Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JAMANI HUKU KUNA KITU SIELEWI HIYO NCHI INAYOITWA "BARA" IKO WAPI KTK RAMANI YA DUNIA HII HATA ya ZAMANI. Na wengine tunaungana kuiua Tanganyika.Leseni inatumika vzr tu,nimeishi huko Zenj miaka kibao na ninatumia leseni ya bara
Yes lengo lilikuwa hilo kuipoteza zanzabar lakini imeshindikana miaka hiyo ya kizazi cha hofu kwa tunakoendea hicho kitu hakiwezekani ikiwa sasa 259 inatafutwa hii kitu na mengine yanakuja tuombe uhai na uzima ni vugumu kuja kuuzima moto huo kwa nguvu za dola zinazotegemewaHivyo ni vyetu tulipewa na Mungu na ipo siku tutavimiliki [emoji817] inshallah
Sio kila mtu atataka kujenga Zanzibar, Uhuru uwepo tu kwamba ikitokea mtu akapataka na amepata ardhi basi awe huru , mgawanyo wa KAZI pia uwe huru mbara aweze ajiriwa Zanzibar Kama ilivyo wazanzibar wengi wameajiriwa bara sector tofauti, mikopo ya elim ya juu wazanzibar wanapata bila shida baraZbar ardhi ni issue padogo sana jamani hatutoshi....acja iwe hivyo mileke ukitaka nusu acre weww alone sawa sio acre 100
Sio kula popote tu, huruhusiwi kula wala kunywa hadharani.Tanzania wakati wa mwezi wa Ramadhani unaweza kwenda kula popote ukitaka lkn Zanzibar huwezi na ukikamatwa unawekwa ndani mpaka siku ya Idd
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Leseni ya biashara kiaje? Maana leseni inatumiwa mahali husika.
Mbona wapemba wana viwanja na
Hakuna hicho kitu zbar nfogo sana urefu posta hadi mlandizi km 75 upana dar hadi maili 1 km 35 tu....unataka ardhi ya hotel kakodi utalipa rent kwa owners hakuna ardhi zbar ukitaka ardhi njoo bara kubwa mno chagua pori endeleza zbar iko kimkakati...kama hutaki acha ila ndio hivyoS
Sio kila mtu atataka kujenga Zanzibar, Uhuru uwepo tu kwamba ikitokea mtu akapataka na amepata ardhi basi awe huru , mgawanyo wa KAZI pia uwe huru mbara aweze ajiriwa Zanzibar Kama ilivyo wazanzibar wengi wameajiriwa bara sector tofauti, mikopo ya elim ya juu wazanzibar wanapata bila shida bara
Sibishani na wagogo. KwaheriAibu unatia wewe na upumbavu wako toa solutions acha kupiga mdomo tu
Tunasema tunapoelekea lazima wabara wamiliki ardhi Zanzibar , hata wazanzibar sio lazima mg'anganie Zanzibar bara bia Kuna maeneo ya kutosha hii ni nchi moja, subilin , tunataka wabara tujenge Zanzibar na wazanzibar jengeni bara ruksaHakuna hicho kitu zbar nfogo sana urefu posta hadi mlandizi km 75 upana dar hadi maili 1 km 35 tu....unataka ardhi ya hotel kakodi utalipa rent kwa owners hakuna ardhi zbar ukitaka ardhi njoo bara kubwa mno chagua pori endeleza zbar iko kimkakati...kama hutaki acha ila ndio hivyo
Zanzibar wana LESENI zao??Mkuu imeanza tumika lini?
YeahZanzibar wana LESENI zao??
Kuna mtanganyika mmoja anahela sana amejengeja gorofa kubwa mji WA chacke chake pemba.Wazanzibar wanaruhusiwa kumiliki ardhi tanganyika ila mtanganyika hurusiwi kumiliki ardhi zanzibar hata ya kujenga chumba kimoja tu useme nawe una kwako
Acha ujuha we muhaya wa mazense toa solutionsSibishani na wagogo. Kwaheri
Mume wako angekua mhaya ungeringa sana.Acha ujuha we muhaya wa mazense toa solutions
Wedada poa kumbe mweupe ivo kichwani umekimbia mada utakimbia na huku tuendeleeMume wako angekua mhaya ungeringa sana.
... kwa hiyo watanganyika wote Zanzibar ni wapangaji? Halafu nyumba zao zilivyo na masharti magumu sijui inakuwaje!
Mademu zao ndio usiseme! DahTuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania Bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga?
Wazeenj wanaruhusiwa kutawala bara lakini Wabara hawaruhusiwi kutawala Zeenj. Sasa wao wana rais wa zenj na JMT. Wazwenj wnaweza kuwa mawaziri bara ila mbara hawezi kuwa waziri zeenjeeeWazanzibar wanaruhusiwa kumiliki ardhi tanganyika ila mtanganyika hurusiwi kumiliki ardhi zanzibar hata ya kujenga chumba kimoja tu useme nawe una kwako
Niwekee sample hapa mkuu.Yeah