Leseni ya udereva Bara hauwezi kuitumia Zanzibar. Kitu gani kingine hakitumiki?

Leseni ya udereva Bara hauwezi kuitumia Zanzibar. Kitu gani kingine hakitumiki?

Tuseme vyote ambavyo havitambuliki Zanzibar kutoka Tanzania Bara ili vishughulikiwe ama tuachane na huu ujinga?
Jamani kuna point moja lazima tuitafakari.
Ukisema tanzania inamaani nini.
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.
Wazanzibari wote ni watanzania. Jumuiya zote zinazo chukuwa jina la Tanzania zapaswa kuwa hudumiya wa tanzania wote ikiwemo wa zanzibari.
Watanzania wote wanao fanya kazi katika jumuiya au Tasisi hizo wawe wa tanzania kutoka kokote na katika pandezote za Tanzania ikiwemo Zanzibar.
Viongozi wa jumuiya hizo au Tassisi wawe ni watanzania ikiwemo wa zanzibari.

Pia mtambue kuwa si watanzania wote ni wazanzibari kwa hivyo Taasisi za kizanzibari au jumuiya za kizanzibari au ofisi za serikali ya Zanzibar sio lazime kuwemo mtanzania yeyote, anayehusika ni Mtanzania mzanzibari tuu. lakini kitu chochota kile kinachochukuwa jina la Tanzania ujuwe wazanzibari wanapaswa kuwemo.

Basi kama haya hayakubaliki Mungano huu wasasa ubadilishwe urekebishwe.
Serikali tatu ndio suluhisho kama walivyo zilivyo sema Tume na kamati ya katiba
 
Mzee ubishi kipaji au?
Kwa mujibu wa mwinyi ambae alishawah kuwa rais znz amesema alienda kule akitokea bara kujifunza Quran mwishowe akaupata urais unadhan mwinyi ni wa WAP???
 
Kwa mujibu wa mwinyi ambae alishawah kuwa rais znz amesema alienda kule akitokea bara kujifunza Quran mwishowe akaupata urais unadhan mwinyi ni wa WAP???
MWINYI ANAESABIKA MZANZIBARI NA SIO MBARA NDIO MAANA MAKAMU WAKE ALITOKA BARA KIPINDI MWINYI NI RAISI HUKU BARA, AU HUJUI KUWA RAISI AKITOKA BARA LAZIMA MAKAMU ATOKE ZNZ NA RAISI AKITOKA ZNZ MAKAMU LAZIMA ATOKE BARA?
 
MWINYI ANAESABIKA MZANZIBARI NA SIO MBARA NDIO MAANA MAKAMU WAKE ALITOKA BARA KIPINDI MWINYI NI RAISI HUKU BARA, AU HUJUI KUWA RAISI AKITOKA BARA LAZIMA MAKAMU ATOKE ZNZ NA RAISI AKITOKA ZNZ MAKAMU LAZIMA ATOKE BARA?
Kuhusu swala la mwinyi unadhan tunapaswa kumsikiliza nani mwinyi mwenyewe aliyeandika kwenye kitabu chake kuwa yey alienda kule kusoma au wew???
 
Kuhusu swala la mwinyi unadhan tunapaswa kumsikiliza nani mwinyi mwenyewe aliyeandika kwenye kitabu chake kuwa yey alienda kule kusoma au wew???
Sijabisha kuwa mwinyi katoka bara ila mwinyi kwasasa anaesabika mzanzibari ndio maana alivyokuwa raisi huku kwetu bara makamu wake alikuwa ni kutoka bara, kama mwinyi angekuwa anatambulika na katiba yetu kuwa ni mtu wa bara basi makamu wake angetoka zanzibar
 
Sijabisha kuwa mwinyi katoka bara ila mwinyi kwasasa anaesabika mzanzibari ndio maana alivyokuwa raisi huku kwetu bara makamu wake alikuwa ni kutoka bara, kama mwinyi angekuwa anatambulika na katiba yetu kuwa ni mtu wa bara basi makamu wake angetoka zanzibar
Kasome kitabu cha mwinyi mnama
 
Kasome kitabu cha mwinyi mnama
Narudia tena mwinyi kweli asili yake ni bara lakini katiba inamtambua kama mzanzibari, inamaana hujui kuwa huku bara lazima raisi na makamo wotoke pande zote za muungano?
 
Narudia tena mwinyi kweli asili yake ni bara lakini katiba inamtambua kama mzanzibari, inamaana hujui kuwa huku bara lazima raisi na makamo wotoke pande zote za muungano?
Nimeshindwa braza,bila shaka umeshinda
 
Back
Top Bottom