Leta experience yako kwenye haya mambo( pain ya kuliwa naul na demu, Raha ya kula nauli ya me na inawezekanaje watu wanaendelea kutuma nauli?)

Huyo hakula nauli yako Bali alichezea
 
Malaya alikula 30K oyaaaa hapo ni kusuka na naulii shwaaa akapita hivii.. Single mazaa tapeli lileee hatariiii likaja kunitxt siku moja likajua nimesahau nikalivutaa likaniomba hela nikamwambia Njoo uifateee akapiga kimyaa.. siku kama mbili mbele akaomba hela ya kitimoto nikamwambia Hakuna mtu anaepotea njia wakati wa kurudiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] likapigaa kimyaaa...
 
Mimi nilimtumia Demu nauli 50K Asubuhi inafika mchana analeta Visingizio Kibao mara nimepata msiba wa Ghafla afu ndio ilikuwa first day aje, Nikachungulia Muamala nkakuta bado hajatoa Nikaurudisha, Aiseee yule malaya alilaumu sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiii ndo nzuri bila hivyoo unaliwaa na hawa mafalaa
 
,,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na nimeshakula hela ya mama mmoja tulikubaliana nimfuate alipo kiuhalisia nilikua sina hela na yeye alikua anajua ndio najitafuta basi akatuma hela mm nikaamka asubuhi mapemaa nikaingia zangu sokoni kununua matunda na mazaga ya gengeni nikasingizia nimepata ajali nikatumiwa mpunga mwingine. Chanzo cha kula hela ni njaa zangu sikua na hela ya mzigo na pili nina kinyaa sana hilo limama linalazimisha ulipige denda dah hapo ndio mtihani unapoanzia maana ni mzee alafu mate yake nilikua naona kama yanavutika (udenda) Mungu tu anisamehe ila dunia hii kuna mengi
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu uzi mzuri unanichekesha balaa!!
 
Hizi pesa huwa mnaokota?
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtakuja kuzoa bibi zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…