Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Baba ameniacha na miezi tisa (9) 80s huko,mama huwa ananiambiaga aliporudishwa nyumbani kijiji kwetu akiwa mgonjwa alichoweza kutamka ni kunipa jina yeye ali-suggest niitwe "Bahati",mwanae wa pili wa kiume pekee na wa mwisho,kisha hakuweza kusema tena kitu mpaka siku sita mbele alipofariki.R.I.P

Though ni Baba yangu huwa sina yale machungu nae saana sababu labda sikukaa nae,ila binamu yangu aliyenilea na kunipa maisha ndiye huwa ananiuma a lot.R.I.P Bob.

Mungu awarehemu marehemu wote awape pumziko la Amani.Amina!!!
 
Kuna jamaa huwa nawaonea gere kuwa na Wazazi.

Imagine mpo ofisini alafu Co-worker anasema ngoja nipokee simu ya Baba, kupunguza machungu nawe unachukua simu unampigia Mtoto wako walau kusikia anaendeleaje huko nyumbani
At least Yaan....maana Kuna wale wamekosa wazazi na watoto pia....very sad 😭
 
Amazing grace how sweet the sound
That saved a wretch like me
I once was lost, but now I'm found
Was blind but now I see

'Twas grace that taught my heart to fear
And grace my fears relieved
How precious did that grace appear
The hour I first believed

Through many dangers, toils, and snares
I have already come
This grace that brought me safe thus far
And grace will lead me home

When we've been here ten thousand years
Bright, shining as the sun
We've no less days to sing God's praise
Than when we first begun

Amazing grace how sweet the sound
That saved a wretch like meI once was lost, but now I'm found
Was blind but now I see
 
Baba ameniacha na miezi tisa (9) 80s huko,mama huwa ananiambiaga aliporudishwa nyumbani kijiji kwetu alichoweza kutamka ni kunipa jina kisha hakuweza kusema tena kitu mpaka siku sita mbele alipofariki.R.I.P

Though ni Baba yangu huwa sina yale machungu nae saana sababu labda sikukaa nae,ila binamu yangu aliyenilea na kunipa maisha ndiye huwa ananiuma a lot.R.I.P Bob.

Mungu awarehemu marehemu wote awape pumziko la Amani.Amina!!!
Pole sana mkuu....walale pema peponi🙏
 
Kuna jamaa huwa nawaonea gere kuwa na Wazazi.

Imagine mpo ofisini alafu Co-worker anasema ngoja nipokee simu ya Baba, kupunguza machungu nawe unachukua simu unampigia Mtoto wako walau kusikia anaendeleaje huko nyumbani
Hizi moment zilikuwa zinaniumiza sana nilipokuwa bado mdogo,nilikuwa nikisikia mtu anatamka habari za baba natamani wazee wao nao wafariki.

Sasa age imeenda na kujitambua nimegundua umuhimu wa kila mtu kuwa na baba huwa nikisikia mtu amefiwa na mzee wake naumia sana hasa awe hajawa stable kimaisha,hapa naelekea msibani Africana dogo aged 31 amefariki jana kaacha katoto ka miaka 3½,siumii kufariki kwa dogo hiyo ni nature naumia huyo mtoto maisha atakayokua nayo sababu nina experience ya kuishi ukiwa bila Baba.

Inaumiza.
 
Dah poleni sana, Nakumbuka nikiwa mdogo rafiki yangu alimpoteza baba yake dah yale maumivu ni kama nilihisi nimepata mimi kilichotokea nikawa namuhurumia sana na nikawa nampenda sana yule rafiki yangu, ukimzingua lazima niingilie kati had leo jamaa ni mwanangu sana.
 
Dah poleni sana, Nakumbuka nikiwa mdogo rafiki yangu alimpoteza baba yake dah yale maumivu ni kama nilihisi nimepata mimi kilichotokea nikawa namuhurumia sana na nikawa nampenda sana yule rafiki yangu, ukimzingua lazima niingilie kati had leo jamaa ni mwanangu sana.
😭 Ubarikiwe sana Kwa kuwa na moyo huo.....kuondokewa na wazazi inaumiza sana Kwa kweli.pole yake
 
Back
Top Bottom