Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

Endlea kukariri... first labda... last una danganya...
 
Anaanza fid q anafata one incredible uno, anamalizia bi boy stereo singasinga chundabad
 
Acha mambo yako bwana sema mademu huwa hawamwelewi fid sababu ya ugumu wake lakin siyo kweli kwamba stamina anamfunika fid
 
Duh
 
Mosqo unamjua a.k.a kISANDO
 
Samahan wakuu Natoka nje ya mada ila as long tunajadili rap na hip hop, mwenye wimbo ulioimbwa kwa ushirikiano wa songa, Nash mc, p the mc na zaiid uitwao Vina mpaka uchina anisaidie.
 
VIVA ROMA VIVA...hakuna mc mkali East Africa.kama Roma..machunusi akatunge riwaya
 
Samahan wakuu Natoka nje ya mada ila as long tunajadili rap na hip hop, mwenye wimbo ulioimbwa kwa ushirikiano wa songa, Nash mc, p the mc na zaiid uitwao Vina mpaka uchina anisaidie.
ninao mkuu
 
Dah nmepata mzuka ghafla Wa hio ngoma adi nmepitiwa, BTW nitumie tu huo wimbo boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…