Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Haaahaa in Pierre LIQUID 🥃 voice 😅 itabaki juu itabaki kileleni.. Heineken.Nime
imagine hiyo nyama, na hivyo viazi plus viungo ningetoa roast la nyama na ugali fasta plus Heineken mbili za baridii......
Hivyo vitu sijawahi vielewa, sjui pizza burger.....
Ila mwamba Mwachiluwi hongera aseeh 👊
BRAZA CHOGO umepotelea wapi we mzee wa kike!
SECRETARY BIRD
Poor Brain
zerominus10
🤣🤣🤣 Nakuelewa sana basi tu nimeamua kukuchokoza.Bora waniuwe ila sio kunywa hayo madude.
Sitowahi na sitajaribu maisha yangu yote kunywa huo mtindi
Sipendi maziwa mgando
Sipendi maziwa mtindi
Sipendi maziwa yaliyooza
Mkuu labda umenifananisha na huyu jamaa ERoni huyu ndo yupo radhi kugombana na watu humu kisa tuu kazungumzia maziwa vibaya.
Tukiwa tunafuga ng'ombe wa maziwa siku moja nikiwa na njaa ningali primary schoolBora waniuwe ila sio kunywa hayo madude.
Sitowahi na sitajaribu maisha yangu yote kunywa huo mtindi
Sipendi maziwa mgando
Sipendi maziwa mtindi
Sipendi maziwa yaliyooza
Mkuu labda umenifananisha na huyu jamaa ERoni huyu ndo yupo radhi kugombana na watu humu kisa tuu kazungumzia maziwa vibaya.
Waje pm nipo singleKutokuoa ni dalili ya uchoyo; kuna wadada humu wameshindia mahindi ya kuchoma wanakutazama tu.
KaribuUko vizuri sana
Duh acha kabisa we itakuwa unapenda kulaLakin sio Ivo vitafunwa halafu ndo chakula Cha usiku [emoji3] hapana nitahesabu misumar usiku
Asante kwa ukalibisho.Sana upo mbali ila siku nitakualika
😄😄😄😄 Yaani mi nipo radhi nijiunge al shabab ila sio kunywa vile vitu.🤣🤣🤣 Nakuelewa sana basi tu nimeamua kukuchokoza.
Swadakta, nyama Ama yai katikati inaitwa Egg/Meat chop na nyama ikichanganywa na viazi ndio CutlessKwa ninavyojua mimi hiyo nyama ungeichanganya kama ulivyofanya kwenye viungo na sio kuiweka katikati.
Hata hivyo umetisha, mwanaume kupika namna hiyo sio salama sana.
Mi nashangaa mtu anayekunywa mtindi aiseeeTukiwa tunafuga ng'ombe wa maziwa siku moja nikiwa na njaa ningali primary school
Nimetoka shule na njaa hakukuwa na msosi nikachukua jagi la maziwa full nikamaliza lote kilicho fuatia ni kutapika Sanaa
Mpaka leo sijawai kunywa mtindi TENAA Nina allergies na maziwa mtindi..
Napenda sana ugali, ndizi, pilau, chapati zote ziwe na nyama 😂.... Mtoto wa butcher manHaaahaa in Pierre LIQUID 🥃 voice 😅 itabaki juu itabaki kileleni.. Heineken.
Kumbe unapenda ugali eeee....Mara moja moja kupika sio mbaya ila Mimi nina uwezo wa juu kwenye kupika mzee napika 😊☺️
Hata mchana nilipigq glass yangu ya mtindi bariiid sana baada ya kula ugali mkuu!Bora waniuwe ila sio kunywa hayo madude.
Sitowahi na sitajaribu maisha yangu yote kunywa huo mtindi
Sipendi maziwa mgando
Sipendi maziwa mtindi
Sipendi maziwa yaliyooza
Mkuu labda umenifananisha na huyu jamaa ERoni huyu ndo yupo radhi kugombana na watu humu kisa tuu kazungumzia maziwa vibaya.
Mimi ndo nateseka saiv. Katika vyote sipendi kuosha vyomboHongera sana mkuu maana wengine kupika ilikuwa tabu kweli. WAkati naishi peke yangu sikuwa napenda kununua chakula nilikuwa napika ila napika ili mradi kusurvive tu maana chakula chenyewe ni dakika kadhaa nshapakua.
Sio peke yakoMimi ndo nateseka saiv. Katika vyote sipendi kuosha vyombo
Ahahahah utaki pesa za haraka haraka bila mkopo 😂Nendeni mnaopiganisha. Mmeapa kufa it's okay kikija lakini sio kukikimbilia sasa🤣
Ahahaj sasaivi imekufa kabisSwala la wewe kupika Halina ubishi.. ulikua una zunguka Kona ya M&I kutafuta Nyanya na hoho za kachumbali🫣🫣