Leo tupeane uzoefu wako, unajua nini kuhusu huyu kiumbe vunja jungu? (Mantis) je ni kweli ana super natural kama wazungu wanavyoamini?

Leo tupeane uzoefu wako, unajua nini kuhusu huyu kiumbe vunja jungu? (Mantis) je ni kweli ana super natural kama wazungu wanavyoamini?

Wazungu sometimes hupenda kuyafanya mambo ambayo sisi tunayaona madogo, wao huyafanya makubwa. Mambo ambayo sisi tunayaona hayana maana wao huyafanya ya maana.

Unakuta mtu anatengeneza mechi ya mapigano kati ya vunja chungu na mende, nyoka au wadudu wengine hatari afu anaweka kiingilio cha pambano ambapo watu wanaingia kuangalia, au wengine wanafuatilia pambano hilo kupitia YouTube nk. Na kupitia pambano hilo unakuta mtu anavuna madolar ya kutosha. Afu mara nyingi vunja jungu ndo hushinda mapambano hayo 😂😂😂
Kuna pambano nimeshahudia vunja jungu akiuwa nyoka. Aisee vunja jungu yupo vizuri kwa kung fuu, na akikupiga roba moja tu kwisha habari yako. Maana ni mfano wa roba yenye mbao ya misumari.
duh kumbe huyu mdudu ana ubabe kiasi hiki
 
😂😂😂 Kwa wale walioishi Dar maeneo ya mburahati, kigogo, manzese, mw/nyamala, tandika nk miaka ile wanazijua vizuri roba hizi mkuu
Tena nasikia wengine walikuwa wanaongezea na misumari kwenye ubao wa roba😂😂😂😂😂😂
 
Tena nasikia wengine walikuwa wanaongezea na misumari kwenye ubao wa roba😂😂😂😂😂😂
Kweli mkuu kuna wengine walikuwa wanaweka misumari. Hapo lazima mkabwaji kinyesi kikutoke 😂😂😂 na ukitoka hapo unaelekea kanisani au msikitini kumshukuru Mungu kwamba wakabaji hawakuondoka na roho yako
 
Natoa code Kidogo Vunja jungu anaishara kubwa sana ya mafanikio. Ukitaka kuamini siku ukimuona, ama akiwa amakurukia mwilini alafu katulia, subili baada ya siku chache ama siku hiyohiyo utapata kitu kizuri sana sana hela, ama dili la hela ndefu kabisa. Na kama Kuna mtu alikuwa anazuia ujue kafeli
Mkuu na je kama ukimuona tu around kwako let's say mara nyingi? Kunakuwa na ishara hiyohiyo? Maana recently amekua akionekana kwangu sana
 
Binafsi, nakataa kwamba ni suala la Akili, kwamba wametuzidi sana Akili.

Mtoto wa Kizungu anafuga nyoka chumbani kwake kwenye box la kioo, ukiuliza utaambiwa “that’s Brian’s pet snake” ila mtoto wa Tandale kwa Tumbo akikutwa na nyoka chumbani tena kwenye box la kioo utaambiwa “ule ni mzimu wa family yao, ndio unawapa hela!”


Wametuzidi matumizi ya Akili.
Umetoa mfano mmoja tu tena kwa watoto,toa mfano wa watu wazima wanaofanya naamuzi makubwa ya Taifa na watunga sera,ndio utajua kuwa wenzetu wana akili nyingii sana
 
Basi mi nikimuona huwa nampiga na mfagio kumtoa nje,kumbe ni hazina
 
Umetoa mfano mmoja tu tena kwa watoto,toa mfano wa watu wazima wanaofanya naamuzi makubwa ya Taifa na watunga sera,ndio utajua kuwa wenzetu wana akili nyingii sana
Kuwa na akili nyingi na kuwa na commitment ni vitu viwili tofauti. Kwa sababu;
Mtunga sera ni mwingine na msimamizi na mtekelezaji wa sera ni mwingine.
Hata sera tulizoiga kwa wazungu na marekani zilizotungwa zomefeli kwetu.
Jambo kubwa ni utashi na uzalendo na maono.
Mfano bandari tunayo miaka yote tangu uhuru. Mfumo wa uendeshaji wa bandari haujabuniwa na waswahili bali wazungu. Vifaa vimebuniwa na wazungu sisi kazi yetu ni kuvinunua na kuvitumia ila havina tija. Je hapo sababu ni akili au commitment?
Ni akili gani inahitsjika hapo zaidi ya utekelezaji?
Nitakuelewa kama utasema ubinafsi, kutojali na kikosa uzalendo.
Mambo mengi yameishabuniwa kazi yetu ni kuyasimamia tu wala hayahitaji akili kubwa.
Wachina wanakauli yao inasema no "need to reinvent the wheel just copy it and modify it to suit your need".
Wapi sisi tunahitaji akili nyingi?
Mtandaoni kuna China plan 2020-2025 kujitosheleza kiteknolojia. Wameandika kila kitu mle. Je sisi tupange mpango kama huo wakati tayari mchina kauweka wazi kabisa.
Je unahitaji akili gani hapo wakati wenye wameisha kutafunia kila kitu.
Guy! sisi tunashindwa kwa kukosa commitment labda na pesa.
Kufanya monitoring ya mpango mkubwa gharama yake si ndogo bila kusahau majizi.
Unataka kuniambua majizi yanayotuibia hayana akili kubwa?
Je ni jeli watanzania milioni 60+ gskuna wenye akili kubwa?
 
Nataka tujikite na tuzame kwa undani, kuna kitu wazungu wanakijuwa lakini nadhani wamekula kiapo kabisa asijue mtu yeyote nje ya jamii yao.

Sasa si vibaya tukifanya vireseach vyetu wenyewe.

Ona kama Bongo zozo anazunguka dunia ukimuuliza source of income yake atakwambia ni forex trading, uwongo mtupu.
shida kuna kizazi flan kikianza kuvuruga maarifa yatolewayo hapa hata aliyetaka kufunguka mengi zaidi anaacha wenzetu wanasikiliza sana na kuhoji/kudadisi sisi tunashindana na kubisha.
 
specifically called "praying mantis". I have seen it. The female eats her husband after mating.
 
Mantis is so useful,
Alivyo ni mdudu imara,kichwa chake kinazunguka kwa nyuzi 360, ana uimara wa kumuona adui kwa HARAKA sana,na kukabiliana nae,wenzetu huko ngambo humuhusisha mdudu huyu na maombi Fulani siyaweki hapa,lakini baada ya kuko mbine,huwa na nguvu kubwa sana ya kushinda uadui wowote ule,maneno mabaya visasi,nguvu za kiza,pia hukupa ushindi kwa kila ukifanyacho,maombi hayo huambatana na imani za fikra zaidi.(yoga)+(meditation)
Ndio maana Tanzania wakamwita vunja chungu.Chungu au jungu ni uchawi fulani utumikao kama kisasi.Humaliza wote waliokigusa kitu kilichoibwa au kilichotendewa ubaya.Sasa kuna namna akitumika huondoa laana ya uchawi ule kwa watu wasostahili kufikwa na nuizo la hicho chungu.
 
Tamaduni tunazojivunia zinatuziba masikio yetu na macho hata vilivyo vya kweli tunavipinga.Tibeli ni eneo huko kwenye novel ya kiyahudi iitwayo bibicry.
Kumbe Tibeli ni nchi ya kusadikika...thanks ngoja nianze hapa kutafuta kuijua vizuri
 
Back
Top Bottom