio bila kuangalia hata kama anaakili sawasawa.
Wa 3 huyu jf mwenye akili na kujitambua
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata mimi nilisemaga kabla sijaoa,ila nimeoa kumbe ni tofauti. Kwanza mwanamke akiolewa anajua tayari huwez muacha kiraisi kwa hiyo jeuri lazma itakuepo,kama ukiwa dhaifu utakuwa chini yake mida si mrefu.

Diplomasia ina mwisho wake ndani asikwambie mtu,labda kwa michepuko ndio kufukuzana kawaida
Ndoa ni taasisi wanayo itumia baadhi ya wanawake kujihakikishia uhakika wa kila kitu anachotakiwa kukipata kutoka kwenye ndoa.

Huwa haina faida sana kwa mwanaume.

Nimeoa mwanamke, from the first day nimemwambia kuwa hizi ringi za vidoleni sio sababu ya mimi kuendelea kuishi naye pale atakapo shindwa kuishi katika matarajio yangu.

Na anajua hilo kuwa siku moja akizingua anasepa.

Hivyo hana jeuri hiyo unayo isema wewe.

Unategemea umemuaminishaje tangu hapo awali.
 
Mimi mmojawapo alafu sijui ni kwanini
wanawake wote wana hiyo tabia anakwambia huku anakufuata....."nipige kama ww ni mwanaume kweli"hapo tayari tumezaa watoto watatu!!!!
basi mie nilimtandika wife ngumi kali ya uso japo badae nilijutia .....
nikasema sitarudia tena kumpiga mke wangu...
akinikorofisha.Moto ukiwaka huwa nasepa manake ana kidomo domo....
Usimpige ngumi chukulia Kama uko na mtoto tu
Mpige makofi mpaka hayo mashavu yawive kabisa atatia adabu tu
 
Mimi mmojawapo alafu sijui ni kwanini
wanawake wote wana hiyo tabia anakwambia huku anakufuata....."nipige kama ww ni mwanaume kweli"hapo tayari tumezaa watoto watatu!!!!
basi mie nilimtandika wife ngumi kali ya uso japo badae nilijutia .....
nikasema sitarudia tena kumpiga mke wangu...
akinikorofisha.Moto ukiwaka huwa nasepa manake ana kidomo domo....
Hapo ni makofi na kimya kitafuata
 
Back
Top Bottom