Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Kama ana akili basi kimasiala umekwisha

Nnahkika ukiaga ofsin kwke akikuvizia mlangoni kabla hujatoka akikudaka na kukuvutia ndani tu utakua ushaloa
Amka usingizini kumekucha. Tho mimi sio cheap kiasi hicho.nakukumbusha tu.na ikitokea jua mimi ni ndo nimeamua na nina malengo yangu.
 
Hakuna mwenye huo ubavu pesa zenu njilie tu. zimetushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…