Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

Mkuu badirisha heading, sio "wakristo"
Sema" waroman " yaani RC

Wakristo wa madhehebu mengine haya hatuyajui
 
It's true!
Asitujumuishe haya ni mambo ya Roman Catholic
Wanasema Wana mama Yao huko juu ,

ETI MUNGU kachukua , jiko Duniani, kampaisha juu,

Ni laana Sana hio ,thehebu,

Maria baada ya kuliwa Sana na josefu kitandani,

Mungu kaona amchukue mwenyewe juu,


Huu ni uchafu mkubwa, ndio maana wajiangalie Sana wanao ingia huko,
 
Ukatoliki ukiuendea kichwakichwa hutaelewa,,mambo mengi ni mafumbo elimu zao zilianzia misri kwa wakina isis na horus,
 
Ukatoliki ukiuendea kichwakichwa hutaelewa,,mambo mengi ni mafumbo elimu zao zilianzia misri kwa wakina isis na horus,
POKEO LOLOTE NJE YA USHAHIDI WA KIBIBLIA ,NI _ _ _Utapeli

MSINGI KAMILI WA UKRISTO NI YESU NA MITUME 12,

NA ULIANZISHWA NA YESU, BAADA NA KABLA YA HAPO HAKUKUWA NA MSINGI MWENGINE NA HAUTAKUWEPO,


KUMBE WENZETU WAMECHUKUA MAMBO MENGINE YA HUKO MISRI KUWA SEHEMU YA MISINGI YA UKRISTO
 
Mimi ni Mkristo ila sikubaliani na fundisho la bikira Maria kuitwa Mama wa Mungu, au kwamba alipalizwa. Kwahiyo usijumuishe Wakristo wote kwenye huo utopolo.
Wamenyewe wanadai.Papa akikaa kwenye kiti chake cha upapa.Chochote atakachosema hakina makosa.
Inategemeana na Papa amelala na kuamka vipi.Siyo maandiko yanasema vipi.
 
Hebu taucheni uongo jamani.Ni wapi imani ya kidini inasema 1+1+1 =1.
Hata tunaonaimini Mungu mmoja nafsi tatu.Bado hatuamini 1+1+1=1.Hesabu zitabaki kuwa hesabu na asili ya Mungu mmija nafsi tatu itabaki kuwa hivyo.Hivyo ni vitu viwili tofauti.Heaavu kule Mungu huku.
 
Wakristo au wakatoliki? Hizo ni sikukuu walizojitungia wakatoliki tu. Tarehe ya kuzaliwa wala kufa kwa Yesu kristo haijulikani iweje siku ya kupaa kwa mama yake Yesu? Nani ana ushahidi wa kupaa kwa Mama yake Yesu?
 
Unamaanisha Nini unaposema Kwa mfano wetu?

Binadamu amefanana na Mungu?
Naam na hakika, ni kiumbe pekee aliyepewa utashi, anaeweza kuzungumza kujiamulia mambo yake na kuongeza ufahamu n.k na mfano wake ni anayeweza kusifu, kuabudu huu mfano tumepewa kutoka kwa Baba pekee
 
Waliopaa bila kuonja Mauti.
1. Enock
2. Elia.


Aliyepa baada ya Mauti.
1.Yesu/Mungu katika utatu.

Mariamu si Bikra bada ya kumzaa Yesu aliolewa na kuendelea kuzaa watoto wengine wengi tu na mume wake Yusuph.

Kuna Dini flani imemfanya Mariam kuwa bikra wakati alipozaa aliendelea kufanya mapenzi na Yusufu/mume wake na kupata watoto.

Mariam alikufa na sasa anasubiri ufufuo, Mungu hana upendeleo eti kisa Yesu alipitia tumbo la Mariam ndio apalizwe, hizi story za Wazungu!
 
Mwamba martin luter aliyakataa hayo mafundisho feki

Kwanza Hayana ushahidi wa kutosha
 
Mwamba martin luter akiyakataa hayo mafundiko feki

Kwanza Hayana ushahidi wa kutosha
Ushahidi wa nini mkuu, Mungu mmoja nafsi tatu.
Huyo mama ni lisanamu dini flani imejichongea na ukiwakuta wanalisujudu, wanalibeba dar nzima kwa maandamano ukiwaambia wanaliabudu wanakataa wanasema wanaliheshimu.

elimu yao ni kama mavi[mtum Paulo alisema] !
 
Kwa roma hilo ni fumbo, na mkilifatilia kwa biblia tu hamtakuja kulielewa maana ukatoliki hautumii biblia peke yake kwa mafundisho ya kanisa
 
Malizaneni kanisani huko sisi wengine hatuamini maswala ya bikira aliyezaa Watoto zaidi5
 
Kwa roma hilo ni fumbo, na mkilifatilia kwa biblia tu hamtakuja kulielewa maana ukatoliki hautumii biblia peke yake kwa mafundisho ya kanisa
Sijataja Dini, inafahamika WA-kristo[Wafuasi wa Yesu] dunia nzima wanatumia BIBLIA. Kaa ni U-Kristo ulianzia Israeli ya Uyahudi na Waroma ndio walimpinga na kumsulubisha.

Yesu alisulubishwa na Warumi kwa amri ya Pilato, ambaye alikuwa gavana wa Kirumi wa Yudea wakati huo.

Sasa kama wanatumia vitabu vingine si ndio vile vya mafarisayo na masadukayo?
 
Malizaneni kanisani huko sisi wengine hatuamini maswala ya bikira aliyezaa Watoto zaidi5
Pharao , Mariamu Mke wa Yusufu alizaa watoto 6 .
Unaweza kufanya mapenzi na mumeo na kuzaa ukabaki bikra?
Hiyo elimu ya dini wanayosemaga wanasoma kuliko dini zingine zinawasaidiaga nini?
Mungu haongozwi na maelimu ya darasani, ROHO MTAKATIFU NDIO MWALIMU MKUU.
 
Hio biblia bila wakatoliki msingeipata, ndo maana hawanaga shida na hivi vidhehebu vya ajabu maana ndo vinawashambulia kweli wakati ni watoto tu kwao
 
Hio biblia bila wakatoliki msingeipata, ndo maana hawanaga shida na hivi vidhehebu vya ajabu maana ndo vinawashambulia kweli wakati ni watoto tu kwao
Kwamba ISRAEL NI WAKATOLIKI?
Kwamba Biblia imeanzia Roma?
Kwamba Paulo, Matayo, Luka walikuwa Warumi?
Unajua waandishi wa biblia wewe bwana katekista?
Unajivunia dini na dhehebu zinazofanya ushoga na kubaka watoto?


Yesu Kristo alizungumzia dini kwa njia mbalimbali katika mafundisho yake, akisisitiza umuhimu wa uhusiano wa kweli na Mungu juu ya utekelezaji wa taratibu na mila za kidini. Yafuatayo ni baadhi ya mafundisho muhimu ya Yesu kuhusu dini:

  1. Upendo na Haki: Yesu alisisitiza upendo kwa Mungu na jirani kama amri kuu. Alisema, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote" na "Mpende jirani yako kama nafsi yako" (Mathayo 22:37-39). Aliweka wazi kuwa amri hizi mbili zinajumlisha sheria na manabii.​
  2. Unyenyekevu na Unafiki: Yesu alikemea vikali unafiki wa viongozi wa kidini wa wakati wake, Mafarisayo na Masadukayo. Alionya dhidi ya kufanya matendo ya dini ili kuonekana na watu, akisema, "Lakini wewe utoapo sadaka, usijue mkono wako wa kushoto kile ufanyacho mkono wako wa kuume" (Mathayo 6:3).​
  3. Uhusiano na Mungu: Yesu alifundisha kuwa uhusiano wa kibinafsi na Mungu ni muhimu zaidi kuliko taratibu za kidini. Aliwaambia wanafunzi wake kuwa Mungu ni Baba mwenye upendo ambaye anataka kujenga uhusiano wa karibu na watoto wake (Mathayo 6:9-13).​
  4. Kutimiza Sheria na Manabii: Yesu alisema kuwa hakuja kuitangua sheria bali kuitimiza. Alifafanua kwamba haki ya kweli inatokana na moyo safi na siyo utekelezaji wa nje wa sheria tu (Mathayo 5:17-20).​
  5. Mambo ya Ndani na ya Nje: Yesu alifundisha umuhimu wa usafi wa moyo kuliko usafi wa nje. Aliwakemea wale waliokuwa wakijali zaidi taratibu za nje huku mioyo yao ikiwa mbali na Mungu, akisema, "Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang'anyi na kutojizuia" (Mathayo 23:25).​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…