Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ukishakuwa jitu zima hayo hawajali, wanakuwa proud.Kuna ile attention wazazi wanakupa 😄dadeq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishakuwa jitu zima hayo hawajali, wanakuwa proud.Kuna ile attention wazazi wanakupa 😄dadeq
Kusoma haina maana usiwe na mahusiano, kuna maisha binafsi nje ya kitabu.
Njoo PM tuyajenge, ila kipato changu ni 200k kwa mwezi😁.Kwa sababu moyo wangu haukuwa tayari kumpenda mtu.ingawa bado niko singo💃💃💃
Hii inawahusu wanachuo tu ?Nakumbuka nikiwa chuoni hadi nikawa najiulizaga mwenyewe nakosea wapi mpaka nakuwa single ? Yani nilikuwa naona wivu sana wenzangu wanavyoleta madem zao huku mimi nabaki kupigwa excile, kusifia shem huku roho inauma, n.k. Niliona naweza kumaliza chuo kwa usingle
Nikaja kugundua kwamba nipo serious sana kiasi kwamba personal life ya ujana siipi nafasi, yani route zangu zilikuwa hostel na chuoni tu Labda weekend ntaenda church imetoka hio, pindi likiisha narudi hostel ama kuwe na group discussion.
Ndipo nikaanza kubaki na wadau baada ya mapindi hata kama hakuna discussion ndio nikaweza kuongeza knowledge na connections na uwezekano mkubwa wa kuupiga ngwala usingle.
nikiwa hostel chuo kikifunguliwa wadau nilikuwa nadhani wapo chuoni kufatilia ratiba kumbe wanawindwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza.
Nikiwa hostel nilikuwa napitwa na matamasha na events kibao ambazo wana wakienda wanaokota madodo.
Nikaja kuona maisha ya chuo ni ya kubalance kupiga kitabu kwa sana ila usisahau personal Life
Wewe tafsiri yako ni ipi ?Mnaosema mlikuwa single au mpo single mnamaanisha mlikuwa hamzagamuani au single huku mnapiga hit and run?
Kabisa misukosuko yakutosha.Sometimes life has many challenges jombaa .....
Ndo mawazo ya mwanachuo wa Bongo, badala ya kusoma wanawaza ujinga. LolKupigwa excile kulikuwa kunanipa hasira sana, nikaona hapa nisiwe mnyonge.
Chuo ukimaliza hujaruka hata na first year wa cheti / certificate ni kama mkosi
[emoji625]Nishakua sugu kuwa single, watu walinifanya niwe mgumu kuamini tena neno nakupenda.[emoji419]
Nimecheka had watu wananishangaa hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Point ni zilezile lack of capital to start a relationship, competition from other rich people, poor geographical location [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] mjadala uishie hapa.Point ni zilezile lack of capital to start a relationship, competition from other rich people, poor geographical location [emoji16]
😁kwanini jamaaUnaonekana tu😂😂😂
Anza tuition mkuu ya mapenzi, anza na mabeki tatu unakua una upgrade taratibu kwenda kwa single mothers, mpaka unaanza kula pisi kali za 2000Niliacha kuhangaika na mahusiano pale nilipotolewa nje na first year just imagine. 3 years single singular singwengwe singwengu
NdiooKabisa misukosuko yakutosha.