Leo Tottenham kumpokonya Man City Ubingwa

NIKO PALE KWA MASAWE WAKALAAAAA

MAN CITY ANASHINDA NA MAGOLI MAWILI NK .. FOBEN
HALAND NA BEKI MMOJA KATIYAO WATASHINDA...
 
Spurs wamejifia hawawezi kuwafunga Man City wawape nyie ubingwa wa mezani. Mtasubiri sana kutwaa ubingwa wa EPL hadi mtakapoamua kufanya mageuzi makubwa ndani ya timu yenu ya Arsenal kwa kuacha kuwategemea wavulana na kusajili wachezaji wakubwa wenye ari ya kupambana na wenye njaa ya makombe.
 
City alitangaza ubigwa kwenye mechi kati Ya Arsenal na Astovilla tusipende kufarijiana Uyu Spurs kachoka sana hana timu ya kumzuia City
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…