Kuna watu Wana dhambi wanakula hadi hela ya mishangazi 😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ankal muongo hakuna cha kurogwa wala nini anatutisha tyuuuu!!!
Kuna mmoja nilimlia nauli alijilalamisha mpk nikamtumia nusu ya muamala wake, tugawane hasara [emoji23][emoji23]
Kuna watu Wana dhambi wanakula hadi hela ya mishangazi [emoji28]
Hapana nilishaacha hayo mambo nina mke mmoja na ikitokea mwanamke nimemuelewa basi awe wa umri wangu au niliemzidi miaka kadhaa ila vitoto navyo sitaki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ss hivi unabeba mishangazi?
Kuna watu ukila nauli zao wala hawakati tamaa. Ataendelea kukutafuta na hata lalamika kwanini umekula nauli yake, pesa itakulainisha na utajisemea huyu ni Gentleman siku ukijilengesha side B( kwa Mparange) kutahusika atajilipa hela zake zote ulizomliaHebu acheni roho mbaya, tumeni nauli hizo.
[emoji81][emoji81]kuna watu wapo faster hatarii yani ume tuma hapo hapo una pambana kui rejesha kumbe na yeye tayari kasha i hamisha ..Kuna msupuu mmoja nilikutana nae singida akanielewa sana. Sema kutokana na ubusy na nafasi finyu sikumchakata. Hivo nlipofika dar nikamcheki nikampanga akasema nimtumie nauli aje. Katika purukushani za kutuma hela nilikosea namba nikamtumia mtu mwingine ilikuwa 120k. Aiseeh wapigia cm customer care wanasema mpunga ushatolewa. Nikiipiga hiyo namba haipatikani. 120k ikawa imeenda kiwepesi sana alafu kademu muda huo kanalalamika mbona sikatumii acha kabisaaa.
Pole sanaMimi binafsi nilishwah kuliwa nauli 10k na precious, japo nikampat mbelen ila the moment nauli ililiw iliniuma mno. Toka apo sijawahi tuma Tena Kwa yyote.
Afu manzi wengi wanajaa kwenye huu mtego sana, Amezingua ila bado unaendelea kuwa humble mwisho ata surrender tu ndo ivo sasa mtu anazamisha popote penye tundu Dear ladies secure your own bag Money stops a lot of nonsense!Kuna watu ukila nauli zao wala hawakati tamaa. Ataendelea kukutafuta na hata lalamika kwanini umekula nauli yake, pesa itakulainisha na utajisemea huyu ni Gentleman siku ukijilengesha side B( kwa Mparange) kutahusika atajilipa hela zake zote ulizomlia
Sasa hivi ni single mother, ana watoto wawili na kila mtoto ana baba yake. Halafu kanenepa kama simtank [emoji1787][emoji1787]. Akinionaga analia sana, mpaka anapiga magoti yaani ananitia aibu sana mbele za watu
Hilo wao hawalitambui, kuna malaya alinilia hela 40k, nkamuuliza ushakata tiket akanijibu amepata udhuru hata kuja kuna msiba kwao ghafla, nkapiga mahesabu asishtukie kuwa nimeshtuka kama ni tapeli. Nikampa pole nkamwambia hata hivyo nami nimebanwa kazini.Afu manzi wengi wanajaa kwenye huu mtego sana, Amezingua ila bado unaendelea kuwa humble mwisho ata surrender tu ndo ivo sasa mtu anazamisha popote penye tundu Dear ladies secure your own bag Money stops a lot of nonsense!
Kwahiyo ulituma nyingine?Kuna msupuu mmoja nilikutana nae singida akanielewa sana. Sema kutokana na ubusy na nafasi finyu sikumchakata. Hivo nlipofika dar nikamcheki nikampanga akasema nimtumie nauli aje. Katika purukushani za kutuma hela nilikosea namba nikamtumia mtu mwingine ilikuwa 120k. Aiseeh wapigia cm customer care wanasema mpunga ushatolewa. Nikiipiga hiyo namba haipatikani. 120k ikawa imeenda kiwepesi sana alafu kademu muda huo kanalalamika mbona sikatumii acha kabisaaa.
Ukishafanya huo ushetani roho yako inakuwa kwatuuuu eti?Kuna watu ukila nauli zao wala hawakati tamaa. Ataendelea kukutafuta na hata lalamika kwanini umekula nauli yake, pesa itakulainisha na utajisemea huyu ni Gentleman siku ukijilengesha side B( kwa Mparange) kutahusika atajilipa hela zake zote ulizomlia
Basi unajiona mjanjaaa!Hilo wao hawalitambui, kuna malaya alinilia hela 40k, nkamuuliza ushakata tiket akanijibu amepata udhuru hata kuja kuna msiba kwao ghafla, nkapiga mahesabu asishtukie kuwa nimeshtuka kama ni tapeli. Nikampa pole nkamwambia hata hivyo nami nimebanwa kazini.
Sikuonesha kupanick jioni yake nkamtumia 20k ya pole kwa masiba na kumpeti peti, demu akazidi kunielewa. After 5 days nkamtumia 50k. Akajaa akaanza kujibebisha, yeye mwenyewe akaomba appointment, alivyofika nkamtoa out vinywaji sana mwenyewe anakunywa Mtakatifu Anne, taratibu ikaanza kumlegeza.
Kufika machinjioni nilimfanya kila tundu, na siku anarud nilimkatia tiket nkamwambia ntamrushia pesa kwa cm ya kula njian. Hakua hata na mia ya kula safarini.
Kama ninyi mnavyojiona wajanja, pale mnavyokula nauliBasi unajiona mjanjaaa!
Huu ni uongooooo!Sijawahi kutuma nauli ili nile mbususu...
Pole sana.Kama ninyi mnavyojiona wajanja, pale mnavyokula nauli