Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Na Nkana Simba ilishinda 3-1Ni rahisi sana Simba kuwafunga waarabu magoli kwa difference ya 1+ kutokana na joto kali la Dar na pia ngozi za waarabu kutoweza himili joto kali, endapo mechi itachezwa jioni ya saa kumi au mchana. ila ni ngumu sana kuifunga T.P Mazembe kwa difference ya 1+ kwasababu wanaweza kuendana na hali ya hewa iliyopo Dar. Na kufanya mechi ya marudio kuwa ngumu sana na Simba.
Rejea Simba vs Nkana goal difference ilikuwa ni moja tu uwanja wa taifa. (3 kwa 2)
Mechi ya Simba vs Vita goal difference ilikuwa ni moja pia. (2 kwa moja)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app