Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very sorry for the young Man, tuseme ukweli kufiwa na Baba kuna muachia Mama mzigo mkubwa sana wa malezi.Hizi moment zilikuwa zinaniumiza sana nilipokuwa bado mdogo,nilikuwa nikisikia mtu anatamka habari za baba natamani wazee wao nao wafariki.
Sasa age imeenda na kujitambua nimegundua umuhimu wa kila mtu kuwa na baba huwa nikisikia mtu amefiwa na mzee wake naumia sana hasa awe hajawa stable kimaisha,hapa naelekea msibani Africana dogo aged 31 amefariki jana kaacha katoto ka miaka 3½,siumii kufariki kwa dogo hiyo ni nature naumia huyo mtoto maisha atakayokua nayo sababu nina experience ya kuishi ukiwa bila Baba.
Inaumiza.
Kijanaa tulia banaa, mie na To yeye mbona kama samaki na maji.. oxygen na uhai .. subiri tu kula mpungaKabisa now umekuw mpaka National Anthem anataka kukuoa bila mahali wanyakyusa tumegoma
muambie kijana aache kelele kwanza tule raha sie.. au tumpokonye chombo yake Dahan 😅😅.... bye🤣🤣🤣🤭 We Niacheni kwanza jaman
Uh nisame mimi kilopo lopo si unajua nikishakula kitimoto tena🤣🤣 Utani msibani😊
Naanza kupikea mahali mdogo mdogo uwe unatuma sasaKijanaa tulia banaa, mie na To yeye mbona kama samaki na maji.. oxygen na uhai .. subiri tu kula mpunga
Tup msiban mapenzi peleka kule baharin 😂muambie kijana aache kelele kwanza tule raha sie.. au tumpokonye chombo yake Dahan 😅😅.... bye
Njoo tuungane hapa mkuu me nshakuelewa maana nikama tuko kundi moja wazaz wapo kama hawapo yaniPole sana Mtoa mada,
ila Je na sisi ambao Wazazi wetu wapo ila ni kama Tu Wametangulia mbele za Haki, Tunacomment wapi ?
😅😅😅 acha nimsake mmsap wako nitupie wasungu ndaniTup msiban mapenzi peleka kule baharin 😂
Sio mimi dada ninhuyo kichaa mzeeMmeshaharibu Uzi tayari🙄
Mm nasepaMi simo
Miss you sana mshua wangu mchizi na rafiki yanguu.. soon nitakuona mzee dingi peponi 😊😊😊We,mwondoke humu...chap
Umenikumbusha bab yangu uhuu wimbo 😭😭😭😭 nalia kinyakyusa saa mpaka majiran wananishangaa hapa msiba utafufuka upyaMiss you sana mshua wangu mchizi na rafiki yanguu.. soon nitakuona mzee dingi peponi 😊😊😊
View attachment 2719875
Back when I was a child
Before life removed all the innocence
My father would lift me high
And dance with my mother and me and then
Spin me around till I fell asleep
Then up the stairs he would carry me
And I knew for sure I was loved
If I could get another chance
Another walk, another dance with him
I'd play a song that would never ever end
How I'd love, love, love to dance with my father again, ooh