Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha makasiriko kama na wewe unadiploma be proud ofHuyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Basi acha wenzako wajisifu na degree zaoNina cheti cha kuzaliwa tu ila huwezi Kuta najisifu kuwa nilizaliwa
Acha uchawiAnanimalizia king'amuzi hachekeshi
Wafuatilie mbumbumbu wenzio, mwache dogo awafurahishe waliobaki!Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Atakuwa ndio msomi kwao mkuu,Wacha ajitape!Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Hata kama unaona hachekeshi wewe cheka tu ili kumuunga mkonoHuyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Bongo wachekeshaji hawachekeshi [hutowaona wakichekesha] wanaoigiza kuchekesha sio wachekeshaji ni wafurahishaji ndio hao unawaona kwenye majukwaa na pale juu wanapanda na full script nyuma wana walimu wao kipaji hakifundishwi darasani ni kipo tuHivi unakuwaje na chuki namna hii kwa mtu ambaye hata huna ukaribu naye wala hufahamiani naye..?
Hii tabia naionaga hata humu JF, kwanini ujipe umuhimu kwenye maisha ya mtu ambaye chuki yako haimpunguzii hata shilingi 100 kwenye account yake..??
matumizi mabaya ya hasira..!!
Nani kakwambia wale wanafanya kazi ya kuchekesha? Wanafanya kazi ya kufurahisha sio kuchekesha, tofautisha kuchekesha na kufurahishaAnanimalizia king'amuzi hachekeshi
Kama ni comedy, kwa nini unaichukulia serious hivi?Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Bongo wachekeshaji hawachekeshi na hutowaona wakichekesha Ila wanaoigiza kuchekesha utawakuta majukwaani,sio kwa wivu huu.
Roho mbaya tu kuna dhambi gani mtu kujisifu yaani nyinyi mpaka mtu afe ndio msome wasifu wake?Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,
Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.
Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye
Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU
Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Sababu sio comedy km comedy ndio maana kaichukulia seriousKama ni comedy, kwa nini unaichukulia serious hivi?