unauhakika gani mkuuUpande wa pili timu zote Zenye uwezekano wa kukutana na Simba.... Zinamtaka Simba .... kwamba ndo Mwenye afadhali... Kwa hyo yeyote atakayekutana na Simba Lazima apige vigelegele...
Sent using Jamii Forums mobile app
PoAhSisi wengine ni mashabiki wa Dar Young Africans lakini tunawaombea kila la heri Simba SC, kitaifa sisi ni wapinzani na watani wa jadi lakini kimataifa lazima tuwe pamoja, nanyi Simba mjifunze haya mkiwa mnataka kuwa wastaarabu.
Yanga imekujaje kwenye uzi huu mkuu? Au unateseka?
Hahaha Mkuu huyu Mazembe mbaya sana anapiga watu 8:0 si mchezo,me nadhan watupe Mwarabu tumkaange na jua la saa 8 atatokota vyema kabisa!!..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa washindi wa pili wa makundi (kama alivyokuwa Simba) watapangwa na waliokuwa washindi wa kwanza, Simba hana jinsi Zaidi ya kusubiri mojawapo kati ya mechi hizi za robo fainali. Leo ndiyo leo:
Simba v TP Mazembe (DR Congo-Bingwa mara tano wa mashindano haya mara ya mwisho ikiwa ni mwaka 2015 )?
Simba v Wydad Casablanca (Morocco-Mabingwa wa 2017 Klabu Bingwa Afrika na Mcheza fainali wa mwaka jana Shirikisho Afrika)?
Simba v Esperance (Tunisia-Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Afrika)?
Watani mchague kabisa na mjiandae kisaikolojia kushangilia au kutukimbia!😀😀😀😛
Na mashabiki wa Yanga mmekujaje ukuYanga imekujaje kwenye uzi huu mkuu? Au unateseka?
Acha roho ya kimaskiniMkuu, mikia wakikutanishwa mmoja wao kat ya wydad or Esperance wamekwisha. Tena naombea wanyukwe nyingi sana ao mikia fc [emoji16][emoji16]
Kwani JF ni ya Simba na mashabiki wake tu?
simba sababu anaanzia nyumbani bora apangiwe mazembe.. simba ana chance kubwa ya kumtoa mazembe.. kuliko kumtoa wydad au esperence kwa game ya pili ya kumalizia away atapigwa nyingi sana kule...
Point Of Correction
MAZEMBE 2009 - 2019
CCL (Caf Champions League)
2009 - Champion
2010 - Champion
2015 - Champion
CCC (Confederation)
2013 - Finalist
2016 - Champions
2017 - Champions
Caf Super Cup
2010 - Champions
2011 - Champions
2016 - Champions
Sent using Jamii Forums mobile app
Ïwe hivi
Simba vs Esperance
aù
Sìmba vs Wydad
Tena wapigwe nyingi haswaa hadi wapoteaneNaombea iwe ivyo mkuu. Wapigwe nyingi ao mikia na kelele ziishe humu.
Tena wapigwe nyingi haswaa hadi wapoteane
Mtaendelea kusubiri sana pumbavu zenuTena wapigwe nyingi haswaa hadi wapoteane
Huo ni umbumbumbu
Alliance Ya MwanzaHivi droo ya azam confederation, yanga kapangwa na Nani!?