Leo tukumbushane vipindi vya RFA na watangazaji wote miaka hiyo kuanzia 2005 pamoja na watangazaji wa vipindi

Miaka yote mimi si mpenzi wa kusikiliza redio, ila kile kipindi cha fredwaa, ilikuwa nikikigumia naenjoy sana
 
  • Sitosahau by Frederick bundala
  • Je? huu ni ungwana by wambula mtaani
  • Showtime by glory Robinson

Kuna kipindi kilikuwa jioni na mtangazaji alikuwa anaitwa MAHUZA.
 
Hapa umegusa roho yangu kabisa. Ni redio yangu pendwa hii tokea miaka mingi.

Vodacom burudani zaidi ndani kukiwa na section ya sindano kali za moto, alitangaza Fred Fidelis kila asubuhi ukitoa wikiend

Sintasahau hichi kilikuwa cha fredrick Bundala sky walker. Ni matukio ya kusisimua sana.

Maswali na majibu kila jumanne usiku sikumbuki mtangazaji.

Seachline kipindi cha kutafutana

Mind your language

Watoto bomba rfa bomba

Indo style, Prince Baina Kamukulu jumapili usiku.
Usiku wa mahaba na mtoto wa mama sabuni.
Je huu ni uungwana? La hasha huu sio uungwana.
Ukimwi na jamii
Tanzania stars jumamosi saa 4 asubuhi
Michezo
Kuna mchezo wa redio niliupenda sana ulikuwa ukirushwa saa 12 mmoja wa wahusika aliitwa mainda nimeusahau jina.
Showtime
Mambo mambo
Boringo time ya Zuberi msabaha.
Kipindi cha mila na desturi za makabila kiliendeshwa na Wambura Mtani.

Kwangu RFA ilikuwa sehemu ya maisha, redio bila betri home hapakaliki kabisa
 
Marehemu Fredwaa ndo alikua na kipindi flan sijui kilikua kinaitwaje kilikua kina fix flan za kuchekesha alafu kuna sauti za watoto wanacheka kichizi yan
sindano 5 za moto
 
Maswali alikuwa ni Ahmed Balaza
 
Kilikuwa kinaitwa WAHAPA-HAPA
 
Rebeka mulesi
Beatrice labach (sina uhakika spelling
Groly Robinson
Stela situmbi
Rahab fredi

Nimekumbuka mbali sana hawa akina-mama,
 
nyakati ..bttfl days dah,masiku yameenda sana .tulipotoka ni mbali tunapoenda hatupajui.
 
Baruani mhuza
Samada Hasani
Fredrick bundala
Deokaji makomba
Juma baragaza
Wambura mtani
Prince baina kamkulu
DJ JOHN lya2
Tom Tom zuberi msabaha
Roy mlaliki maganga
Fred Fidelis Fredwaa


Kweli wakati Ukuta!!
 
2012 latano dah ,sasa naanza kuelewa nimezeeka sasa,
na nimzingatie sana dr.janabi
 
Edith warucho-michszo
Ahmed Ally na ben mwanantala-michezo
Mambo mambo eee..... Huo wimbo naupataje wakuu?
 
Kilikuwa kinaitwa WAHAPA-HAPA
Daah umekumbusha mbali aise. Nikikosa hicho kipind lazim niulize mwendelezo kwa wafuatiliaji wenzangu. Hamna kitu kilikuwa kinakera kama redio kukatika. Sijui ilikuwa inasababishwa na nini?
 
Baruani mhuza
Samada Hasani
Fredrick bundala
Deokaji makomba
Juma baragaza
Wambura mtani
Prince baina kamkulu
DJ JOHN lya2
Tom Tom zuberi msabaha
Roy mlaliki maganga
Fred Fidelis Fredwaa


Kweli wakati Ukuta!!
Jazia hapo
Jacob marcus mitaliani
Groly Robinson
Rebeca mulesi huyu nadhani bado yupo
Steve moyo mchongi
 
Marehemu Fredwaa ndo alikua na kipindi flan sijui kilikua kinaitwaje kilikua kina fix flan za kuchekesha alafu kuna sauti za watoto wanacheka kichizi yan
Dah!...Rip Fredwaa
 
Rahabu Fungo a.k.a Rahabu Freddy mdada wa nyodo kwenye line, Zuberi Msabaha, Vodacom Asubuhi na fredwaa,
 
Roi Maganga alikua na sauti ya kipekee akisoma taarifa ya habari
Bundala na Sitosahau kila Jumapili
Tuzungumze magazeti akina Ahmed Ally wa Simba
Aisee Hii redio ilikua POA Sana hizo siku
 
Sasa ndugu kwanini tusisemezane kwanza yanayolithibu taifa kabla ta haya mengine ambayo hata miaka 100 ijayotutakuwa bado hatujachelewa?
Yani ndugu acha tu yakuthibu mpaka uthibukeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…