CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Dah JF kibokoSasa hiyo leseni ya Tanzania uendeshe gari wapi Zanzibar ili hali nchi yenyewe unaweza kuimaliza kwa kutumia baiskeli.
Ndani ya Zanzibar siku mbili zinatosha kuimaliza nchi kwa baiskeli.