Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Acha makasiriko kama na wewe unadiploma be proud of
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Wafuatilie mbumbumbu wenzio, mwache dogo awafurahishe waliobaki!
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Atakuwa ndio msomi kwao mkuu,Wacha ajitape!
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Hata kama unaona hachekeshi wewe cheka tu ili kumuunga mkono
 
Hivi unakuwaje na chuki namna hii kwa mtu ambaye hata huna ukaribu naye wala hufahamiani naye..?

Hii tabia naionaga hata humu JF, kwanini ujipe umuhimu kwenye maisha ya mtu ambaye chuki yako haimpunguzii hata shilingi 100 kwenye account yake..??

matumizi mabaya ya hasira..!!
Bongo wachekeshaji hawachekeshi [hutowaona wakichekesha] wanaoigiza kuchekesha sio wachekeshaji ni wafurahishaji ndio hao unawaona kwenye majukwaa na pale juu wanapanda na full script nyuma wana walimu wao kipaji hakifundishwi darasani ni kipo tu

Uchekeshaji hautakiwi kua scripted uchekeshaji ni kitu auto unaflow TU mwanzo mwisho mtu haoni km vile unafanya script scroll 📜
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Kama ni comedy, kwa nini unaichukulia serious hivi?
 
Huyu dogo ni limbukeni sana analazimisha vichekesho vinavyohusiana na shule,higher kearning ili aonekane msomi,
Mara ohh mama yangu ni mwalimu,so what???
Wengine mama zetu walikuwa malecturer,

Wengine mavyeti yanajaa sanduku ila tumechill tu.

Aache ushamba kama ni degree kila mtu anayo,tena from reputable universities sio vyuo vya kata kama alichosoma yeye

Kila saa mara ohoo nilipokuwa chuo sijui nini sijui nini,chuo chenyewe TEofili Kisanji TEKU

Hajui kuchekesha,abanimalizia king'amuzi tu.
Roho mbaya tu kuna dhambi gani mtu kujisifu yaani nyinyi mpaka mtu afe ndio msome wasifu wake?
 
Back
Top Bottom