Nondo,
Nilikuwa sijapitia mada nyinginezo kumbe kuna mpango wa kura za maoni? sasa walikuwa wapi siku zote ilihali linawezekana pasipo ruksa kutoka bara?..Ebu msome Maalim Seif Bofya na amesema wazi kuhusu serikali ya Zanzibar na viongozi wake ktk uwakilishi wao..Hivyo ipo serikali kamili na ndio maana kawahakikishia.
Huyu Huyu Maalim aliwahi kuwa waziri kiongozi kisha waziri wa Elimu toka enzi zileee hakufanya lolote kuboresha maisha ya Wazanzibar leo anawaambia wasitie wasiwasi ilihali swala analojadili ni la katiba ya Muungano mkatoe maoni yenu na sio swala la referendum kuhusu Zanzibar kuendelea kuwa ktk muungano. Bado unataka kipi upate kuamini kuwa mdudu yuko ndani ya kokwa?
Nilikuwa sijapitia mada nyinginezo kumbe kuna mpango wa kura za maoni? sasa walikuwa wapi siku zote ilihali linawezekana pasipo ruksa kutoka bara?..Ebu msome Maalim Seif Bofya na amesema wazi kuhusu serikali ya Zanzibar na viongozi wake ktk uwakilishi wao..Hivyo ipo serikali kamili na ndio maana kawahakikishia.
Huyu Huyu Maalim aliwahi kuwa waziri kiongozi kisha waziri wa Elimu toka enzi zileee hakufanya lolote kuboresha maisha ya Wazanzibar leo anawaambia wasitie wasiwasi ilihali swala analojadili ni la katiba ya Muungano mkatoe maoni yenu na sio swala la referendum kuhusu Zanzibar kuendelea kuwa ktk muungano. Bado unataka kipi upate kuamini kuwa mdudu yuko ndani ya kokwa?