Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Na Nkana Simba ilishinda 3-1Ni rahisi sana Simba kuwafunga waarabu magoli kwa difference ya 1+ kutokana na joto kali la Dar na pia ngozi za waarabu kutoweza himili joto kali, endapo mechi itachezwa jioni ya saa kumi au mchana. ila ni ngumu sana kuifunga T.P Mazembe kwa difference ya 1+ kwasababu wanaweza kuendana na hali ya hewa iliyopo Dar. Na kufanya mechi ya marudio kuwa ngumu sana na Simba.
Rejea Simba vs Nkana goal difference ilikuwa ni moja tu uwanja wa taifa. (3 kwa 2)
Mechi ya Simba vs Vita goal difference ilikuwa ni moja pia. (2 kwa moja)
Sent using Jamii Forums mobile app
Upande wa pili timu zote Zenye uwezekano wa kukutana na Simba.... Zinamtaka Simba .... kwamba ndo Mwenye afadhali... Kwa hyo yeyote atakayekutana na Simba Lazima apige vigelegele...
Sent using Jamii Forums mobile app
punguza bangi kama mpira hamjuiDroo inawezekana kuwakutanisha
vipi simba nao wanasemaje? Wanaombwa wakutane na nani?Mkuu aliekudanganya nani?
Nimepitia website nyingi nyinig sana za michezo africa na blogs za nchi shindani,amini usiamini Simba ndo tishio katika timu zote!!
Mpaka sasa,izo timu kubwa (Mazembe,Esperance na Wydad) wana hofu ya kupangwa na Simba kwasababu zifuatazo
Kamfunga mwarabu JS Saoura
Kamfunga mwanafainali wa CAF CL Al Ahly
Kamfunga Bingwa wa shirikisho AS Vita
Kamwe usije ukadhani kuna timu inaomba ipangiwe na Simba, ayo matokeo hapo juu acha sisi wabongo tusiojua mpira tuendelee kuyachukulia poa.Walio kwenye competition yanawatisha kuliko tunavodhania.
Kama info zako unategemea shaffih dauda,kwa haji manara,udaku special na instagram,basi hautaweza kunielewa
Pitia nyuzi na blogs mbalimbali za africa za michezo ndo utanielewa
Ukipenda kukosoa jifunze kuwa sahihi,kama ambavyo mwenzako alivyochanganya timu hizo mbili ndivyo nawe ulivyokosea kuita Whydad wakati kiusahihi ni WydadKwanza alietoa Uzi sio mwanamichezo...Whydad Casablanca kacheza final gani msimu uliopita au ya Ndondo Cup? Kama mashabiki anashindwa kutofautisha Whydad Casablanca na Raja Casablanca anatia Shaka!
#NGUVU MOJA
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi simba nao wanasemaje? Wanaombwa wakutane na nani?
sawaYoyote yule Simba hana cha kupoteza
Kama alijiwekea malengo na ameshayapita zaidi ya yale aliyojiwekea then hakuna regret
Simba anenda kucheza mpira bila pressure wala wasiwasi...Ila hawezi kubweteka kwakua anataka kufika mbali zaidi
CAF hata game ya al ahy iltakiwa kupigwa saa nane mchana ,ikabidi isogezwe mbeleAnayepanga/kupendekeza muda wa game ni nani?
saa mbili kamili usiku saa za afrika mashariki, angalia CAF online liveDroo inachezeshwa saa ngapi wakuu? na vipi tunaweza tukaifuatilia live?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna typing errors na kutokujua...mtoa mada kashindwa kujua ipi ni Raja Casablanca na ipi ni Wydad Casablanca.Ukipenda kukosoa jifunze kuwa sahihi,kama ambavyo mwenzako alivyochanganya timu hizo mbili ndivyo nawe ulivyokosea kuita Whydad wakati kiusahihi ni Wydad
Sent using Jamii Forums mobile app
CAF wanakataa mambo hayo siku hizi.
Washabiki wa Vyura akili zina mtindi, na kadri Simba anavyozidi kupaa Jangwani mgogoro unazidi kufukuta halafu mashabiki ndo akili hazifanyi kazi kabisaYaan nyie mashabiki wa Yanga hamjui dunia inavoenda lakn hamtak kuelekezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
TP mazembe kawaida tu kwenye ligi round ya kwanza kapigwa na As Vita 3-0 so level yetu tu japokuwa droo inaweza kuwa Simba vs WYDAD CASABLANCA au TP mazembeMtani wangu,huyu Mazembe si mchezo,kila la heri lakini.
Sent from Nokia 7 Plus
Nyie mbona mlifungwa na mbao ila mkampiga al ahly? Tofautisha kucheza ligi ya ndani na mechi za kimataifa.TP mazembe kawaida tu kwenye ligi round ya kwanza kapigwa na As Vita 3-0 so level yetu tu japokuwa droo inaweza kuwa Simba vs WYDAD CASABLANCA au TP mazembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyura bhana, Bado tabia za fisi zinaendelea, hii mikono huwa haidondoki ila inamfanya tu binadamu kubalance mwendo .Kwakuwa washindi wa pili wa makundi (kama alivyokuwa Simba) watapangwa na waliokuwa washindi wa kwanza, Simba hana jinsi Zaidi ya kusubiri mojawapo kati ya mechi hizi za robo fainali. Leo ndiyo leo:
Simba v TP Mazembe (DR Congo-Bingwa mara tano wa mashindano haya mara ya mwisho ikiwa ni mwaka 2015 )?
Simba v Wydad Casablanca (Morocco-Mabingwa wa 2017 Klabu Bingwa Afrika)?
Simba v Esperance (Tunisia-Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Afrika)?
Watani mchague kabisa na mjiandae kisaikolojia kushangilia au kutukimbia!ππππ
Nyie ndala chagueni mnataka kushabikia ipi?Kwakuwa washindi wa pili wa makundi (kama alivyokuwa Simba) watapangwa na waliokuwa washindi wa kwanza, Simba hana jinsi Zaidi ya kusubiri mojawapo kati ya mechi hizi za robo fainali. Leo ndiyo leo:
Simba v TP Mazembe (DR Congo-Bingwa mara tano wa mashindano haya mara ya mwisho ikiwa ni mwaka 2015 )?
Simba v Wydad Casablanca (Morocco-Mabingwa wa 2017 Klabu Bingwa Afrika)?
Simba v Esperance (Tunisia-Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Afrika)?
Watani mchague kabisa na mjiandae kisaikolojia kushangilia au kutukimbia!ππππ