Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
miak 21 iliipita nikiwa na miaka 3 hiv nikaishia kupata story tu, nagundua kwenye msiba na mm nilikuwepo lakin sikujua kama ni msiba 😅 mbaya RIP msure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepoa Mkuu, ila it real pains 😢pole sana babu
Hongera,sijabahatika kuona babu kwa mama/baba, bibi tu nimemuona na kashakufa,kitamboBaada ya kusoma Uzi nlienda Kwa wakala kwanza niwatumie wazazi chochote[emoji848][emoji848][emoji848]
Mungu aendeleee kuwalinda Babu, bibi, baba & mama[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ahsante[emoji120]pole sana
Pole sana.mzee alifariki miaka kadhaa iliyopita, nashukuru kwamba nilipata nafasi ya kumuaga vizuri kabla ya kuondoka kwake...
nitamkumbuka kwa mengi.
Ni mipango ya mungu tu🤔🤔Mimi wapo wote kwa pande zote, Babu yake baba alifariki 2010 nlibahatika kuishi nae kidogo japo sikuelewana nae lugha alikua hajui kiswahiliHongera,sijabahatika kuona babu kwa mama/baba, bibi tu nimemuona na kashakufa,kitambo
Aisee,kwenu mnadumu,Ni mipango ya mungu tu[emoji848][emoji848]Mimi wapo wote kwa pande zote, Babu yake baba alifariki 2010 nlibahatika kuishi nae kidogo japo sikuelewana nae lugha alikua hajui kiswahili
Mimi huwa sipendi sherehe zinazo nihusu kwa 7bu za kutokuwa na mzazi hata mmoja.Nilimpoteza Mzee wangu nikiwa na miezi 10, kutokea hapo nimelelewa na Mama pekee.
Bahati mbaya kabla sijapata kazi naye akafariki bila kuonja hata elfu 1 yangu.
Graduation ya form six na chuo kikuu zote nimezifanya bila uwepo wao.
Kuna wakati huwa nahisi huyu Mungu anapendelea. Kwanini awachukue Wazee wangu wote asiniachie hata mmoja wakati kuna wenzangu wana wazazi wote ama hata mmoja tu.
Anyways, safari ni yetu sote but it really pains 😭😭😭
Wale wenye Wazazi msiache kuwaombea na tafadhalini jaribuni kuwajali hata kwa kidogo mlichonacho.
Pole bff ni maumivu makali tunapitia, mimi nikiona mada km hizi nakimbia kabisa sitaki kukumbuka hapa leo nitalia Sana’a 😔😔R.I.P mummy and daddy
binti yenu wa pekee naendelea vizuri zaidi ya jana
haikuwa rahisi ila bado napambana
mngekuwepo ningewasimulia mengi sana yaliyojiri tangu mniache nikiwa na miaka 3
Ila ngoja nsiwachoshe...endeleeni kupumzika huko mlipo naamini kabisa mnaniombea
Mimi huwa sipendi sherehe zinazo nihusu kwa 7bu za kutokuwa na mzazi hata mmoja.
Kipindi ninaoa,niligoma kabisa kufanya sherehe kwani nilijua itakuwa chungu kwangu kuwaona wengine wana jimwaya mwaya ukumbini ilihali hakuna mazazi wangu,machozi yange jaa pipa.
bff usilie tumeshakua sahivi wacha tupambane na hali zetuPole bff ni maumivu makali tunapitia, mimi nikiona mada km hizi nakimbia kabisa sitaki kukumbuka hapa leo nitalia Sana’a 😔😔