Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Una utani na Robert Heriel Mtibeli maana ndio ninaemjua humu
Una utani na Robert Heriel Mtibeli maana ndio ninaemjua humu
Ndio napendaga nikuone ukiwa nazoπ€¦ππ
Joannah bhana, unajua kabisa Mimi ni short-temper alafu unanichokoza. Hasira zangu
Ndio napendaga nikuone ukiwa nazoπ€¦
Kwani Hadi saa Tisa kasoro hii haujala tatizo ni Nini haswa?au unaleta Yale mambo yetu ya kula Kwa picha ya samaki?Nikiwa sijala alafu uniletee ujingaujinga, naweza kukurarua
Kwani Hadi saa Tisa kasoro hii haujala tatizo ni Nini haswa?au unaleta Yale mambo yetu ya kula Kwa picha ya samaki?
π€£π€£π€£π€£π€£Naomba nikuache mtibeli wa watu usije pata vidonda vya tumbo ukanisingiza bureHuu mji unaweza ukakufanya ukawa bize mpaka ukasahau Kula.
Huku JF Joannah ananipa Stress
Huku mtaani bills kama zote na siku zinakimbia kama upepo.
Huyu Mdudu ni nouma nlishawahi kuona clip anamuua nyoka, nilishangaa sanaNdugu wana nzengo amani iwe kwenu.
Leo kuna jambo naomba tushirikishane uzoefu limeniumiza kichwa muda mrefu sana.
Katika maisha yangu nimebahatika kuishi na wazungu kwa ukaribu sana kiasi kwamba nilipaswa kujuwa ukweli wa ninachokiuliza lakini wazungu ni wagumu kufunguwa codes, ukiwauliza wanakwambia just for fun.
Nimeishi kwa mabeberu, nimefanyakazi nao Africa kwenye tourist industry lakini kuna vitu nakosa majibu.
Nimefanyakazi kwenye hunting company, mpaka leo bado sijaelewa vizuri ukiacha trophy za meno ya tembo hawa wanyama wengine wana thamani ya trophy kwa zile pesa wanazospend kuja Africa?
Maswali ni mengi kuliko majibu, sasa tuache yote leo nataka kujuwa kuhusu wazungu wanaofuga Mantis (Vunja jungu) je ni kweli hawa Vunja jungu wana super natural? je ni za namna gani? Zinamsaidia vipi huyu anayewatunza Vunja jungu? Kuhusu Swala la kujifurahisha tu hilo nimelikataa ndani ya ubongo wangu.
Yani huwezi kuamini mzungu yupo ulaya au America maisha yake yote na uchumi wake wote unatokana na hawa Vunja jungu, je kuna siri gani? Kuna elimu gani ambayo wazungu wanaojuwa na hawatoi codes?
Yani Africa mtu unajitutumuwa kufuga Kuku, Ng'ombe, mbuzi na hutoboi, inakuwaje hawa jamaa wanatobowa kwa Vunja jungu? tena wanawachukuwa kwetu na kuwasafirisha kwa magendo?
Cc: Mshana Jr Rakims Pascal Mayalla
π€£π€£π€£π€£π€£Naomba nikuache mtibeli wa watu usije pata vidonda vya tumbo ukanisingiza bure
Hivi unajua kiukweli sijui kiundani maana halisi ya Huo utibeli....hebu nidokee kidogoWewe hautaki kuwa Mtibeli. Nichukue chuma hiko
Mantis ni jamii ya Insect, ni Insect pekee mwenye kuweza kuzungusha kichwa pande zote ili kuona chochote hasa wadudu wadogo wadogo ambao yeye huwala..kwa style hiyo wazungu wanasema wanasali/swaliNdugu wana nzengo amani iwe kwenu.
Leo kuna jambo naomba tushirikishane uzoefu limeniumiza kichwa muda mrefu sana.
Katika maisha yangu nimebahatika kuishi na wazungu kwa ukaribu sana kiasi kwamba nilipaswa kujuwa ukweli wa ninachokiuliza lakini wazungu ni wagumu kufunguwa codes, ukiwauliza wanakwambia just for fun.
Nimeishi kwa mabeberu, nimefanyakazi nao Africa kwenye tourist industry lakini kuna vitu nakosa majibu.
Nimefanyakazi kwenye hunting company, mpaka leo bado sijaelewa vizuri ukiacha trophy za meno ya tembo hawa wanyama wengine wana thamani ya trophy kwa zile pesa wanazospend kuja Africa?
Maswali ni mengi kuliko majibu, sasa tuache yote leo nataka kujuwa kuhusu wazungu wanaofuga Mantis (Vunja jungu) je ni kweli hawa Vunja jungu wana super natural? je ni za namna gani? Zinamsaidia vipi huyu anayewatunza Vunja jungu? Kuhusu Swala la kujifurahisha tu hilo nimelikataa ndani ya ubongo wangu.
Yani huwezi kuamini mzungu yupo ulaya au America maisha yake yote na uchumi wake wote unatokana na hawa Vunja jungu, je kuna siri gani? Kuna elimu gani ambayo wazungu wanaojuwa na hawatoi codes?
Yani Africa mtu unajitutumuwa kufuga Kuku, Ng'ombe, mbuzi na hutoboi, inakuwaje hawa jamaa wanatobowa kwa Vunja jungu? tena wanawachukuwa kwetu na kuwasafirisha kwa magendo?
Cc: Mshana Jr Rakims Pascal Mayalla
Hivi unajua kiukweli sijui kiundani maana halisi ya Huo utibeli....hebu nidokee kidogo
Mi samini kama wana akili sana, sema nahisi wana access of some information ambazo hawataki sisi tujue.Waba akili sana wale watu,kuna vitu vingi wanavijua na sisi hatuvijui na hatutakuja kuvijua
Nyoka mkubwa wa kummeza hata panyabuku.Kwa hiyo vunja jungu alimpiga roba nyoka?au kinyoka kilikuwa kidogo?Namuogopa sana huyo mdudu Mimi tangu utotoni mpaka leo
Angalia movie ya Bruce inter the Dragon, wakati wapo kwenye mashua kutoka Hong Kong kwenda kwenye kisiwa cha Dragon kwenye ile mashuwa walikuwemo Bruce Lee, Jim Kelly, Jim Brown na wengine siwakumbuki, kuna Mantis walitumika pale walipiganishwa.
Hii movie Bruce inter the Dragon kama sikosei ilichezwa mwaka 1976, Vunja jungu alikuwemo kama hiden code.
Infornation is power,ndio akili zenyewe,knowledgeMi samini kama wana akili sana, sema nahisi wana access of some information ambazo hawataki sisi tujue.
Mirror effects, fungua hiyo code mwenyewe, au moon effects.Nataka tujikite na tuzame kwa undani, kuna kitu wazungu wanakijuwa lakini nadhani wamekula kiapo kabisa asijue mtu yeyote nje ya jamii yao.
Sasa si vibaya tukifanya vireseach vyetu wenyewe.
Ona kama Bongo zozo anazunguka dunia ukimuuliza source of income yake atakwambia ni forex trading, uwongo mtupu.
Kwa Imani yetu ya kimila Sisi kwetu Vunjajungu siku zote analeta msg, na kwetu huwa tunapata faraja Sana tunapomkuta ndani, tulishawahi kupotea kaburi la Bibi yetu yaani tulishahangaika mpaka tukataka kukata tamaa from no where akaja yeye taratibu akaenda mpaka kwenye kaburi husika kisha akatulia. Tulilia kweli kweli. Tukaja kuambiwa ni kweli Hilo ndo kaburi sahihi la Bibi yetu. Hivyo kila mtu na anavyomchukulia huyu Vunja jungu.Mirror effects, fungua hiyo code mwenyewe, au moon effects.
Tangu siku niloona clip vunjajungu anaua nyoka nimezidi kumuogopaWazungu sometimes hupenda kuyafanya mambo ambayo sisi tunayaona madogo, wao huyafanya makubwa. Mambo ambayo sisi tunayaona hayana maana wao huyafanya ya maana.
Unakuta mtu anatengeneza mechi ya mapigano kati ya vunja chungu na mende, nyoka au wadudu wengine hatari afu anaweka kiingilio cha pambano ambapo watu wanaingia kuangalia, au wengine wanafuatilia pambano hilo kupitia YouTube nk. Na kupitia pambano hilo unakuta mtu anavuna madolar ya kutosha. Afu mara nyingi vunja jungu ndo hushinda mapambano hayo πππ
Kuna pambano nimeshahudia vunja jungu akiuwa nyoka. Aisee vunja jungu yupo vizuri kwa kung fuu, na akikupiga roba moja tu kwisha habari yako. Maana ni mfano wa roba yenye mbao ya misumari.