Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

unakuja na mengine, hivi hujioni tu namna unavyoandika , nimekuambia kacheze mdako wacha watu wazima wajadiliane usitupotezee muda

Kamwewe nikuulize sali jamaa yangu, Hivi wewe binafsi na akili yako kweli unazania wabara wanautaka huu muungano???? kwa sababu gani? wa nini?//?? una wasaidia nini zaidi ya kelele zenu? hivi mnadhani hatuwezi kuifanya mtwara freeport? manake mnapiga kelele utazani mnakitu kinachotusaidia. kama unaamini kuwa tunautaka huu muungano then something is wrong with you , sio rahisi mbara akampenda mzanzibario wakati mzanzibari anamuonyesha wazi kuwa anamchukia vibaya sana. hebu ona leo hiyo bajeti yenu mnazani nani anawalisha???
 
Ukimaliza kunywa chai pitia hii link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-umoja-hatarini-kuvunjika-wakati-wowote.html

Wachomaji makanisa hutaki kuwataja, unawajua.
Unawaogopa au una hisa nao? Una ubia nao?
@Nondo mkuu wangu jaribu sana kutumia ELIMU na sii ushabiki. Tunafundishwa kwamba kwa kila crime yoyote inayotokea kuna MOTIVE na kama utapenda kulitazama swala hili utagundua ya kwamba CCM wanauhitaji Muafaka wa mseto kuliko CUF. CCM bila muafaka huu haiwezi kushinda uchaguzi Zanzibar na walifanya hivi makusudi kuondoa nguvu ya CUF visiwani. Lakini CUF hawawahitaji CCM hata kidogo na wao wanaweza shinda uchaguzi wowote Zanzibar jambo ambalo CCM hawataki kuliona, Hivyo kama kuna sababu zozote za kuvunja Muafaka huu basi zitatoka CUF na sio CCM kwa sababu CUF haiwahitaji CCM hata kidogo. Kwa hiyo kama kweli kuchomwa makanisa inaweza kusababisha muafaka kuvunjika na ushirikiano kuvunjika basi atakayedhurika na maamuzi haya atakuwa CCM na sidhani kama ndicho wanachokitaka.

Na watu wengi wanajiuliza imekuwaje makanisa kuchomwa moto wakati miaka yote yalikuwepo, jibu ni rahisi kabisa. Zanzibar haikuwahi kutumia turufu ya Udini ktk siasa zake hadi miaka hii ambayo pekee tunaona kizazi kipya kinaendesha siasa za kupinga Wakristu kuwepo Zanzibar. Haikuwepo wakati wa Sultan wala wakati wa Mapinduzi ila sasa hivi hiki kizazi kipya kimefundwa darasa la chuki kwa Wakristu na hasa kutokana na wageni ambao leo wanajiona wao Wazanzibar kuliko wale walokuwepo kabla...

Hata Marekani Canada na UK hivi leo unakuta Warusi na wazungu waliotoka nchi za mashariki (USSR na east block) nchi kama Serbia, Czek, Romania wanajiona wao wenyeji wa nchi hizo kuliko wenyeji wenyewe, tena wana roho mbaya kuliko Wazungu wenye asili na historia ya nchi hizo. Wengine wamekuja majuzi tu wametukuta sisi kina Mkandara lakini utawasikia wakisema turudi kwetu Afrika, wakituita Nigger na kadhalika - NDIVYO WALIVYO...Kwa hiyo malezi yenu yamechagia sana kuwepo kwa chuki hii baina ya Waislaam na Wakristu, Wabara na Wazanzibar na yote imetokana na kuitumia dini ya kiislaam kuwa mhuri wa uraia wa Mzanzibar.

Hatuina sababu ya kurushiana matusi, mnataka kujitenga rahisi sana mmeisha elezwa njia nzuri sana. Fanyeni maandamano kwenda Ikulu, mfuateni Dr.Shein, kina Bilal, Maalim Seif na viongozi wote wa baraza la mawaziri ktk serikali ya mseto na kuwaambia tunataka referendum - Haondoki mtu hadi kieleweke! vuguvugu hili litawapa majawabu badala ya kushinda hapa JF kujishindilia maudhi yasokuwa na tiba. I said it in year 2000 na narudia tena leo, kuwaambia majibu ya hoja zenu zote yako huko huko Zanzibar waulizeni viongozi wenu.
 
Mkuu Zinedine,
Manguli wote wa siasa na watu wote wenye mapenzi mema kwa wanadamu wenzao, wasomi na wachambuzi wanakubali bila kificho haya au soni kuhusika kwa JUMIKI katika kuchoma makanisani. Kuhusika kwao si kubeba vibiriti ni uchochezi uliojenga mazingira hayo. Hakuna mhadara wa Jumiki au UAMSHO ambao hautautaja ukristo kama tatizo la Wazanzibar.

Mkuu Mkandara, unajua kuna watu wanjifanya kama hawaelewi ili hali wanaelewa na huo ni unafiki. Matukio ya kuchoma moto si mara ya kwanza, labda nikumbushe kuwa waliochoma vibanda vya Watanganyika hawakuwa na mkono wa usalama wa taifa wala CCM. Walifanya hivyo kwa kuaminishwa kuwa Mtanganyika ni mhalifu, kafir n.k.
Umetoa narrative nzuri sana ya CCM na CUF, sijui kwa mtu aliyefundiswa chuki anaweza kukuelewa.

Katika mikutano akitajwa Nyerere utasikia 'laana ya mwenyezi mungu iwe juu yake'! Akitajwa Karume, Jumbe, Wakili, Mwinyi, Amour, Karume jr au Shein ambao wamefanya kazi na kumsaidia 'kafir' Nyerere uwanja unakuwa kimyaa!
Sababu ni moja, kwamba hadhra imefundishwa kuwa Nyerere ni mbaya si kama binadamu bali Mkristo.
Vingenevyo tungesikia Karume(laana), Jumbe(laana) hilo hutalisikia.
Huu ndio unafiki wa Wazanzibar, ambao wanaamini unafiki ni sehemu ya ibada!

Unafiki huu unakolezwa na fedha za Oman alizokwenda kuchukua Sheikh! masikini wasiojua wanaitikia tu.

Mkandara/Zinedine akina Nonda wamelishwa chuki na imetua mioyoni mwao, wameaminishwa ili kuiona akhera lazima umchukie mkristo, wala siyo budha au mwingine. Chukia mkristo kwanza ili upate pepo! ukichoma kanisa wewe ni mtu wa pepo!

Wamefundishwa kuwa kumwita mwislam kafir haifai, kwahiyo mwislam mtanganyika mwite Chogo.
Ninachotaka kusema hapa ni kuwa JUMIKI inahubiri ukafir.period.

Hakuna aya hadith au sunna inayofundishwa mwanadamu kumchukia mwanadam mwenzake, jumiki wametoa wapi? Kawaelez jana Ali Hassan Mwinyi

Jumiki na Uamsho ni CUF wanotumia aya ndani ya siasa tena wakizipindisha ili zikidhi haja zao.
 
kumbe nyie wavisiwani mnataka mfukuzwe na kuchomewa nyumba zenu huku bara ndio mjue kuwa watanganyika hawaupendi muungano? watanganyika sio watu wa aina hiyo..huku watu wanafikiri kabla ya kutenda na wanaangalia mbele hawaangalii chini kama nyie. mwanakijiji keshawafungulia njia kama nyie kweli mmedhamiria fanyeni kweli ila nina uhakika hamuwezi mtaendelea kuikumbatia ccm ambayo ndio imeleta huu muungano msioutaka

....well said!u have a point,naunga mkono hoja.let zaznibar go!tumechoka
 
Kwa mbara yoyote atakayesoma uliyoandika nadhani baada ya kumaliza atakuwa anapiga jaramba kujiandaa na kazi ya kusafisha jiji la dar.
NIA YA KUWAONDOA KWETU TUNAYO
UWEZO WA KUWAONDOA TUNAO
SABABU KUWAODOA TUNAZO
HAKI YA KUWAONDOA TUNAYO
CHUKI DHIDI YETU WANAYO
MITUMBWI YA KUWASAFIRISHIA TUNAYO!
JESHI LA KUSIMAMIA USAFI TUNALO!
wao wameisha sema hawatutaki kwao na muungano hawautaki tena wamechoma hadi maduka ya ndugu zetu na makanisa, kila kukicha wanapiga kelele na kuandamana , kila siku zinavyozidi kupita ndio wanavyozidi kutuchukia. kumbukeni dawa ya jipu ni kulikamua litoke.na hawa jamaa wanakoelekea msishangae siku moja wakaanza kujilipua au kutega mabomu bara kama wasomali wanavyofanya huko Kkenya. hawa watu sio wazuri kwetu hata kidogo, inabidi tutengane nao haraka sana na mipaka idhibitiwe, tunataka kuanzia leo ukiona mpemba kariakoo unamuona ni foreigner kama vile tunavyowaona wanigeria, wakenya wazambia nk. visa yake ikiisha arudi kwao, hakuna kuwa na haki yoyote kama vile ardhi, kumiliki nyumba nk.
HEBU TUANZISHE KULA YA MAONI
TAKBIIIIIR!

...kweli mkuu,inauma sana,then wanaona c km wajinga kwa kukaa kwetu kimya!hivi serikali inaogopa nn?,hawa wapemba waliojaa hum mjini cjui itakuwaje?....Let ZBAR GO!
 
@Nondo mkuu wangu jaribu sana kutumia ELIMU na sii ushabiki. .....
Huyu jamaa hapa anafanya haya uliyoshauri hapa. Wala huyu siye Nonda.

.... vurugu hizo siyo za kidini kama wanavyodhani watu wengi bali ni njia iliyotumika kufikisha ujumbe wa walalamikaji.
.... Si suala la kidini, ni hoja za kujishikiza tu, kuna masuala ya msingi yanayovishwa hoja za kidini

Link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...alitarajia-kurudi-zanzibar-4.html#post4006894

Mengine mengi ambayo umeyagusia katika mchango wako yana wenyewe.Unajaribu kuniingiza kundini. Ni jamaa zako.
Tafakari hayo maneno aliyosema huyo jamaa yetu.
 
binafsi sioni tunachonufaika nacho sisib wabara kutoka zanzibar zaidi ya wao kutujazia nafac za ajira za vijana wetu huku, alaf kila siku hawaishi kulalamika,waende kama ni jina tanzania tutachukua hata initialsz za MWANZA

...duh,hili nalo neno!
 
jamani mwanakijiji na nguruvi3, ingieni na kule kwenye mtandao wao wa mzalendo.net mkawape hayo maono yenu.
 
Nonda, busara mara nyingi iko proportional na umri, sasa wee mbona unataka kuprove-tofauti. Mi ni mfuatiliaji mzuri wa thread zako kwa kuwa sometimes zinanijenga. Sasa vipi siku hizi tena? .... they don't care about fact and they forget even their commonsense!)

Mkuu Zinedine

Nashukuru kwa maneno ya ukarimu kuwa unafuatilia michango yangu.

Kama kweli unafuatilia michango yangu utagundua kuwa mimi nasema kile ninachokiamini baada ya kufatilia taarifa za kulia na kushoto, halafu nachanganya na zangu. Sifuati tu mkumbo.

Kama imetokea mara hii kuwa tumeelemea upande tofauti wa hoja, au nimekosoa kuwa hoja kuu imejengwa chini ya msingi mbovu uniwie radhi na tukubaliane kutokukubaliana.

Mijadala ya karibuni imeibuka baada ya Matukio ya Zanzibar. Kuna waliorukia kuwatwisha lawama UAMSHO kuwa wamechoma makanisa...sasa kidogo hili linakuwa-diluted inasemwa kuwa UAMSHO haiwezi kukimbia lawama kuwa haihusiki hata kama wao hawakuchoma lakini wamejenga mazingira ya kufanikisha hilo.

Hawa jamaa wa UAMHO wanadai kura ya maoni kuhusu Muungano kabla ya kukusanya maoni kuhusu katiba mpya.
Hili ndio dai lao la msingi baada ya kuangalia hizo video zao.

Kuna watu wanasema hoja ya UAMSHO ni udini na chuki dhidi ya ukristo na makanisa. Mimi sikubaliani na hoja hii. Hapa pengine ndio unajiuliza mbona Nonda amegeuka siku hizi?

Watu wameanzisha mada kutaka wazanzibari wajikate, watu hawa wanataka kutuaminisha kuwa UAMSHO ndio mamlaka ya Zanzibar au inawakilisha wazanzibari wote. Mada zina lengo la kuwapinga UAMSHO lakini badala ya UAMSHO, wamewajumlisha/ wamewajumuisha Wazanzibari wote akiwemo Agostino Ramadhani na familia yake na Dr. Shein.

Kwa hiyo hoja iliyojengwa ilianza vibaya, inataja wazanzibari badala ya UAMSHO. Lakini pia wajenga hoja tayari wameshawahukumu UAMSHO na kuwatia hatiani kuwa wao ndio wamechoma moto makanisa na wanapandikiza chuki baina ya wakristo na waislamu. Kwa hiyo waanzilishi wa mada hizi nao wameanza kujenga hoja na kutoa matamshi ya kusema wanaamsha chuki dhidi ya wazanzibari na pia kuwafundisha njia/ hatua rahisi za kujikata.

Watu hawa wanasahau haya
".... vurugu hizo siyo za kidini kama wanavyodhani watu wengi bali ni njia iliyotumika kufikisha ujumbe wa walalamikaji.
.... Si suala la kidini, ni hoja za kujishikiza tu, kuna masuala ya msingi yanayovishwa hoja za kidini." Lisu

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ili-watoke-kwenye-muungano-3.html#post4011474

Muungano una madudu mengi hili kila mtu analikubali. Sasa badala ya kutizama hoja ya msingi ya UAMSHO ambayo nilivyofahamu mimi ni kuwa uwepo mjadala rasmi, wa wazi na mpana kuhusu Muungano na hatima yake. Hoja ambayo nafikiri ikiungwa mkono tutaweza kuifungua pandora box ya Muungano na kuona yaliyofanywa siri kwa miaka 48. vinatokea vikundi vyengine kuzima mjadala wa wazi wa muungano na kupandikiza chuki.

Jf inaweza kuwa kikundi kama UAMSHO, kwa bahati wengi wanachungulia hapa na kupata tafakuri mpya na kuanzisha movement huko mitaani ya kudai mjadala wa wazi na mpana wa muungano badala yake tunawashawishi wawape salamu jirani zao wafunge vifurushi na vibahasha au wachukue vile tu vinavyoingia katika begi waondoke. Je hao waliopo Kariakoo ni UAMSHO? Je watanganyika wote walioko Zanzibar ni wakristo?

Hapa sijui kama nimekupa changamoto ya mawazo au nimekutatiza zaidi?

By the way kuna wengine tayari wamegomea mchakato wa Katiba mpya kwa hiyo sishangai kuwa wanataka kila mtu awe na msimamo kama huo. Bado nafasi ipo ya kutia m-binyo, mkandamizo (pressure)kwa serikali ya Muungano kuwa mjadala rasmi, wa wazi na mpana uwemo katika hadudi rejea ya Tume ya kukusanya maoni ya Katiba. UAMSHO wameonesha njia,ilipasa vikundi vyengine vijenge pale UAMSHO walipoishia na kuepuka kasoro ambazo UAMSHO wamezionesha katika mikakati yao.

Tunapowajengea watawala upenyo kama huu tunaoujenga sasa wa kuepuka mjadala wa wazi wa Muungano, wao watagonganisha gilasi na kujisemea kweli "watanzania vichwa vya wendawazimu".
 
Mkuu Zinedine,
Manguli wote wa siasa na watu wote wenye mapenzi mema kwa wanadamu wenzao, wasomi na wachambuzi wanakubali bila kificho haya au soni kuhusika kwa JUMIKI katika kuchoma makanisani. Kuhusika kwao si kubeba vibiriti ni uchochezi uliojenga mazingira hayo. Hakuna mhadara wa Jumiki au UAMSHO ambao hautautaja ukristo kama tatizo la Wazanzibar.

Mkuu Mkandara, unajua kuna watu wanjifanya kama hawaelewi ili hali wanaelewa na huo ni unafiki. Matukio ya kuchoma moto si mara ya kwanza, labda nikumbushe kuwa waliochoma vibanda vya Watanganyika hawakuwa na mkono wa usalama wa taifa wala CCM. Walifanya hivyo kwa kuaminishwa kuwa Mtanganyika ni mhalifu, kafir n.k.
Umetoa narrative nzuri sana ya CCM na CUF, sijui kwa mtu aliyefundiswa chuki anaweza kukuelewa.

Katika mikutano akitajwa Nyerere utasikia 'laana ya mwenyezi mungu iwe juu yake'! Akitajwa Karume, Jumbe, Wakili, Mwinyi, Amour, Karume jr au Shein ambao wamefanya kazi na kumsaidia 'kafir' Nyerere uwanja unakuwa kimyaa!
Sababu ni moja, kwamba hadhra imefundishwa kuwa Nyerere ni mbaya si kama binadamu bali Mkristo.
Vingenevyo tungesikia Karume(laana), Jumbe(laana) hilo hutalisikia.
Huu ndio unafiki wa Wazanzibar, ambao wanaamini unafiki ni sehemu ya ibada!

Unafiki huu unakolezwa na fedha za Oman alizokwenda kuchukua Sheikh! masikini wasiojua wanaitikia tu.

Mkandara/Zinedine akina Nonda wamelishwa chuki na imetua mioyoni mwao, wameaminishwa ili kuiona akhera lazima umchukie mkristo, wala siyo budha au mwingine. Chukia mkristo kwanza ili upate pepo! ukichoma kanisa wewe ni mtu wa pepo!

Wamefundishwa kuwa kumwita mwislam kafir haifai, kwahiyo mwislam mtanganyika mwite Chogo.
Ninachotaka kusema hapa ni kuwa JUMIKI inahubiri ukafir.period.

Hakuna aya hadith au sunna inayofundishwa mwanadamu kumchukia mwanadam mwenzake, jumiki wametoa wapi? Kawaelez jana Ali Hassan Mwinyi

Jumiki na Uamsho ni CUF wanotumia aya ndani ya siasa tena wakizipindisha ili zikidhi haja zao.


wacha kutia sumu

soma nini mapadri wanasema wala htukusikia watu kulalamika

Siasa bila dini ni uendawazimu'


Na Lilian Nyenza


Kanisa halitaacha kutoa mwongozo kwa watu wake hata kwa mambo ya kisiasa ukiwamo uchaguzi kwa kuwa, siasa bila dini ni sawa na uendawazimu.



Aidha, imedaiwa kuwa tabia ya kuwalaghai vijana kuwa ni taifa la kesho, ndiyo inayowadumaza kiakili na kuwafanya watumiwe na wanasiasa kufanya fujo, badala ya kujitokeza kuongoza kwa kufuata taratibu za nchi.



Mkurugenzi wa chama cha kifamilia cha Undugu Association Tanzania, Padri Baptiste Mapunda, alitoa kauli hiyo katika sherehe za kuuaga mwaka 2004 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2005, zilizofanyika katika ukumbi wa Parokia ya Mt. Yosefu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.



Mkurugenzi huyo wa UNDUGU ASSOCIATION TANZANIA alisema kuwa, Tanzania imeanza kuonesha dalili mbaya za machafuko kutokana na baadhi ya watu wakiwamo wanasiasa kuweka mbele ubinafsi.

"Tukikaa kimya huku mambo yanaharibika katika jamii; eti tuwaachie wanasiasa wafanye watakavyo, tutakuwa hatutendi wajibu wetu na hivyo, Kanisa halitaacha kusema ukweli kwa maslahi ya umma hata kama unamkera mtu. Hii ni kwa kuwa tunajua wazi kuwa siasa bila dini, ni uendawazimu ambao mtu hajui akifanyacho kwa kuwa akili yake haijatimia kiroho." alisema.


Aliitaka jamiii ya Kitanzania ijifunze thamani ya amani na siasa safi kutokana na hali ya amani na usalama katika nchi jirani za Rwanda na Burundi ambayo ni hatari na inasikitisha.


Alisema vita na mauaji yanayoendelea katika nchi hizo, yanasababishwa na uroho wa madaraka wa watu wachache ambao hawajali utu wa wengine.

Aliongeza kuwa, "Siku zote tunapaswa kukumbuka kuwa, amani na mapendo ambayo Mungu ametujalia, tunapaswa kuyaenzi sisi sote kwa kuwa siasa bila dini, ni sawa na uendawazimu."


Padri Mapunda aliiasa jamii kuendelea kumuomba Mungu ili azidi kuwajalia amani,upendo na utulivu uliopo sasa, kuwa uwepo hata baada ya Uchaguzi Mkuu kupita.

Amewataka Waamini kuwaombea viongozi wanyanyasaji kama Herode, wabadilike na hivyo, kuongoza nchi kwa haki na akawasihi Watanzania kuyashinda maovu kwa kutenda yaliyo mema.



Hata hivyo, Padri Mapunda amewatahadharisha vijana kujiepusha kutumiwa na baadhi ya viongozi wa siasa, kwa nia ya kufanya fujo katika uchaguzi.

"Vijana mara nyingi wamekuwa wepesi wa kurubuniwa na vijizawadi vidogo vidogo, ili wafanye kile wanachokitaka wanasiasa wabinafsi. Sasa mimi nasema mkae chini na mlitafakari hilo kwa makini. Mtakao angamia ni ninyi na si wao," alitahadharisha.



Alisema vijana ni Taifa la leo na Taifa bila vijana limekufa, hivyo aliwasihi kuwaheshimu wazazi na walezi ili wapate kuishi maisha marefu na yenye heri duniani, kama walivyojaliwa kuuona mwaka huu mpya.



Naye Mwenyekiti wa Umoja huo, Bw. Benjamini Komba alisema, lengo la Shirika la Undugu, ni kuiunganisha jamii, ikiwa ni pamoja na kuimarisha Ukristo katika kupata hamasa katika kazi ya umisionari, ili ijengeke roho ya umisionari wa kweli nchini Tanzania.



Bw. Komba alisema kuwa, Shirika limekuwa na mchango mkubwa kwa jamii, kwa kuwa ni chombo cha kuelimisha jamii na kuendeleza mawasiliano na wamisionari wa Afrika ambao wapo ndani na nje ya nchi kwa lengo la kusukuma mbele kurudumu la Injili katika Taifa hili.



Umoja huo haujishughulishi na mambo ya siasa na hauna ubaguzi wa dini, rangi, imani wala itikadi.


Katika sherehe hizo, Wanaundugu na watu wengine walialikwa na kuhudhuria pamoja na familia zao.
 
Mkandara, uanongea pumba tupu. Kwani huu muungano si ulikuwa ni muun gano wa mataifa mawili?. Halafu palikuwa na makubaliano kumi na moja yalioletwa na Mwalimu Julius. Tumeutaka waraka wamuungano, hatukupewa. Tumetaka waraka kuhusu sahihi ya viongozi wetu kuhusiana na muungano, haiko. Tumekwenda umoja wa mataifa kuangalia "legality" ya muungano huu na tumekosa jawabu. Kila njia tuliofuata kuweza kuwaonyesha watu wetu wa zanzibar kuhusu UHALALI wa muungano hatukupatashahda yeyote ile sasa kuuvunja muungano ndio njia peke yake ya kuondosha malalamiko.
 
Mkuu Zinedine,
Manguli wote wa siasa na watu wote wenye mapenzi mema kwa wanadamu wenzao, wasomi na wachambuzi wanakubali bila kificho haya au soni kuhusika kwa JUMIKI katika kuchoma makanisani. Kuhusika kwao si kubeba vibiriti ni uchochezi uliojenga mazingira hayo. Hakuna mhadara wa Jumiki au UAMSHO ambao hautautaja ukristo kama tatizo la Wazanzibar.

Mkandara/Zinedine akina Nonda wamelishwa chuki na imetua mioyoni mwao, wameaminishwa ili kuiona akhera lazima umchukie mkristo, wala siyo budha au mwingine. Chukia mkristo kwanza ili upate pepo! ukichoma kanisa wewe ni mtu wa pepo! ........

....

Duh!
Wacha utani wako, Mkuu Nguruvi3.

Kwa hiyo wewe ni nguli na ni mtu mwenye mapenzi ambaye unaamini kuhusika kwa UAMSHO katika kuchoma makanisa?

Upendo ulionao juu ya Nonda umelishwa na nani?

Acha character assassination trick...rudi kwenye hoja kama unayo, kama huna ni bora kuonesha hekima yako.

Under belt punch not allowed, sir! Nimefurahi kukusoma, nimeupenda mchango wako.
 
Duh!
Wacha utani wako, Mkuu Nguruvi3.

Kwa hiyo wewe ni nguli na ni mtu mwenye mapenzi ambaye unaamini kuhusika kwa UAMSHO katika kuchoma makanisa?

Upendo ulionao juu ya Nonda umelishwa na nani?

Acha character assassination trick...rudi kwenye hoja kama unayo, kama huna ni bora kuonesha hekima yako.

Under belt punch not allowed, sir! Nimefurahi kukusoma, nimeupenda mchango wako.
Mzee mwinyi na mtu yoyote mwenye akili timamu na miongoni mwa manguli wote waliolaani UAMSHO yumo Sheni.
Kwani hoja ipi haijajibiwa nikumbushe nikujibu, badala yake zangu hazijibiwi.
Moja ni hii, Tanganyika ina poteza nini Zba ikiondoka
Pili, Nini kinawazuia wazanzibar wasiondoke katika muungano

Kamwewe, hakuna tatizo la siasa na dini, tatizo lililopo ni kuwa UAMSHO hawajitambulishi kama wanasiasa, wamejificha nyuma ya mgongo wa dini. Lakini basi, na hiyo siasa ya UAMSHO si siasa. Hakuna siasa ya kuchochea watu, kuzua uongo, kuleta fitna. Huo ni uzandiki na tofauti ya mwasiasa na mzandiki ni hekima na busara.
 
Mkuu Zinedine

"mimi nasema kile ninachokiamini baada ya kufatilia taarifa za kulia na kushoto, halafu nachanganya na zangu. Sifuati tu mkumbo"

Mijadala ya karibuni imeibuka baada ya Matukio ya Zanzibar. Kuna waliorukia kuwatwisha lawama UAMSHO kuwa wamechoma makanisa...sasa kidogo hili linakuwa-diluted inasemwa kuwa UAMSHO haiwezi kukimbia lawama kuwa haihusiki hata kama wao hawakuchoma lakini wamejenga mazingira ya kufanikisha hilo



Kwa hiyo hoja iliyojengwa ilianza vibaya, inataja wazanzibari badala ya UAMSHO. Lakini pia wajenga hoja tayari wameshawahukumu UAMSHO na kuwatia hatiani kuwa wao ndio wamechoma moto makanisa na wanapandikiza chuki baina ya wakristo na waislamu.


".

Nonda, sasa unazidi kunitatiza na kunifanya nisielewe stand yako. Sisi tunatofautiana na uamsho, lakini na wee unatofatiana zaidi na uamsho. Wanajf wameshaeleza humu kuwa kufanya vurugu kwa uamsho au kuhusiwa kwao katika kuchoma makanisa au kupendikiza chuki haina maana kwamba Sheikh Farid alibeba Dumu lake la petrol na kibiriti mkononi, la hasha, walitengeneza mazingira ya kufanya hivyo; hii hawatoki, ndo maana Vuai alisema hivi:
"Chukua CD za mihadhara ya Uamsho; chukua CD za hiyo mikutano mitano ya CCM; halafu ziweke hadharani watu waone na kusikiliza. Waache waamue ni nani aliyechochea vurugu,” ameeleza Vuai kwa sauti ya upole.

Sasa haya aliyosema Vuai na hapo nilipoeka bluu juu, nakushauri angalia video hii then urudi utuambie umeona nini, : WAZANZIBARI WAKIONESHA HISIA ZAO -KONGAMANO KIDUTANI 4 - YouTube

Kam haina direct link, just copy it and paste on a new opened tab!
 
Mzee mwinyi na mtu yoyote mwenye akili timamu na miongoni mwa manguli wote waliolaani UAMSHO yumo Sheni.
Kwani hoja ipi haijajibiwa nikumbushe nikujibu, badala yake zangu hazijibiwi.
Moja ni hii, Tanganyika ina poteza nini Zba ikiondoka
Pili, Nini kinawazuia wazanzibar wasiondoke katika muungano

Kamwewe, hakuna tatizo la siasa na dini, tatizo lililopo ni kuwa UAMSHO hawajitambulishi kama wanasiasa, wamejificha nyuma ya mgongo wa dini. Lakini basi, na hiyo siasa ya UAMSHO si siasa. Hakuna siasa ya kuchochea watu, kuzua uongo, kuleta fitna. Huo ni uzandiki na tofauti ya mwasiasa na mzandiki ni hekima na busara.

 
Last edited by a moderator:
Kwa wasiojua ukweli wa mambo, msingi mkuu wa muungano ni dhima ya Nyerere na Karume in good faith!.

Baada ya dhima ikafuatia kitendo cha kuungana rasmi kwa kuchanganya udogo na kusaini zile hati za muungano.

Baada ya hapo muunngano huo uliridhiwa bara tuu (ratified) kwa bunge la Tanganyika kuupitisha mkataba huo uliokuwa na mambo 11 hivyo kupata nguvu za kisheria!.

Zanzibar nao walitakiwa kuuridhia mkataba huo wa muungano kwa kuuratify lakini jambo hili halikufanyika!. Hivyo wanasheria wangeweza kabisa kuishitaki Tanzania kwa kuipora mamlaka Zanzibar na kuikalia kimabavu miaka yote hiyo!.

Kufuatia kukosekana kwa uhalali wa kisheria wa muungano kule Zanzibar, hivyo Wanzanzibar wako huru kujitoa kwenye muungano kwa amani kabisa kwa kung'ang'ana kuwa sheria, taratibu na kanuni, hazikufuatwa!.

Maadam Wanzanzibari wanacholilia ni haki na uhuru wao, nawaombeni tuwateende haki kwa kuwapatia wanachotaka.

Naiunga kauli ya Mzee Mwanakijiji kwa asilimia 100%, "Let them go!."
Ndiyo let them GOOOO!! wape UHURU wanaoutaka. Nimeishi muda wote sijaona faida za huu muungano. Waachieni hao.
 
Jamani, hakika nimechoka. Nimechoka kusikia maelezo ya namna moja na kila siku ya Zanzibar kuonewa na Bara utadhani ni kweli. Kitu kikirudiwa mara nyingi na watu wasipokuwa makini wanaweza kudhani kinachosemwa ni kweli.

Hapana, sasa umefika wakati tuwaruhusu hawa wenzetu wajitenge - waende zao. Kipi hasa tunachobembeleza toka kwao, matusi? Let them go NOW! December 2012 ni mbali. Wapeleke BLW mswada na waupitishe na wabunge wao walioko katika Bunge la muungano wafanye hivyo, nasi tuwaunge mkono.

Jamani imetosha nasi tusikubali matusi haya kuendelea, yafike mwisho na mwisho wake ni sasa
 
Back
Top Bottom