Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniPole sana mkuu
🙏[emoji120]muombee azidi kulala salama, i feel your pain and i plan to help you lessen your struggles.
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi baba angu.Kama umelelewa na ndugu, watu baki, au na mama pekee au baba pekee kutokana na kufiwa na mama, au baba ama wazazi wote. Tuwakumbuke na kuwaombea waendelee kulala mahali pema peponi. Nasi tutafuata japo hatujui kama tutakutana njia moja. Tuendelee kumwomba Mungu atupe mwisho mwema.
Nimejikuta siko sawa kwa muda baada ya kumkumbuka marehemu baba aliyekufa nikiwa na miaka mitatu. Kumbukumbu niliyobaki nayo ni kuambiwa na mama kwamba baba alikuwa ananipenda sana😭😭😭.
Mliojaaliwa kulelewa na wazazi wote wawili hongereni na msiache kuwapenda wazazi wenu, wahudumieni msichoke. Hivyo unavyobania kuwapa wazazi katu hutozikwa navyo, watachezea na kutapanya wengine.
Mungu ambariki mama yangu, aendelee kujaaliwa afya njema, amepambana sana mpaka nimefikia hapa.
Poleni sana wahanga, duniani tunapita wote pambaneni na maisha mpaka tone la mwisho la jasho na damu👊.
Andika R.I.P kwa mzazi aliyekwisha tangulia mbele za haki, kuna member atakupa pole kwa kureply comment yako, utajisikia vyema.🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana 🙏
Aimeen 🙏Naamini ataendelea kukulinda na kukupigania daimaa
😭😭Mnhuu,walimuua? Pole mpenz...aiseeMungu akupunguzie adhabu ya kaburi baba angu.
Nakukumbuka, natamani ningetumia muda mwingi zaid kua nawe, Lakini Mungu aliamua kukuchukua mapema.
Kinachoniuma zaidi ni kuona wote walosababisha kifo chako wako uraiani.
Endelea kupumzika kwa amani.
Acha tu Mimi miwili nawaza ikifika birthday yake 12.12 naacha pombe kama kumuenziDaah miezi 4 sasaa[emoji24][emoji24][emoji24]Sijui kama kuna mtu duniani anaweza chukua nafasi ya mama japo robo tuu[emoji27][emoji27]
Thanks babe.😭😭Mnhuu,walimuua? Pole mpenz...aisee
NAKAZIAMliojaaliwa kulelewa na wazazi wote wawili hongereni na msiache kuwapenda wazazi wenu,
Hivi ni kweli juu ya hilo?unapiga chenga sana pombe ndo inatumaliza mzee
lifestyle ya wanaume wengi middle aged hapa tz ni pombe nyingi na nyama.... vinaleta pressure, visukari n.k...Hivi ni kweli juu ya hilo?
Huwa inauma sanaHakika,utawatafuta hutowaona
Sana mkuu,Kuna watu wametupa na kuwasahau kabisa wazazi
kweli mkuu, nimewahi kumuona mmoja.... wanajuta sanaHao ni suala la muda tu huwa wanakuja kutambua kuwa wazazi hawana mbadala dakika za mwisho
Kwenye misiba ya wazazi ukiacha kulia kwa uchungu wa kuwapoteza wazazi wengine ni kilio cha uchungu pamoja na majuto kwa jinsi hawakuwatendea wazazi kwa upendo walipokuwa hai