Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Leseni ya biasharaTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leseni ya biasharaTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga ?
Kero za muunganikoMsisahau katika huu muungano kuna "Union matters" and "non union matters"
Leseni inatumika vzr tu,nimeishi huko Zenj miaka kibao na ninatumia leseni ya baraTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga ?
Mzanzibari anaweza kuwa raisi bara ila mbara hawezi kuwa raisi zanzibarTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga ?
Ushirikiano au ushirikina? Anyway,nataka nikagombee ujumbe wa Baraza la Wawakilishi pale Zanzibar.Dua zenu.Huu muungano sijui ulikua na maana gani kuungana vipande vipande, huu sio muungano ni ushirikiano....
Mkuu imeanza tumika lini?Leseni inatumika vzr tu,nimeishi huko Zenj miaka kibao na ninatumia leseni ya bara
Leseni haitumiki vipi zanzibar, mbona tunatumia Leseni za Tanzania kwenye nchi nyingine kama Kenya, Zambia, Congo, Burundi, Rwanda, n.k. Au sijaelewa mimiTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga ?
Aibu unatia wewe na upumbavu wako toa solutions acha kupiga mdomo tuPathetic.
Eti msomi huyu ndio anaandika
" Yaeshimiwe, kelo"
Unatia aibu.
Ile ni serekali ya muungano mzanzibar anaweza kuwa rais maana ni ya wote kama tanganyika itakuwa na serekali yake sifikirii kama mzenji ataweza kuongozaMzanzibari anaweza kuwa raisi bara ila mbara hawezi kuwa raisi zanzibar
Vyenu wewe na nani soma historia ya zanzibar kisha njoo na porojo zako za kwenye mabaa huyo nyerere alikuwa ana hofu na zenji akabaki kula na kupuliza seuze wewe kajamba naniNingekuwa mimi nyerere ningeiconquer zanzibar ikawa mkoa tuu Yan yani tumeenda kukomboa visiwa vya Comoros [emoji1076] tukasahau kukomboa visiwa vyetu kwa waarabu masalia wenda tunavyoongea now chalamila angekuwa mkuu wa mkoa wa zanzibar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania wakati wa mwezi wa Ramadhani unaweza kwenda kula popote ukitaka lkn Zanzibar huwezi na ukikamatwa unawekwa ndani mpaka siku ya Idd
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Huwezi miliki kiwanja zanzibari ila wao wananunua huku.Tuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania Bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga?
Wale fukara na wasio na tija labda!.Kwanza waznz wengi hawautaki Muungano
Hivyo ni vyetu tulipewa na Mungu na ipo siku tutavimiliki [emoji817] inshallahVyenu wewe na nani soma historia ya zanzibar kisha njoo na porojo zako za kwenye mabaa huyo nyerere alikuwa ana hofu na zenji akabaki kula na kupuliza seuze wewe kajamba nani
Bola hilo la gali ,usiombe kutoka Ntwala na gunia la nkaa unakuja nalo Dar ,maji utayaita mee ,maana Zanzibar unalipa ushuru ,ila hizi za gunia la mkaa hata sijui tuite ushuru au tozo...sasa dar na Ntwala ni nchi tofauti na sio kutokea kalibu hata maembe kwenye mipaka ya nchi hizi ,wao wanaita mageti inabidi ulipie au uwaachie . Kuna haja kila Mkoa ukawa na Raisi wake kama Zanzibar.znz na tanganyika ni nchi moja cha ajabu ukinunua gari kuleta huku unapigwa ushuru kama umetoa gari japan... hili linakera. nilinunua gari 8ml kuja huku nikapigwa ushuru wa 3.5m.
Alafu Sasa utasikia wakilalamika sie bara kimia, muungano hawezi vujika ila lazima Mambo madogo yafanyiwe KAZI ,muungano uwe fair pande zoteTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania Bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga?