Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
Halafu Mbaya zaidi umemtumia pesa ya kunywa bia dume mwenzako kwa account fake Facebook aliyoweka profile na mapicha ya kike na makalio makubwa ukajaa kwenye 18 zake.
 
Mimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
Hilo hitaji likiwa kwenye pick unaweza kuuza kila kitu ili utume nauli ila likienda low season unaanza kujiuliza wakati unauza vitu ulikuwa timamu au ulifanyiziwa!!
 
Mimi alikula nauli elfu 20 halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.

Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.

Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.
 
Mimi alikula nauli halafu akazima simu. Kaja kuwasha baada ya siku tatu.

Kumuuliza sababu eti anajibu alivyoenda kutoa ela kwa wakala ghafla simba wakaanza kucheza, hivyo akaona hata akija hakuna litakalofanyika.

Nikamuuliza kwanini alizima simu akajibu system chaji ilikufa na betri la kiswaswadu aliliweka vibaya panya wakalila. Hivyo amesharekebisha kwahyo nimtumie tena nauli aje! Alikula block nikaishia kumla besti ake ambae mpaka sasa hivi najipigia tu.
Ila uyo dem alikw mpuuz kwel
 
Nimeshatuma nauli mpka 100k haijawahi liwa madem wanaangalia wenge lako limekaaje haiwezekani mtu kakupa namba leo kesho unamuomba picha za uchi ni ushamba fulani. Na nilishachoma wese na pikipiki toka kigamboni hadi mbagala na kurudi alafu mtoto anafika geto anaanza kuleta mapozi hataki kutoa chupi nikajaribu kulazimisha akawa anapiga kelele dah alinikata stimu sana nikamtoa nikaenda kumuacha njiani na mvua akaliwe na wengine huko. Ila nilikereka kuchoma wese asee iende irudi njia nzima anajua tunaenda kulana anafika miyeyusho dah
 
Back
Top Bottom