Leo tukumbushane vipindi vya RFA na watangazaji wote miaka hiyo kuanzia 2005 pamoja na watangazaji wa vipindi

Leo tukumbushane vipindi vya RFA na watangazaji wote miaka hiyo kuanzia 2005 pamoja na watangazaji wa vipindi

Mpaka leo hii radio yangu namba 1 ni RFA siwezi kujiskia vizuri ipite siku sijamsikia Rebeka Mulesi aiseeee ntaugua homa kali ya mafua.
Haujaiachaa sababu ya contents zake nyingi kubadilishwa
 
Prince Baina Kamukulu.. Alikua anasimulia Movies za kihindi Kila Jumapii kuanzia saa nne kamili usiku.
Muda huo nanyoosha na kuandaa nguo na viatu vya shule kesho yake.
Kale ka feeling na hisia mpaka leo huwa nakumbuka na huwa na wakumbuka watu niliokua nao kipindi hicho.
Yeah Yani nikamemory flan hivii kipindi unajitafita Yani Kuna muda mtu unakumbuka unaona daaah haya mambo hayaa
 
Mpaka sasa RFA Ina vipindi vizuri sana wanajitahidi sana japo vingine wamevitoa kama kipindi cha nyimbo za kihindi ikibidi wakirudishe bana.
Wameweka Nini badala ya nyimbo za kihindi?
 
Leo nimekumbuka nyuma hapo 2005/2006 nakuendelea VIPINDI VYA RFA hakika vilikuwa ni VIPINDI vizuri sana.

Nakumbuka kulikuwa na kipindi kinaendeshwa na mwanadada ajulikanae kama Grory Robson mtoto wa mama sabuni, kulikuwa na sindano tatu za moto na Fredwaa.

Kipindi Cha search Line simkumbuki mtangazaji wake ila alikuwa dada mmoja hivi, jioni unakutana na kipindi Cha mambo mambo eee hatari Sana.

Sitasahau na Sky Woker, hakika tulipata burudani nzuri sana ya vipindi RFA hakika tutamiss sana Vibe la WATANGAZAJI wa RFA. Karibuni tuflashback wakuu.


Hatari sana :-

Mambo Mambo ehee sasaaaa
Je huu ni Uungwana? Wambura Mtani rudi aisee kipindi kinaboa sasa.
Sintosahau - Magasha
Hakuna Kulala - Faustine Stephano
Magazeti -06:30 -07:00

Kuna Pisi moja sijui iko wapi siku hiz JOAN ITANISA.
 
GTORY ROBINSON RFA
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0049.jpg
    IMG-20240910-WA0049.jpg
    63.8 KB · Views: 7
Leo nimekumbuka nyuma hapo 2005/2006 nakuendelea VIPINDI VYA RFA hakika vilikuwa ni VIPINDI vizuri sana.

Nakumbuka kulikuwa na kipindi kinaendeshwa na mwanadada ajulikanae kama Grory Robson mtoto wa mama sabuni, kulikuwa na sindano tatu za moto na Fredwaa.

Kipindi Cha search Line simkumbuki mtangazaji wake ila alikuwa dada mmoja hivi, jioni unakutana na kipindi Cha mambo mambo eee hatari Sana.

Sitasahau na Sky Woker, hakika tulipata burudani nzuri sana ya vipindi RFA hakika tutamiss sana Vibe la WATANGAZAJI wa RFA. Karibuni tuflashback wakuu.

Namkumbuka Lazaro Matarange huyu jamaa katika kila kipindi ilikuwa lazima apige wimbo wa Eminem "cleaning out My closet"
 
Baadhi ya WATANGAZAJI namuona Fredrick Bundala a.k.a Sky na Fredwaa hao wengine sijawajua
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0050.jpg
    IMG-20240910-WA0050.jpg
    50.2 KB · Views: 8
GRORY ROBSON NA KIDBWAY walikiwasha sana kwenye Showtime
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0051.jpg
    IMG-20240910-WA0051.jpg
    77.3 KB · Views: 7
Namkumbuka Lazaro Matarange huyu jamaa katika kila kipindi ilikuwa lazima apige wimbo wa Eminem "cleaning out My closet"
Yeah sure nimekumbuka mkuu na alikuwa anaupenda sana huu wimbo Matarange
 
Hatari sana :-

Mambo Mabo ehee sasaaaa
Je huu ni Uungwana? Wambura Mtani rudi aisee kipindi kinaboa sasa.
Sintosahau - Magasha
Hakuna Kulala - Faustine Stephano
Magazeti -06:30 -07:00

Kuna Pisi moja sijui iko wapi siku hiz JOAN ITANISA.
Daaaaaah umenikumbusha Joan Itanisa alikuwa pisi Kali mnooo aiseee sijui yupo wapi huyu dada
 
Hatari sana :-

Mambo Mambo ehee sasaaaa
Je huu ni Uungwana? Wambura Mtani rudi aisee kipindi kinaboa sasa.
Sintosahau - Magasha
Hakuna Kulala - Faustine Stephano
Magazeti -06:30 -07:00

Kuna Pisi moja sijui iko wapi siku hiz JOAN ITANISA.
Mkuu nadhani Joan Itanisa ni huyu
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0052.jpg
    IMG-20240910-WA0052.jpg
    17.3 KB · Views: 7
Gabriel Zakaria
Raymond Nyamwihula
Ivona Kamuntu
Nevil Meena
Sam Kiama
Roy Mlaliki Maganga
Prince Baina Kamukulu
Fatma Shemweta
Joan Tanisa
Grory Robson
Rahab Freddy
Mkamiti Juma
Hassan Mvula
Hamis Dambaya
Doy Kududye
Fred Fidelis (KIDBWAY)
Jumaa Baragaza
Jacob Sungu
Baruan Muhuza
Zuberi Musabaha
Deo Kaji Makomba
Stella Situmbi
Beatrice Labach
 
Hapa umegusa roho yangu kabisa. Ni redio yangu pendwa hii tokea miaka mingi.

Vodacom burudani zaidi ndani kukiwa na section ya sindano kali za moto, alitangaza Fred Fidelis kila asubuhi ukitoa wikiend

Sintasahau hichi kilikuwa cha fredrick Bundala sky walker. Ni matukio ya kusisimua sana.

Maswali na majibu kila jumanne usiku sikumbuki mtangazaji.

Seachline kipindi cha kutafutana

Mind your language

Watoto bomba rfa bomba

Indo style, Prince Baina Kamukulu jumapili usiku.
Usiku wa mahaba na mtoto wa mama sabuni.
Je huu ni uungwana? La hasha huu sio uungwana.
Ukimwi na jamii
Tanzania stars jumamosi saa 4 asubuhi
Michezo
Kuna mchezo wa redio niliupenda sana ulikuwa ukirushwa saa 12 mmoja wa wahusika aliitwa mainda nimeusahau jina.
Showtime
Mambo mambo
Boringo time ya Zuberi msabaha.
Kipindi cha mila na desturi za makabila kiliendeshwa na Wambura Mtani.

Kwangu RFA ilikuwa sehemu ya maisha, redio bila betri home hapakaliki kabisa
Mkuu kwanza hongera sana unakumbuka mambo mengi sana kwenye VIPINDI VYA RFA kongole kwako aisee vipindi vilikuwa 🔥 🔥 sana
 
Back
Top Bottom