mkenya wa kova
Member
- Oct 14, 2013
- 93
- 62
Sijaona wakitajwa Godwin gondwe,,, double G
Na Asia mohame wa hakuna kulala.
Na Asia mohame wa hakuna kulala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anaitwa Zuberi Msabaha bana RFA kweli ilinoga sana.Kuna yule alikuwa anatafsiri nyimbo za kicongo
Nimemsahau jina,
Dah! Zamani sana, 1998
RFA si ya juzi tu hapa? Hapo ni suala la kukumbushana au kusimuliana tu. Hiyo radio iliyoanza huku Taji Liundi ameshafanya kazi Radio One na kufukuzwa, nayo ni kukumbushana mambo?Leo nimekumbuka nyuma hapo 2005/2006 nakuendelea VIPINDI VYA RFA hakika vilikuwa ni VIPINDI vizuri sana.
Nakumbuka kulikuwa na kipindi kinaendeshwa na mwanadada ajulikanae kama Grory Robson mtoto wa mama sabuni, kulikuwa na sindano tatu za moto na Fredwaa.
Kipindi Cha search Line simkumbuki mtangazaji wake ila alikuwa dada mmoja hivi, jioni unakutana na kipindi Cha mambo mambo eee hatari Sana.
Sitasahau na Sky Woker, hakika tulipata burudani nzuri sana ya vipindi RFA hakika tutamiss sana Vibe la WATANGAZAJI wa RFA. Karibuni tuflashback wakuu.
Tangazo lake alifanya skywalker lilikuwa linasema utaenda wapi zaidi ya hapa walipokuzoea, wewe ni wa hapa hapa.Daah umekumbusha mbali aise. Nikikosa hicho kipind lazim niulize mwendelezo kwa wafuatiliaji wenzangu. Hamna kitu kilikuwa kinakera kama redio kukatika. Sijui ilikuwa inasababishwa na nini?
Msabahakicongo
Mwimbo gan?Edith warucho-michszo
Ahmed Ally na ben mwanantala-michezo
Mambo mambo eee..... Huo wimbo naupataje wakuu?
Lo Unawakumbuka hata mmoja kweli??