Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Sasa haieleweki hata ....Sitntosahau ya Roy Maganga ilikuwa on [emoji91]
Nilikuwa namuomgelea Deokaji Makomba huyo mtangazaji alikuwa ni noma nilikuwa shule ya msingi lakini nilikuwa sibanduki na kiredio changu kusikia habari za michezo.Yeah Baruan Muhuza na jamaa mmoja anaitwa Dickson
Je huu ni uungwana la hasha huu si ungwana, sina hakika kama niko sahihiMarehemu Fredwaa ndo alikua na kipindi flan sijui kilikua kinaitwaje kilikua kina fix flan za kuchekesha alafu kuna sauti za watoto wanacheka kichizi yan
Kapeace ulikua mtoto mdogo sana enzi hizo kuna mtu kakupa jibuJe huu ni uungwana la hasha huu si ungwana, sina hakika kama niko sahihi
😅😅😅wewe ndo mdogo wangu, tena sijui wa ngapi kama sio wa nne basi wa sitaKapeace ulikua mtoto mdogo sana enzi hizo kuna mtu kakupa jibu
We wakati si tunaangalia tangazo la Jambo lotion , kuna jambo kubwa , Jambo ndogo na Jambo katikati alafu kila lotion inataja jina lake huku inakata kiuno ulikua na miaka mingapi? Pengine hata tangazo hukawahi kuliona hilo😅😅😅wewe ndo mdogo wangu, tena sijui wa ngapi kama sio wa nne basi wa sita
Umeigilizia wapi hii Lucha nambie ukweliWe wakati si tunaangalia tangazo la Jambo lotion , kuna jambo kubwa , Jambo ndogo na Jambo katikati alafu kila lotion inataja jina lake huku inakata kiuno ulikua na miaka mingapi? Pengine hata tangazo hukawahi kuliona hilo
Tano bomba za motoMarehemu Fredwaa ndo alikua na kipindi flan sijui kilikua kinaitwaje kilikua kina fix flan za kuchekesha alafu kuna sauti za watoto wanacheka kichizi yan
Yeah mkuu jina linakuja kabisa hili enzi hizo naskiliza radio sikariri jina la kipindiTano bomba za moto
Hapo enzi hizo kuna wadada nyumba ya jirani wazazi wao walisafiri wakawa wanakuja kwetu kuniomba nikalale kwao wakiamini watakua salama kisa mi ni mtoto wakiume wakati mi nilikua mdogo kuliko wao na mwizi akija anaweza kuniiba na mimiUmeigilizia wapi hii Lucha nambie ukweli
Najua hii hadithi kuna mtu kakusimulia ili uje ujimwambafai ulivyo mkubwa mkubwa kumbe bwana mdogo tuHapo enzi hizo kuna wadada nyumba ya jirani wazazi wao walisafiri wakawa wanakuja kwetu kuniomba nikalale kwao wakiamini watakua salama kisa mi ni mtoto wakiume wakati mi nilikua mdogo kuliko wao na mwizi akija anaweza kuniiba na mimi
We unamfahamu Mamtei, Basupa na jini Kabula?Najua hii hadithi kuna mtu kakusimulia ili uje ujimwambafai ulivyo mkubwa mkubwa kumbe bwana mdogo tu
😅😅😅😅tutabishana hadi keshoWe unamfahamu Mamtei, Basupa na jini Kabula?
😄😄😄😅😅😅😅tutabishana hadi kesho