Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Mbaya zaidi umemtumia pesa ya kunywa bia dume mwenzako kwa account fake Facebook aliyoweka profile na mapicha ya kike na makalio makubwa ukajaa kwenye 18 zake.Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimaviMimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
[emoji16][emoji16] vibaya hivyo..Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
oya we mzee[emoji23][emoji23]Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
Sijui.. ila najua pesa inauma.Vibay! Ivi unjua pain ya kulw naul ww[emoji23][emoji23]
Hilo hitaji likiwa kwenye pick unaweza kuuza kila kitu ili utume nauli ila likienda low season unaanza kujiuliza wakati unauza vitu ulikuwa timamu au ulifanyiziwa!!Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
Ila uyo dem alikw mpuuz kwelMimi alikula nauli halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.
Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.
Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.
Oiii uncle Mshana Jr umetisha sanaNauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
Mlezi wetu nawe una Mambo😀😂🤒Nauli yangu hailiwi bure.. Lazima nikuroge! Nimewaroga sana halafu nimewarogea gundu la kimavi
Mwenyekiti uka potezwa😂😀.alinambia yupo Kigamboni nimtumie 5000 aje Kimara
simu ikazimwa chap baada ya kutuma
sikuwa mpiga nyeto miaka hiyo, nikatafuta lindo lingine