mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
hili ndo jibu Dr Matola PhDSwala la kujifurahisha tu
Wapo kiajent kutoka mashirika ya UjasusiNataka tujikite na tuzame kwa undani, kuna kitu wazungu wanakijuwa lakini nadhani wamekula kiapo kabisa asijue mtu yeyote nje ya jamii yao.
Sasa si vibaya tukifanya vireseach vyetu wenyewe.
Ona kama Bongo zozo anazunguka dunia ukimuuliza source of income yake atakwambia ni forex trading, uwongo mtupu.
Wakati ukifuatilia desperately shiba inu kama itapanda.Hizo rangi anazioneshaje Mkuu?
me cjuiNdugu wana nzengo amani iwe kwenu.
Leo kuna jambo naomba tushirikishane uzoefu limeniumiza kichwa muda mrefu sana.
Katika maisha yangu nimebahatika kuishi na wazungu kwa ukaribu sana kiasi kwamba nilipaswa kujuwa ukweli wa ninachokiuliza lakini wazungu ni wagumu kufunguwa codes, ukiwauliza wanakwambia just for fun.
Nimeishi kwa mabeberu, nimefanyakazi nao Africa kwenye tourist industry lakini kuna vitu nakosa majibu.
Nimefanyakazi kwenye hunting company, mpaka leo bado sijaelewa vizuri ukiacha trophy za meno ya tembo hawa wanyama wengine wana thamani ya trophy kwa zile pesa wanazospend kuja Africa?
Maswali ni mengi kuliko majibu, sasa tuache yote leo nataka kujuwa kuhusu wazungu wanaofuga Mantis (Vunja jungu) je ni kweli hawa Vunja jungu wana super natural? je ni za namna gani? Zinamsaidia vipi huyu anayewatunza Vunja jungu? Kuhusu Swala la kujifurahisha tu hilo nimelikataa ndani ya ubongo wangu.
Yani huwezi kuamini mzungu yupo ulaya au America maisha yake yote na uchumi wake wote unatokana na hawa Vunja jungu, je kuna siri gani? Kuna elimu gani ambayo wazungu wanaojuwa na hawatoi codes?
Yani Africa mtu unajitutumuwa kufuga Kuku, Ng'ombe, mbuzi na hutoboi, inakuwaje hawa jamaa wanatobowa kwa Vunja jungu? tena wanawachukuwa kwetu na kuwasafirisha kwa magendo?
Cc: Mshana Jr Rakims Pascal Mayalla
Dah, roba ya mbao tenaWazungu sometimes hupenda kuyafanya mambo ambayo sisi tunayaona madogo, wao huyafanya makubwa. Mambo ambayo sisi tunayaona hayana maana wao huyafanya ya maana.
Unakuta mtu anatengeneza mechi ya mapigano kati ya vunja chungu na mende, nyoka au wadudu wengine hatari afu anaweka kiingilio cha pambano ambapo watu wanaingia kuangalia, au wengine wanafuatilia pambano hilo kupitia YouTube nk. Na kupitia pambano hilo unakuta mtu anavuna madolar ya kutosha. Afu mara nyingi vunja jungu ndo hushinda mapambano hayo πππ
Kuna pambano nimeshahudia vunja jungu akiuwa nyoka. Aisee vunja jungu yupo vizuri kwa kung fuu, na akikupiga roba moja tu kwisha habari yako. Maana ni mfano wa roba yenye mbao ya misumari.
Bongo zozo kumbe ni forex trader?Nataka tujikite na tuzame kwa undani, kuna kitu wazungu wanakijuwa lakini nadhani wamekula kiapo kabisa asijue mtu yeyote nje ya jamii yao.
Sasa si vibaya tukifanya vireseach vyetu wenyewe.
Ona kama Bongo zozo anazunguka dunia ukimuuliza source of income yake atakwambia ni forex trading, uwongo mtupu.
Waba akili sana wale watu,kuna vitu vingi wanavijua na sisi hatuvijui na hatutakuja kuvijua
Tamaduni zetu ndio msingi wa maisha yetuAfrika bado tuna safari ndefu sana . !!! Hivi na wewe unajiita great thinker kweli? Wazo la kijinga kama hili linaweza vipi kukaa kwenye ubongo wa mwanadamu anae fikiri sawa sawa?
Maisha yamekushinda sasa unataka kufanikiwa kupitia vunja chungu!!! Na wewe una PHD kabisaaa au umejipa jina tu?
Nimechaguwa kukupuuza tu mjinga kabisa.Afrika bado tuna safari ndefu sana . !!! Hivi na wewe unajiita great thinker kweli? Wazo la kijinga kama hili linaweza vipi kukaa kwenye ubongo wa mwanadamu anae fikiri sawa sawa?
Maisha yamekushinda sasa unataka kufanikiwa kupitia vunja chungu!!! Na wewe una PHD kabisaaa au umejipa jina tu?
Nimechaguwa kukupuuza tu mjinga kabisa.
Who is profesa? Profesa is someone who knows too much about little thing.
Katafute basha Tiktok.
Huwa sirespond mashoga, nimekupa bonus tu Kenge wahed.Kumbe I was right eeh wewe ni zero brain . Zero brain wote huwa wana respond challenge kwa matusi ya nguoni.
Uzi wako ni wa kipuuzi sana aisee sijawahi ona mtu mwenye akili timamu anawaza kama wewe.
Eti kivunja chungu daaah
πππ Kwa wale walioishi Dar maeneo ya mburahati, kigogo, manzese, mw/nyamala, tandika nk miaka ile wanazijua vizuri roba hizi mkuuDah, roba ya mbao tena