Leo zinapangwa mechi za robo fainali Klabu Bingwa Afrika, Simba chagueni wenyewe kati ya hawa

Leo zinapangwa mechi za robo fainali Klabu Bingwa Afrika, Simba chagueni wenyewe kati ya hawa

Hahaha Mkuu huyu Mazembe mbaya sana anapiga watu 8:0 si mchezo,me nadhan watupe Mwarabu tumkaange na jua la saa 8 atatokota vyema kabisa!!..

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndivyo mnavyojidanganya kwenye kahawa! Eti goli 8 tim yenyewe wamecheza na club africain. Ombeni mkutane na Tp mazembe atlst mtawamudu, ila co makonki master Wydad Casablanca au Esperance de tunis. Mtapigwa nyingi mwanze kulialia humu.


Kila la heri tim yangu Mapharaoh
 
Kwakuwa washindi wa pili wa makundi (kama alivyokuwa Simba) watapangwa na waliokuwa washindi wa kwanza, Simba hana jinsi Zaidi ya kusubiri mojawapo kati ya mechi hizi za robo fainali. Leo ndiyo leo:

Simba v TP Mazembe (DR Congo-Bingwa mara tano wa mashindano haya mara ya mwisho ikiwa ni mwaka 2015 )?

Simba v Wydad Casablanca (Morocco-Mabingwa wa 2017 Klabu Bingwa Afrika na Mcheza fainali wa mwaka jana Shirikisho Afrika)?

Simba v Esperance (Tunisia-Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Afrika)?



Watani mchague kabisa na mjiandae kisaikolojia kushangilia au kutukimbia!😀😀😀😛


Mkuu, mikia wakikutanishwa mmoja wao kat ya wydad or Esperance wamekwisha. Tena naombea wanyukwe nyingi sana ao mikia fc 😁😁
 
simba sababu anaanzia nyumbani bora apangiwe mazembe.. simba ana chance kubwa ya kumtoa mazembe.. kuliko kumtoa wydad au esperence kwa game ya pili ya kumalizia away atapigwa nyingi sana kule...

Umeongea point. Kwa mazembe ni rahisi kumtoa,ila co kwa wydad au Esperance.
 
Ukiwa na imani waweza panda mlima usiopandika!!
"With faith you can...."
 
Point Of Correction

MAZEMBE 2009 - 2019

CCL (Caf Champions League)

2009 - Champion
2010 - Champion
2015 - Champion

CCC (Confederation)

2013 - Finalist
2016 - Champions
2017 - Champions

Caf Super Cup

2010 - Champions
2011 - Champions
2016 - Champions



Sent using Jamii Forums mobile app


Achana na marekodi,mazembe kwa sasa awako vizuli kama Esperance na wydad. Heli 2kutane na mazembe.

Mungu ibariki al ahaly
 
Back
Top Bottom