Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi baba angu.
Nakukumbuka, natamani ningetumia muda mwingi zaid kua nawe, Lakini Mungu aliamua kukuchukua mapema.
Kinachoniuma zaidi ni kuona wote walosababisha kifo chako wako uraiani.
Endelea kupumzika kwa amani.
 
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi baba angu.
Nakukumbuka, natamani ningetumia muda mwingi zaid kua nawe, Lakini Mungu aliamua kukuchukua mapema.
Kinachoniuma zaidi ni kuona wote walosababisha kifo chako wako uraiani.
Endelea kupumzika kwa amani.
😭😭Mnhuu,walimuua? Pole mpenz...aisee
 
Daah miezi 4 sasaa[emoji24][emoji24][emoji24]Sijui kama kuna mtu duniani anaweza chukua nafasi ya mama japo robo tuu[emoji27][emoji27]
Acha tu Mimi miwili nawaza ikifika birthday yake 12.12 naacha pombe kama kumuenzi
 
Sana mkuu,Kuna watu wametupa na kuwasahau kabisa wazazi
Hao ni suala la muda tu huwa wanakuja kutambua kuwa wazazi hawana mbadala dakika za mwisho

Kwenye misiba ya wazazi ukiacha kulia kwa uchungu wa kuwapoteza wazazi wengine ni kilio cha uchungu pamoja na majuto kwa jinsi hawakuwatendea wazazi wao kwa upendo walipokuwa hai
 
kweli mkuu, nimewahi kumuona mmoja.... wanajuta sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…