Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Leo tuwaenzi na kuwakumbuka wazazi wetu waliotangulia mbele za haki

Hao ni suala la muda tu huwa wanakuja kutambua kuwa wazazi hawana mbadala dakika za mwisho

Kwenye misiba ya wazazi ukiacha kulia kwa uchungu wa kuwapoteza wazazi wengine ni kilio cha uchungu pamoja na majuto kwa jinsi hawakuwatendea wazazi wao kwa upendo walipokuwa hai
😭😭😭😥😥Aisee....so sad
 
lifestyle ya wanaume wengi middle aged hapa tz ni pombe nyingi na nyama.... vinaleta pressure, visukari n.k...

pressure ndo inaongoza kwa kuua watanzania
Nashukuru Mungu hadi umri huu nilio nao sijawahi kutumia Kilevi.

Ila hapo kwenye nyama naona napata shida, nyama za mbuzi na kuku huwa sipitishi siku 3 bila kuzitumia.
 
Pole sana mleta mada, na wote waliofikwa na changamoto km hiyo! Tunawaombea kwa Mungu ili awajalie yote mema, nao waliotangulia awajalie pumziko la Milele, AMINA.
Raha ya Milele uwape ee Bwana, na Mwanga wa Milele uwajalie, wapumzike kwa Amani, AMINA.
 
Kama umelelewa na ndugu, watu baki, au na mama pekee au baba pekee kutokana na kufiwa na mama, au baba ama wazazi wote. Tuwakumbuke na kuwaombea waendelee kulala mahali pema peponi. Nasi tutafuata japo hatujui kama tutakutana njia moja. Tuendelee kumwomba Mungu atupe mwisho mwema.

Nimejikuta siko sawa kwa muda baada ya kumkumbuka marehemu baba aliyekufa nikiwa na miaka mitatu. Kumbukumbu niliyobaki nayo ni kuambiwa na mama kwamba baba alikuwa ananipenda sana😭😭😭.

Mliojaaliwa kulelewa na wazazi wote wawili hongereni na msiache kuwapenda wazazi wenu, wahudumieni msichoke. Hivyo unavyobania kuwapa wazazi katu hutozikwa navyo, watachezea na kutapanya wengine.

Mungu ambariki mama yangu, aendelee kujaaliwa afya njema, amepambana sana mpaka nimefikia hapa.

Poleni sana wahanga, duniani tunapita wote pambaneni na maisha mpaka tone la mwisho la jasho na damu👊.

Andika R.I.P kwa mzazi aliyekwisha tangulia mbele za haki, kuna member atakupa pole kwa kureply comment yako, utajisikia vyema.🙏🙏🙏

Mungu awabariki sana 🙏
Ameen
 
Endelea Kupumzika kwa amani Mama yangu, bado unaishi kwenye maisha yangu
 
Sifa ya kiumbe hai:-
  • Kuzaliwa
  • Kuishi
  • Kufa
Wote tuliomo humu, tumebakiza hiyo hatua moja ya mwisho tu; ishi na watu vizuri, tuache mbwembwe sisi wote ni wapitaji tu.
 
Sifa ya kiumbe hai:-
  • Kuzaliwa
  • Kuishi
  • Kufa
Wote tuliomo humu, tumebakiza hiyo hatua moja ya mwisho tu; ishi na watu vizuri, tuache mbwembwe sisi wote ni wapitaji tu.
Hakika
 
Pole sana mleta mada, na wote waliofikwa na changamoto km hiyo! Tunawaombea kwa Mungu ili awajalie yote mema, nao waliotangulia awajalie pumziko la Milele, AMINA.
Raha ya Milele uwape ee Bwana, na Mwanga wa Milele uwajalie, wapumzike kwa Amani, AMINA.
Amina, barikiwa sana
 
Mama....it is 12 years down the line since you left us. With sorrow and much pain we appreciate for the love,care and unity that you gave us as a family.
You are missed by your children and your grand children as well.
May God enlighten your way till when we shall meet in the spiritual world.
Goodbye MAMA.
 
Poleni sana wapendwa mliofiwa na wazazi!

Binafsi huwa Naomba sana mungu kuwaombea wanangu ikitokea nikafariki nife wakiwa wameshaweza kujiongoza na kujitegemea!!

Mama alikua ananidekeza sana kuanzia utoto hadi nakua mkubwa mpaka nilipopata Kazi still aliendelea kunidekeza!
Sasahivi anaumwa dahhh!!!!!

Hakuna kama mama na tunatakiwa kuwajali na kuwathamini sana wazazi wetu!

Live longer mamaa/ papaa!🙏🙏
 
Poleni sana wapendwa mliofiwa na wazazi!

Binafsi huwa Naomba sana mungu kuwaombea wanangu ikitokea nikafariki nife wakiwa wameshaweza kujiongoza na kujitegemea!!

Mama alikua ananidekeza sana kuanzia utoto hadi nakua mkubwa mpaka nilipopata Kazi still aliendelea kunidekeza!
Sasahivi anaumwa dah!!

Hakuna kama mama na tunatakiwa kuwajali na kuwathamini sana wazazi wetu!

Live longer mamaa/ papaa!🙏🙏
Live longer our parents....🙏🙏🙏
 
Mama....it is 12 years down the line since you left us. With sorrow and much pain we appreciate for the love,care and unity that you gave us as a family.
You are missed by your children and your grand children as well.
May God enlighten your way till when we shall meet in the spiritual world.
Goodbye MAMA.
Continue to rest in peace Mama😥🙏🙏
 
Back
Top Bottom