Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakuja na mengine, hivi hujioni tu namna unavyoandika , nimekuambia kacheze mdako wacha watu wazima wajadiliane usitupotezee muda
@Nondo mkuu wangu jaribu sana kutumia ELIMU na sii ushabiki. Tunafundishwa kwamba kwa kila crime yoyote inayotokea kuna MOTIVE na kama utapenda kulitazama swala hili utagundua ya kwamba CCM wanauhitaji Muafaka wa mseto kuliko CUF. CCM bila muafaka huu haiwezi kushinda uchaguzi Zanzibar na walifanya hivi makusudi kuondoa nguvu ya CUF visiwani. Lakini CUF hawawahitaji CCM hata kidogo na wao wanaweza shinda uchaguzi wowote Zanzibar jambo ambalo CCM hawataki kuliona, Hivyo kama kuna sababu zozote za kuvunja Muafaka huu basi zitatoka CUF na sio CCM kwa sababu CUF haiwahitaji CCM hata kidogo. Kwa hiyo kama kweli kuchomwa makanisa inaweza kusababisha muafaka kuvunjika na ushirikiano kuvunjika basi atakayedhurika na maamuzi haya atakuwa CCM na sidhani kama ndicho wanachokitaka.Ukimaliza kunywa chai pitia hii link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-umoja-hatarini-kuvunjika-wakati-wowote.html
Wachomaji makanisa hutaki kuwataja, unawajua.
Unawaogopa au una hisa nao? Una ubia nao?
kumbe nyie wavisiwani mnataka mfukuzwe na kuchomewa nyumba zenu huku bara ndio mjue kuwa watanganyika hawaupendi muungano? watanganyika sio watu wa aina hiyo..huku watu wanafikiri kabla ya kutenda na wanaangalia mbele hawaangalii chini kama nyie. mwanakijiji keshawafungulia njia kama nyie kweli mmedhamiria fanyeni kweli ila nina uhakika hamuwezi mtaendelea kuikumbatia ccm ambayo ndio imeleta huu muungano msioutaka
Kwa mbara yoyote atakayesoma uliyoandika nadhani baada ya kumaliza atakuwa anapiga jaramba kujiandaa na kazi ya kusafisha jiji la dar.
NIA YA KUWAONDOA KWETU TUNAYO
UWEZO WA KUWAONDOA TUNAO
SABABU KUWAODOA TUNAZO
HAKI YA KUWAONDOA TUNAYO
CHUKI DHIDI YETU WANAYO
MITUMBWI YA KUWASAFIRISHIA TUNAYO!
JESHI LA KUSIMAMIA USAFI TUNALO!
wao wameisha sema hawatutaki kwao na muungano hawautaki tena wamechoma hadi maduka ya ndugu zetu na makanisa, kila kukicha wanapiga kelele na kuandamana , kila siku zinavyozidi kupita ndio wanavyozidi kutuchukia. kumbukeni dawa ya jipu ni kulikamua litoke.na hawa jamaa wanakoelekea msishangae siku moja wakaanza kujilipua au kutega mabomu bara kama wasomali wanavyofanya huko Kkenya. hawa watu sio wazuri kwetu hata kidogo, inabidi tutengane nao haraka sana na mipaka idhibitiwe, tunataka kuanzia leo ukiona mpemba kariakoo unamuona ni foreigner kama vile tunavyowaona wanigeria, wakenya wazambia nk. visa yake ikiisha arudi kwao, hakuna kuwa na haki yoyote kama vile ardhi, kumiliki nyumba nk.
HEBU TUANZISHE KULA YA MAONI
TAKBIIIIIR!
Huyu jamaa hapa anafanya haya uliyoshauri hapa. Wala huyu siye Nonda.@Nondo mkuu wangu jaribu sana kutumia ELIMU na sii ushabiki. .....
binafsi sioni tunachonufaika nacho sisib wabara kutoka zanzibar zaidi ya wao kutujazia nafac za ajira za vijana wetu huku, alaf kila siku hawaishi kulalamika,waende kama ni jina tanzania tutachukua hata initialsz za MWANZA
Nonda, busara mara nyingi iko proportional na umri, sasa wee mbona unataka kuprove-tofauti. Mi ni mfuatiliaji mzuri wa thread zako kwa kuwa sometimes zinanijenga. Sasa vipi siku hizi tena? .... they don't care about fact and they forget even their commonsense!)
Mkuu Zinedine,
Manguli wote wa siasa na watu wote wenye mapenzi mema kwa wanadamu wenzao, wasomi na wachambuzi wanakubali bila kificho haya au soni kuhusika kwa JUMIKI katika kuchoma makanisani. Kuhusika kwao si kubeba vibiriti ni uchochezi uliojenga mazingira hayo. Hakuna mhadara wa Jumiki au UAMSHO ambao hautautaja ukristo kama tatizo la Wazanzibar.
Mkuu Mkandara, unajua kuna watu wanjifanya kama hawaelewi ili hali wanaelewa na huo ni unafiki. Matukio ya kuchoma moto si mara ya kwanza, labda nikumbushe kuwa waliochoma vibanda vya Watanganyika hawakuwa na mkono wa usalama wa taifa wala CCM. Walifanya hivyo kwa kuaminishwa kuwa Mtanganyika ni mhalifu, kafir n.k.
Umetoa narrative nzuri sana ya CCM na CUF, sijui kwa mtu aliyefundiswa chuki anaweza kukuelewa.
Katika mikutano akitajwa Nyerere utasikia 'laana ya mwenyezi mungu iwe juu yake'! Akitajwa Karume, Jumbe, Wakili, Mwinyi, Amour, Karume jr au Shein ambao wamefanya kazi na kumsaidia 'kafir' Nyerere uwanja unakuwa kimyaa!
Sababu ni moja, kwamba hadhra imefundishwa kuwa Nyerere ni mbaya si kama binadamu bali Mkristo.
Vingenevyo tungesikia Karume(laana), Jumbe(laana) hilo hutalisikia.
Huu ndio unafiki wa Wazanzibar, ambao wanaamini unafiki ni sehemu ya ibada!
Unafiki huu unakolezwa na fedha za Oman alizokwenda kuchukua Sheikh! masikini wasiojua wanaitikia tu.
Mkandara/Zinedine akina Nonda wamelishwa chuki na imetua mioyoni mwao, wameaminishwa ili kuiona akhera lazima umchukie mkristo, wala siyo budha au mwingine. Chukia mkristo kwanza ili upate pepo! ukichoma kanisa wewe ni mtu wa pepo!
Wamefundishwa kuwa kumwita mwislam kafir haifai, kwahiyo mwislam mtanganyika mwite Chogo.
Ninachotaka kusema hapa ni kuwa JUMIKI inahubiri ukafir.period.
Hakuna aya hadith au sunna inayofundishwa mwanadamu kumchukia mwanadam mwenzake, jumiki wametoa wapi? Kawaelez jana Ali Hassan Mwinyi
Jumiki na Uamsho ni CUF wanotumia aya ndani ya siasa tena wakizipindisha ili zikidhi haja zao.
Mkuu Zinedine,
Manguli wote wa siasa na watu wote wenye mapenzi mema kwa wanadamu wenzao, wasomi na wachambuzi wanakubali bila kificho haya au soni kuhusika kwa JUMIKI katika kuchoma makanisani. Kuhusika kwao si kubeba vibiriti ni uchochezi uliojenga mazingira hayo. Hakuna mhadara wa Jumiki au UAMSHO ambao hautautaja ukristo kama tatizo la Wazanzibar.
Mkandara/Zinedine akina Nonda wamelishwa chuki na imetua mioyoni mwao, wameaminishwa ili kuiona akhera lazima umchukie mkristo, wala siyo budha au mwingine. Chukia mkristo kwanza ili upate pepo! ukichoma kanisa wewe ni mtu wa pepo! ........
....
Mzee mwinyi na mtu yoyote mwenye akili timamu na miongoni mwa manguli wote waliolaani UAMSHO yumo Sheni.Duh!
Wacha utani wako, Mkuu Nguruvi3.
Kwa hiyo wewe ni nguli na ni mtu mwenye mapenzi ambaye unaamini kuhusika kwa UAMSHO katika kuchoma makanisa?
Upendo ulionao juu ya Nonda umelishwa na nani?
Acha character assassination trick...rudi kwenye hoja kama unayo, kama huna ni bora kuonesha hekima yako.
Under belt punch not allowed, sir! Nimefurahi kukusoma, nimeupenda mchango wako.
Mkuu Zinedine
"mimi nasema kile ninachokiamini baada ya kufatilia taarifa za kulia na kushoto, halafu nachanganya na zangu. Sifuati tu mkumbo"
Mijadala ya karibuni imeibuka baada ya Matukio ya Zanzibar. Kuna waliorukia kuwatwisha lawama UAMSHO kuwa wamechoma makanisa...sasa kidogo hili linakuwa-diluted inasemwa kuwa UAMSHO haiwezi kukimbia lawama kuwa haihusiki hata kama wao hawakuchoma lakini wamejenga mazingira ya kufanikisha hilo
Kwa hiyo hoja iliyojengwa ilianza vibaya, inataja wazanzibari badala ya UAMSHO. Lakini pia wajenga hoja tayari wameshawahukumu UAMSHO na kuwatia hatiani kuwa wao ndio wamechoma moto makanisa na wanapandikiza chuki baina ya wakristo na waislamu.
".
Mzee mwinyi na mtu yoyote mwenye akili timamu na miongoni mwa manguli wote waliolaani UAMSHO yumo Sheni.
Kwani hoja ipi haijajibiwa nikumbushe nikujibu, badala yake zangu hazijibiwi.
Moja ni hii, Tanganyika ina poteza nini Zba ikiondoka
Pili, Nini kinawazuia wazanzibar wasiondoke katika muungano
Kamwewe, hakuna tatizo la siasa na dini, tatizo lililopo ni kuwa UAMSHO hawajitambulishi kama wanasiasa, wamejificha nyuma ya mgongo wa dini. Lakini basi, na hiyo siasa ya UAMSHO si siasa. Hakuna siasa ya kuchochea watu, kuzua uongo, kuleta fitna. Huo ni uzandiki na tofauti ya mwasiasa na mzandiki ni hekima na busara.
jamani mwanakijiji na nguruvi3, ingieni na kule kwenye mtandao wao wa mzalendo.net mkawape hayo maono yenu.
Ndiyo let them GOOOO!! wape UHURU wanaoutaka. Nimeishi muda wote sijaona faida za huu muungano. Waachieni hao.Kwa wasiojua ukweli wa mambo, msingi mkuu wa muungano ni dhima ya Nyerere na Karume in good faith!.
Baada ya dhima ikafuatia kitendo cha kuungana rasmi kwa kuchanganya udogo na kusaini zile hati za muungano.
Baada ya hapo muunngano huo uliridhiwa bara tuu (ratified) kwa bunge la Tanganyika kuupitisha mkataba huo uliokuwa na mambo 11 hivyo kupata nguvu za kisheria!.
Zanzibar nao walitakiwa kuuridhia mkataba huo wa muungano kwa kuuratify lakini jambo hili halikufanyika!. Hivyo wanasheria wangeweza kabisa kuishitaki Tanzania kwa kuipora mamlaka Zanzibar na kuikalia kimabavu miaka yote hiyo!.
Kufuatia kukosekana kwa uhalali wa kisheria wa muungano kule Zanzibar, hivyo Wanzanzibar wako huru kujitoa kwenye muungano kwa amani kabisa kwa kung'ang'ana kuwa sheria, taratibu na kanuni, hazikufuatwa!.
Maadam Wanzanzibari wanacholilia ni haki na uhuru wao, nawaombeni tuwateende haki kwa kuwapatia wanachotaka.
Naiunga kauli ya Mzee Mwanakijiji kwa asilimia 100%, "Let them go!."