Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Everbody need somebody,ukaa peke ako kama panga kwanini?Ni maamuzi tu, mimi mwaka wa 3 huu, na ninafurahia maisha haswaa. Nadhani wengi hawapendi kuwa single kwa kuogopa loneliness, ama kwa kuogopa macho ya watu, lakini ukijaribu kwa hiari yako inakuwa very addictive.
Mkosi ulioje?1st year anakupa chaga?Niliacha kuhangaika na mahusiano pale nilipotolewa nje na first year just imagine. 3 years single singular singwengwe singwengu
Hahaha... Kuna mwanamama mmoja ameanza kuteka moyo ngoja nione tunalekea wapi.Everbody need somebody,ukaa peke ako kama panga kwanini?
Kuna sàa unatamani umpende mtoto wa mtu Tena ila ukifikiria ya nyuma unasema moyo tulia wanaume punguzeni uongo na Dunia iwe sehemu salama basiEverbody need somebody,ukaa peke ako kama panga kwanini?
Tupendeni tu ivoivo, ndio tulivyo jokes tu🤣.Kuna sàa unatamani umpende mtoto wa mtu Tena ila ukifikiria ya nyuma unasema moyo tulia wanaume punguzeni uongo na Dunia iwe sehemu salama basi