Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Mimi huwa sipendi sherehe zinazo nihusu kwa 7bu za kutokuwa na mzazi hata mmoja.
Kipindi ninaoa,niligoma kabisa kufanya sherehe kwani nilijua itakuwa chungu kwangu kuwaona wengine wana jimwaya mwaya ukumbini ilihali hakuna mazazi wangu,machozi yange jaa pipa.
Pole sana mkuu
 
R.I.P mummy and daddy
binti yenu wa pekee naendelea vizuri zaidi ya jana
haikuwa rahisi ila bado napambana
mngekuwepo ningewasimulia mengi sana yaliyojiri tangu mniache nikiwa na miaka 3
Ila ngoja nsiwachoshe...endeleeni kupumzika huko mlipo naamini kabisa mnaniombea
Pole sana cute....Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza 🙏
 
Kupitia Uzi huu inaonesha, Wanaotangulia kufa ni Sisi akina Baba then baadaye kabisa akina Mama.

Mungu asaidie pamoja na majukumu yetu ya kazi ambayo huwa ni hatarishi kwa sehemu kubwa, basi atufanye nasi tufikie Umri wa Uzee.

Tunapowaacha Wake zetu na watoto wadogo huwa wanapata tabu sana ya kuwalea peke yao.

Imagine una kufa mtoto wako wa kiume hata hajafanyiwa tohara, angalia Jinsi Mama atakavyopata tabu kuuguza hicho kidonda maana hata principles zake hazijui masikini.

Imagine mtoto wako baada ya barehe amekuwa hamsikilizi Mama yake tena, laiti ungekuwa hai sauti yako moja tu ingemtosha mtoto kubadirika😫😫
 
Kupitia Uzi huu inaonesha, Wanaotangulia kufa ni Sisi akina Baba then baadaye kabisa akina Mama.

Mungu asaidie pamoja na majukumu yetu ya kazi ambayo huwa ni hatarishi kwa sehemu kubwa, basi atufanye nasi tufikie Umri wa Uzee.

Tunapowaacha Wake zetu na watoto wadogo huwa wanapata tabu sana ya kuwalea peke yao.

Imagine una kufa mtoto wako wa kiume hata hajafanyiwa tohara, angalia Jinsi Mama atakavyopata tabu kuuguza hicho kidonda maana hata principles zake hazijui masikini.

Imagine mtoto wako baada ya barehe amekuwa hamsikilizi Mama yake tena, laiti ungekuwa hai sauti yako moja tu ingemtosha mtoto kubadirika😫😫
😭😭😭😭 Inaumiza sana mkuu ....sana
 
Back
Top Bottom