Sijasoma comment nyingi ila kwa hii, wakati wa round UTATOKA tu. Nasisitiza Utatoka tu.Kulazimisha ndugu asisogee wakati wa round wodini. Kwangu huu ni utoto. Mimi ndiyo ndugu nina haki ya kusikiliza maelekezo na hali ya mgonjwa wangu. Nina haki ya kusema juu ya maendeleo yake na hata kutoa ushauri. Kwanza mgonjwa mwingine unakuta hajiwezi, hana uwezo wa kujieleza. Daktari anakwambia toka nje.
Kuna siku nikamgomea kutoka akawa mpole.
Hakuna shaka wanafanya kazi kubwa kuokoa maisha yetu. Mungu awabariki sana kwenye hilo. Lakini kama binadamu wengine nao wana mapungufu. Wengine mapungufu makubwa zaidi mpaka unajiuliza huyu mtu anatumia kiungo gani kufikiri. Ninayo machache ya kushangaza kwa hawa ndugu wakiwa anga zao;
1. Baadhi hawataki kusikiliza ushauri wowote toka kwa mgonjwa kama yeye ni mungu mdogo.
Wapo madaktari wamewaletea madhara makubwa wagongwa kutokana na kutowasikiliza. Mgonjwa mmoja alimwambia daktari asimchome hiyo sindano humletea madhara. Dr akakaza shingo, leo hii mgonjwa kavimba mwili mzima.
2. Kulazimisha ndugu asisogee wakati wa round wodini. Kwangu huu ni utoto. Mimi ndiyo ndugu nina haki ya kusikiliza maelekezo na hali ya mgonjwa wangu. Nina haki ya kusema juu ya maendeleo yake na hata kutoa ushauri. Kwanza mgonjwa mwingine unakuta hajiwezi, hana uwezo wa kujieleza. Daktari anakwambia toka nje.
Kuna siku nikamgomea kutoka akawa mpole.
3. Ubishi wa kijinga
Yupo daktari aliwahi kuacha kitambaa tumboni wakati wa operesheni. Mama yule akamweleza daktari baada ya maumivu kuzidi. Daktari hakufanya uchunguzi wowote. Mama akaenda hospitali ya rufaa wakakuta kitambaa. Akamrudia daktari mkuu basi wamrudishie gharama, wakakataa. Mama akasikiwa na wakili kesi ikaenda mahakamani wanadai 100m.
Vuta nikuvute ikaamuliwa walipe 50m.
4. Muda wa kuona wagonjwa
Wakati huu wa masika unakuta mvua inanyesha huwezi kuleta msosi kwa wakati. Unakutana na nesi anakaza hakuna kupita. Sasa mgonjwa afe njaa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Ongeza na zako....itaendelea
Ushauri
Usimuone daktari kama mdogo wake Mungu ukamuamini kwenye kila kitu, hasa hawa dot.com. Hakikisha unachanganya na zako au unakuwa na mtu wako pembeni wa kupima mwenendo wa matibabu
Bora ulijibu kwa hekima yaani ndugu aanze kusikiliza taarifa za mgonjwa? Anayepewa taarifa ni mgonjwa yeye ndo aamue akwambie anaumwa nini.Point namba mbili nakubishia. Daktari au mfanya kazi yeyote wa afya haruhusiwi kuoa taarifa ya mgonjwa. Labda mgonjwa mwenyewe akuambie wewe anaumwa nini ila siyo daktari, sheria inawafunga.
Soma kwanza uelewe. Tumesema mgonjwa hajiwezi kiasi cha kushindwa kujieleza. Mimi utanitoa halafu baadae nakufuata uniambie ulichoongea na mgonjwa na mimi nikueleze maendeleo ya mgonjwa. Utafanya kazi mara 2Sijasoma comment nyingi ila kwa hii, wakati wa round UTATOKA tu. Nasisitiza Utatoka tu.
Ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa unless awe hajiwezi kwa lolote, et useme wewe ni kakaake sijui mjombaake out.
Ukitak kuepukana na kero za namna hiyo mkuu usiende vituo vya afya vya serikali, kuna mambo ya hovyoHakuna shaka wanafanya kazi kubwa kuokoa maisha yetu. Mungu awabariki sana kwenye hilo. Lakini kama binadamu wengine nao wana mapungufu. Wengine mapungufu makubwa zaidi mpaka unajiuliza huyu mtu anatumia kiungo gani kufikiri. Ninayo machache ya kushangaza kwa hawa ndugu wakiwa anga zao;
1. Baadhi hawataki kusikiliza ushauri wowote toka kwa mgonjwa kama yeye ni mungu mdogo.
Wapo madaktari wamewaletea madhara makubwa wagongwa kutokana na kutowasikiliza. Mgonjwa mmoja alimwambia daktari asimchome hiyo sindano humletea madhara. Dr akakaza shingo, leo hii mgonjwa kavimba mwili mzima.
2. Kulazimisha ndugu asisogee wakati wa round wodini. Kwangu huu ni utoto. Mimi ndiyo ndugu nina haki ya kusikiliza maelekezo na hali ya mgonjwa wangu. Nina haki ya kusema juu ya maendeleo yake na hata kutoa ushauri. Kwanza mgonjwa mwingine unakuta hajiwezi, hana uwezo wa kujieleza. Daktari anakwambia toka nje.
Kuna siku nikamgomea kutoka akawa mpole.
3. Ubishi wa kijinga
Yupo daktari aliwahi kuacha kitambaa tumboni wakati wa operesheni. Mama yule akamweleza daktari baada ya maumivu kuzidi. Daktari hakufanya uchunguzi wowote. Mama akaenda hospitali ya rufaa wakakuta kitambaa. Akamrudia daktari mkuu basi wamrudishie gharama, wakakataa. Mama akasikiwa na wakili kesi ikaenda mahakamani wanadai 100m.
Vuta nikuvute ikaamuliwa walipe 50m.
4. Muda wa kuona wagonjwa
Wakati huu wa masika unakuta mvua inanyesha huwezi kuleta msosi kwa wakati. Unakutana na nesi anakaza hakuna kupita. Sasa mgonjwa afe njaa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Ongeza na zako....itaendelea
Ushauri
Usimuone daktari kama mdogo wake Mungu ukamuamini kwenye kila kitu, hasa hawa dot.com. Hakikisha unachanganya na zako au unakuwa na mtu wako pembeni wa kupima mwenendo wa matibabu
Kuna daktari mmoja muhaya pale JKCI anajiona mjuaji sana.
Nilimwambia anisikilize Mimi mgonjwa kwani nimeugua Ugonjwa wangu kwa miaka thelathini yeye amekuwa daktari chini ya miaka mitano hivyo Nina uzoefu kuliko yeye kwenye suala langu hakuta kunisikiza
Nimependa jibu lako, iko hivi ujue privacy na confidentiality ni ishu nyeti sana, kama huyo daktari au nesi alikufukuza basi alifanya kosa kubwa sana ikiwa mgonjwa hajiwezi sababu kuna vitu unaweza kuviona na kuvireport. Alikosea sana kufanya hivyo.Soma kwanza uelewe. Tumesema mgonjwa hajiwezi kiasi cha kushindwa kujieleza. Mimi utanitoa halafu baadae nakufuata uniambie ulichoongea na mgonjwa na mimi nikueleze maendeleo ya mgonjwa. Utafanya kazi mara 2
Watu hawajui miiko na kanuni za taaluma husika ila wapo mbioni kukashifu, ataletewa terminologies ambazo yeye mwenyewe hatakuja kuzielewa ila kwakuwa mtanzania ni mtu mbishi, wao ni kubisha tu.Point namba mbili nakubishia. Daktari au mfanya kazi yeyote wa afya haruhusiwi kuoa taarifa ya mgonjwa. Labda mgonjwa mwenyewe akuambie wewe anaumwa nini ila siyo daktari, sheria inawafunga.
Fika Ocean Road. Fika pale uone vikongwe na waliochoka na saratani wanavyohangaishwa.Watu hawajui miiko na kanuni za taaluma husika ila wapo mbioni kukashifu, ataletewa terminologies ambazo yeye mwenyewe hatakuja kuzielewa ila kwakuwa mtanzania ni mtu mbishi, wao ni kubisha tu.
Kuna daktari mmoja muhaya pale JKCI anajiona mjuaji sana.
Nilimwambia anisikilize Mimi mgonjwa kwani nimeugua Ugonjwa wangu kwa miaka thelathini yeye amekuwa daktari chini ya miaka mitano hivyo Nina uzoefu kuliko yeye kwenye suala langu hakuta kunisikiza
Madaktari na manesi wanafanya kazi kubwa sana,badala ya kuwasakama nadhani ungezidi kuwaombea kwa mungu baba mwenyezi.
Tumewakosea niniHakuna shaka wanafanya kazi kubwa kuokoa maisha yetu. Mungu awabariki sana kwenye hilo. Lakini kama binadamu wengine nao wana mapungufu. Wengine mapungufu makubwa zaidi mpaka unajiuliza huyu mtu anatumia kiungo gani kufikiri. Ninayo machache ya kushangaza kwa hawa ndugu wakiwa anga zao;
1. Baadhi hawataki kusikiliza ushauri wowote toka kwa mgonjwa kama yeye ni mungu mdogo.
Wapo madaktari wamewaletea madhara makubwa wagongwa kutokana na kutowasikiliza. Mgonjwa mmoja alimwambia daktari asimchome hiyo sindano humletea madhara. Dr akakaza shingo, leo hii mgonjwa kavimba mwili mzima.
2. Kulazimisha ndugu asisogee wakati wa round wodini. Kwangu huu ni utoto. Mimi ndiyo ndugu nina haki ya kusikiliza maelekezo na hali ya mgonjwa wangu. Nina haki ya kusema juu ya maendeleo yake na hata kutoa ushauri. Kwanza mgonjwa mwingine unakuta hajiwezi, hana uwezo wa kujieleza. Daktari anakwambia toka nje.
Kuna siku nikamgomea kutoka akawa mpole.
3. Ubishi wa kijinga
Yupo daktari aliwahi kuacha kitambaa tumboni wakati wa operesheni. Mama yule akamweleza daktari baada ya maumivu kuzidi. Daktari hakufanya uchunguzi wowote. Mama akaenda hospitali ya rufaa wakakuta kitambaa. Akamrudia daktari mkuu basi wamrudishie gharama, wakakataa. Mama akasikiwa na wakili kesi ikaenda mahakamani wanadai 100m.
Vuta nikuvute ikaamuliwa walipe 50m.
4. Muda wa kuona wagonjwa
Wakati huu wa masika unakuta mvua inanyesha huwezi kuleta msosi kwa wakati. Unakutana na nesi anakaza hakuna kupita. Sasa mgonjwa afe njaa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Ongeza na zako....itaendelea
Ushauri
Usimuone daktari kama mdogo wake Mungu ukamuamini kwenye kila kitu, hasa hawa dot.com. Hakikisha unachanganya na zako au unakuwa na mtu wako pembeni wa kupima mwenendo wa matibabu
Madaktari hawa wa kukariri vitini hovyo sana wnafanya kazi bila uweredi.Hakuna shaka wanafanya kazi kubwa kuokoa maisha yetu. Mungu awabariki sana kwenye hilo. Lakini kama binadamu wengine nao wana mapungufu. Wengine mapungufu makubwa zaidi mpaka unajiuliza huyu mtu anatumia kiungo gani kufikiri. Ninayo machache ya kushangaza kwa hawa ndugu wakiwa anga zao;
1. Baadhi hawataki kusikiliza ushauri wowote toka kwa mgonjwa kama yeye ni mungu mdogo.
Wapo madaktari wamewaletea madhara makubwa wagongwa kutokana na kutowasikiliza. Mgonjwa mmoja alimwambia daktari asimchome hiyo sindano humletea madhara. Dr akakaza shingo, leo hii mgonjwa kavimba mwili mzima.
2. Kulazimisha ndugu asisogee wakati wa round wodini. Kwangu huu ni utoto. Mimi ndiyo ndugu nina haki ya kusikiliza maelekezo na hali ya mgonjwa wangu. Nina haki ya kusema juu ya maendeleo yake na hata kutoa ushauri. Kwanza mgonjwa mwingine unakuta hajiwezi, hana uwezo wa kujieleza. Daktari anakwambia toka nje.
Kuna siku nikamgomea kutoka akawa mpole.
3. Ubishi wa kijinga
Yupo daktari aliwahi kuacha kitambaa tumboni wakati wa operesheni. Mama yule akamweleza daktari baada ya maumivu kuzidi. Daktari hakufanya uchunguzi wowote. Mama akaenda hospitali ya rufaa wakakuta kitambaa. Akamrudia daktari mkuu basi wamrudishie gharama, wakakataa. Mama akasikiwa na wakili kesi ikaenda mahakamani wanadai 100m.
Vuta nikuvute ikaamuliwa walipe 50m.
4. Muda wa kuona wagonjwa
Wakati huu wa masika unakuta mvua inanyesha huwezi kuleta msosi kwa wakati. Unakutana na nesi anakaza hakuna kupita. Sasa mgonjwa afe njaa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu.
Ongeza na zako....itaendelea
Ushauri
Usimuone daktari kama mdogo wake Mungu ukamuamini kwenye kila kitu, hasa hawa dot.com. Hakikisha unachanganya na zako au unakuwa na mtu wako pembeni wa kupima mwenendo wa matibabu
Inakadiriwa Tanzania daktari mmoja anahudumia wastani wa wagonjwa 20,000. Shirika la afya duniani linapendekeza daktari mmoja kwa wagonjwa 1,000. Hasira na malalamiko yenu kuna mahali mnapaswa muyaelekeze, sio kwa madaktari. Daktari inabidi akusikilize wewe haraka haraka na anataka ukubaliene naye kwa haraka bila kupoteza muda kwa sababu kuna msururu wa wagonjwa wengine huko nje wanaosubiria huduma yake.
Madaktari wangapi mtaani hawana ajira wakati tukinunua magoli na kutoa misaada nchi za nje na kujinasibu kuwa pesa zipo? Hizi takwimu za upungufu wa madaktari ni hewa.
Hata hao walioko mtaani wakiingizwa wote kwenye ajira bado kutakuwa na upungufu mkubwa tu wa madaktari nchi hii.
Sasa nyie madaktari WA bongo mna utaalamu gani pumbavuTatizo ni kujifanya mjuaji kwenye taaluma za watu, imekuwa rahisi sana kuwashambulia na kuwabeza madaktari…. basi ujitibu mwenyewe tu.
Aisee watu mna nyodoSasa nyie madaktari WA bongo mna utaalamu gani pumbavu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ofcourse sehemu nyingi Cos na Amo wao hujiita madaktari na kuharibu kila kitu.Madaktari hawa wa kukariri vitini hovyo sana wnafanya kazi bila uweredi.
Madaktari wa bongo kama hukujiongeza anakusababishi kilema ama kifo.
Bora wazamani walikuwa na uwezo darasani lakini hawa wa sasahivi kutoka vyuo vya kata ndio majanga kabisa.
Sasa kuna wale matabibu co na amo wao ni kuvimba wakati iq ndogo. Wengi wanafanya kazi kwa kukariri na madesa.
Kidogo baadhi ya specialists wana ahueni kidogo japo ndo walewale.
Muziki ni hawa COs na Amo nao wanajitambulisha kama madaktari hivyo kuwatapeli wagonjwa.
Yaani matabibu nao kujifanya madaktari nadhani ndio mwanzo wa tatizo