Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Leo Siku ya Wanawake: Tuambiane ukweli tu kuna Wanawake bila kipigo kidogo hawaelewi kabisa

Hata mimi niliwahi kuniapiza siwezi kumpiga mwanamke, tena niliona ni kutojiamini. Pia nilikuwa nawaambia watu kumpiga mwanamke ni mambo ya kizamani.

Ila sasa baada ya kuoa ndo nimejua kuwa "sio kila ajali anayopata dereva makosa yanakuwa yake" Wanawake ndo wanaotufanya tuwapige. Na kinachofanya mara nyingi wapigwe sio makosa wanayofanya, bali ile reaction baada ya kufanya makosa.

Mtu umenikosea unaona kabisa nina hasira, badala ya kushuka chini au ukakaa kimya bado unajifanya unajua sana kuongea. Imagine mwanamke anakwambia "nipige kama wewe mwanaume kweli"! Kwa hiyo ulitegemea nikuache ili niwe mwanamke mwenzio?
 
Mtu muoga pekee ndiye anayepiga mwanamke.

Kama una uwezo kwanini usitafute wanaume wenzako mkapeana kichapo.

Upige au upigwe. Ila sio kupiga mwanamke.

Mwanamke unampa good time tu, kama huna hela basi tafuta.
 
Hii kauli ya “nipige kama wewe mwanaume kweli” imewaponza wengi sana Ila wanawake sisi wengi wetu ni vivuruge
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Mimi mmojawapo alafu sijui ni kwanini
wanawake wote wana hiyo tabia anakwambia huku anakufuata....."nipige kama ww ni mwanaume kweli"hapo tayari tumezaa watoto watatu!

Basi mie nilimtandika wife ngumi kali ya uso japo badae nilijutia.

Nikasema sitarudia tena kumpiga mke wangu.

Akinikorofisha moto ukiwaka huwa nasepa manake ana kidomo domo.
 
Sawa mie dume aya wewe jike kaagize ntakulipia mimi [emoji57][emoji57][emoji57]
Nadhani washkaji wanao ona sawa kupiga wanawake wanakuwa kama na matatizo flani ya kiakili.

Kwa bahati mbaya bongo hatuna Rehab za masuala ya mahusiano.

Mimi wananiita jike, wewe wanakuita dume. Hahahahah
 
Hii kauli ya “nipige kama wewe mwanaume kweli” imewaponza wengi sana Ila wanawake sisi wengi wetu ni vivuruge
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Na wanaume wajinga ni wale wanao endekeza tabia hovyo za namna hii tangu mapema mpaka zinaota mizizi.

Mwanamke akionyesha red flags mapema nimlazima uziadhibu (sio kwa kumpiga) bali kwa njia nyinginezo.

Ikishindikana kabisa una achana naye.
 
Kwenye ndoa kuna changamoto nyingi mojawapo ambayo naomba sana dada zangu mzingatie, msilazimishe kupigwa. Please please nawaomba ile tabia ya "nipige kama wewe mwanaume kweli" si kauli nzuri...
Unamatani na wakuria? Bila ya kumwonyesha mahaba kwa kumtengua mguu hujampenda bado na wewe kwake ni fala tu kama mafala wengine hebu jaribu kuwa.
 
Mimi mmojawapo alafu sijui ni kwanini
wanawake wote wana hiyo tabia anakwambia huku anakufuata....."nipige kama ww ni mwanaume kweli"hapo tayari tumezaa watoto watatu!!!!
basi mie nilimtandika wife ngumi kali ya uso japo badae nilijutia .....
nikasema sitarudia tena kumpiga mke wangu...
akinikorofisha.Moto ukiwaka huwa nasepa manake ana kidomo domo....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tena na kidole unanyooeshewa weee thubutu kunipiga kama we mwanaume kweli [emoji23]
 
Nadhani washkaji wanao ona sawa kupiga wanawake wanakuwa kama na matatizo flani ya kiakili.

Kwa bahati mbaya bongo hatuna Rehab za masuala ya mahusiano.

Mimi wananiita jike, wewe wanakuita dume. Hahahahah

Vichekesho kwa kweli [emoji23][emoji23]
 
Niwakumbishe wanaume mwanamke asipofika kilele atakuona wewe ni dhaifu sana hakikisha anafika kilele tu

Msije nikoti vibaya.

Kilele ni ile hali ya furaha ya mwisho kabisa hakikisha humkomeshii njiani vilele viko
Mkeo akiwa na furaha hakikisha amefikia kilele cha firaha.
Mkeo akiwa na huzuni hakikisha amefika kilele cha huzuni
Mkeo akiwa analia hakikisha amefika kilele cha kulia
Mkeo akiwa na hasira hakikisha amefikia kilele cha hasira
Mkeo akiwa na uchokozi hakikisha amefikia ile kilele hapo mtaelewana

Mwanamke yoyote hakikisha kafikia kilelele kwa juhidi zako wewe msaidie utakuja kunambia

By
Nkola boy
 
Mbona hamuenzi hii siku yao kwa kuwapa moyo na namna kukabiliana changomoto za kiuchumi bali kwa vitisho mikwara mingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtu muoga pekee ndiye anayepiga mwanamke.

Kama una uwezo kwanini usitafute wanaume wenzako mkapeana kichapo...
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
 
Niwakumbishe wanaume mwanamke asipofika kilele atakuona wewe ni dhaifu sana hakikisha anafika kilele tu

Msije nikoti vibaya.

Kilele ni ile hali ya furaha ya mwisho kabisa hakikisha humkomeshii njiani vilele viko....
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Naongezea mwanamke mjali to the max, utaona kama atakufanyia ujinga yaani utamremote uwezavyo ww sio ummwagie mijihela hiyo mnayosemaga..hata pipi tu atakuthamini.
 
huyu cute yes anaonesha tu ila demigod ni jinsia ile nyingine
Nimetoka kusoma.ile.post ambayo umemuunganisha mdada kwenye interview fulani.

Mwisho wa siku ukapata wivu kwakuwa HR anamla yule demu.

-USHAURI-

Fanya mazoezi ya kutongoza mara kwa mara, utajipata ukiwa mwepesi kuAproach beibeiz. Inaonekana dhahiri umejaa na uwoga mbele ya wanawake.
 
Back
Top Bottom